Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia📌🔨Kumbukeni kuwa maisha hayana kanuni...binadamu ni kiumbe ambaye anabadilikaa na kamwe huwezi kumuwekea limitation..kila mtu aoe anaye mfaaa full stop...
Mwanaume ameumbiwa kuwa mtafutaji uwe umeoa au haujaoa, kusaka pesa is one of your responsibilitiesSasa wewe unataka wanaume watafute pesa kama wanatafuta roho zao zilizopotea. Dawa ni kutokutoa wenye mishahara
Tafuteni hela ili mnawie kwenye sinki muachane nq mambo ya kunawishwa mikono.Wife materal anakusogezea maji ya kunawa kwa mguu? Ndoa hizi....... 🚮
Achana na huo Uzungu kabla hayajakukuta.Tafuteni hela ili mnawie kwenye sinki muachane nq mambo ya kunawishwa mikono.
Ni inshu yako binafsi ya kisaikolojia, usitake kila mtu awe kama wewe.Nawauliza kwa wema tu nyie wanaume wenzangu. Huo ujassiri wa kuoa mke mwenye mshahara mnautoa wapi?
Sababu zenu ni dhaifu eti maisha kusaidiana, au ukifa watoto wasiyumbe. Ahahahah
Nyie si ndio mnasogezewa maji ya kunawa kwa mguu🤣🤣🤣
Kama kusaididiana mbona kasi ya maendeleo kati ya familia zenu na zetu ziko sawa?
Are you serious kwamba unataka kusaidiwa maisha na mshahara wa mke wako? Kama kipato chako kidogo fungua mradi wa familia (usithubutu kumwambia hili duka lako, hii como yako umekwisha), mke wako asimamie, kwakuwa wana asili ya ubahili hiyo biashara itakuwa sana.
Wengi wanaharibu wanawaambia hili duka lako, mke atasimamia kwa makini kipato cha dukani kikianza kuwa kikubwa kuliko mshahara wako umekwisha.
Mifano ni mingi katika jamii. Fanya upumbavu wote usioe mke mwenye kipato cha uhakika. Iwe kipato kidogo au kikubwa. Don't try it.
Hapa sijazungumzia mapenzi anayofanya na bosi wake, work mate wake na client wake.
Uzungu au ndio maendeleo yanyewe . Hata wazungu zamani hawakuwa na hayo masinkiAchana na huo Uzungu kabla hayajakukuta.
Ahahahah 😂😂😂Wife materal anakusogezea maji ya kunawa kwa mguu? Ndoa hizi....... 🚮