Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
Yes, hizo kozi ni nzuri huko majuu. Ila kwa hapa kwetu ni huzuni kwa kweliKwa kifupi Sana:
1. Mafuta unayojipaka na Kula, pamoja na maji Safi ni kazi za wakemia
2. Gari unalotumia kuna kazi kubwa ya wafizikia
3. Hesabu sasa ndio balaa maana hata simu unayotumia imejaa kanuni za hisabati.
Vile maslahi hayalipi Sana TZ haina maana hizo kozi sio dili
Yes, hizo kozi ni nzuri huko majuu. Ila kwa hapa kwetu ni huzuni kwa kweli
Duuh.. mkuu hii ya kusomea Degree ya physics kuwaSehemu ambako physics inakuwa applied
- Astronomy and astrophysics.
- Biophysics.
- Chemical physics.
- Cosmology.
- Engineering physics.
- Geophysics.
- Medical physics.
- Optics.
- Particle physics.
- Quantum computing.
Kazi za mtu aliyesema physics
Kazi.ambazo mathematics inakuwa applied
- Data analyst.
- Engineer.
- Patent attorney.
- Physicist.
- Physics researcher.
- Physics teacher or professor.
- Programmer.
- Project manager.
- Scientist.
1.Auditor:
2. Data or Research Analyst:
3. Computer Programmer
4. Medical Scientist
5. Financial Analyst
6. Statistician
7. Actuary
8.Economist
9. Software Developer
10. Data Scientist
kazi ambazo chemistry inakuwa applied
Mleta mada usichokijua ni kama.usiku wa kiza walioanzisha hizi degrees sio idiots wanajua nini wanaofanya
Mkuu unajua tofauti kati ya Computer programming na Software development? Sasa B. Sc in Mathematics na Software development wapi na wapi?Sehemu ambako physics inakuwa applied
- Astronomy and astrophysics.
- Biophysics.
- Chemical physics.
- Cosmology.
- Engineering physics.
- Geophysics.
- Medical physics.
- Optics.
- Particle physics.
- Quantum computing.
Kazi za mtu aliyesema physics
Kazi.ambazo mathematics inakuwa applied
- Data analyst.
- Engineer.
- Patent attorney.
- Physicist.
- Physics researcher.
- Physics teacher or professor.
- Programmer.
- Project manager.
- Scientist.
1.Auditor:
2. Data or Research Analyst:
3. Computer Programmer
4. Medical Scientist
5. Financial Analyst
6. Statistician
7. Actuary
8.Economist
9. Software Developer
10. Data Scientist
kazi ambazo chemistry inakuwa applied
Mleta mada usichokijua ni kama.usiku wa kiza walioanzisha hizi degrees sio idiots wanajua nini wanaofanya
Hivi hujui code breaking zinatumia mathematics,Mkuu unajua tofauti kati ya Computer programming na Software development? Sasa B. Sc in Mathematics na Software development wapi na wapi?
Hawa ni baadhi tu ya computer Scientists wenye degrees za mathematics na physics.Wewe kazi kubisha hata facts huna.Computer bila mathematics sio computerMkuu unajua tofauti kati ya Computer programming na Software development? Sasa B. Sc in Mathematics na Software development wapi na wapi?
Wapo Tanzania au huko nje ya Nchi alfu mbona hata mimi Bachelor of Archaelogy naweza kuwa Computer progammerHawa ni baadhi tu ya computer Scientists wenye degrees za mathematics na physics.Wewe kazi kubisha hata facts huna.Computer bila mathematics sio computer
Charles babbage
Von Neumann
Alan turing
Ada lovelace
Alonzo Church
Mkuu usichange files?Hawa ni baadhi tu ya computer Scientists wenye degrees za mathematics na physics.Wewe kazi kubisha hata facts huna.Computer bila mathematics sio computer
Charles babbage
Von Neumann
Alan turing
Ada lovelace
Alonzo Church
Hivi kwanini serikali zote Duniani zina MKEMIA MKUU wa serikali (CHIEF GOVERNMENT CHEMIST)? Kwanini kada zingine hazina machief, mimi nadhani BSc Chemistry watoe hapo ni watu wakubwa sana hapa Tanzania. Hawa BSc Chemistry hata serikali inawatambua mkuu na ndio maana unamwona Chief Chemist hapo. WAKEMIA wamo ndani ya katiba mkuu.Hawa wasomi wanashangaza.
Hivi ninyi ni walimu?🤣
Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.
Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?
Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣
Anyway, mimi sijui.
"Elimu inasaidia sana kwa walioelewa wamesoma nini ila sio kukariri." Mkuu ebu agiza kwanza maji hapo na wakikudai pesa waambie PROFESA anakuja kulipa.Hapo ni kweli kabisa taaluma za nje na nyumbani ni tofauti kwa kujituma kutokana na taaluma zao au hakuna ajira nyingi za wataalamu hao
Ila majuu ni tofauti sana kwani alichosomea anajitahidi kufika mbali kwa alichosomea
Wapo wengi sana wameamua kutengeneza bidhaa kutokana na taaluma zao wakiwa hata nyumbani tu
Mfano mdogo tu juzi juzi walileta habari inayowahusu wahitimu wawili walioanzisha kutengeneza bia wakiwa nyumbani miaka miwili iliyopita na leo bia zao zipo supermarkets zote baada ya kuchukua mkopo na kupata wafadhili
Leo account zao zimetapika
Wapo waliojiendeleza kwa kutengeneza Apps na zikawaingizia hela sana nao ni wasomi pia
Elimu inasaidia sana kwa walioelewa wamesoma nini ila sio kukariri
Kuna watu wengi sana maofisini wanafanya kazi ambazo hawakuaomea darasani.Hawa wasomi wanashangaza.
Hivi ninyi ni walimu?🤣
Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.
Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?
Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣
Anyway, mimi sijui.