Hivi mnaposema Simba inajiendesha kwa hasara mnafikiria nini?

Hivi mnaposema Simba inajiendesha kwa hasara mnafikiria nini?

Injinia sio mwanahisa yanga, mudi ndiye? Injinia sio Raisi wa heshima yanga mudi ndiye.
Injinia sio mdhamini wa yanga mudi ndiye,..

Sasa mudi anaposema haya na injinia anaposema inakuwa ni watu wawili tofauti MO kama mdhamini na analipa mishahara ya team na injinia ni mfanyakazi tu GSM pia yupo kamati ya usajiri basi..

Mudi ni jizi Sana.
Nadhani hapa ishu sio nani mwenye hisa anayepata hasara, point ya msingi ni kuangalia ni je kweli kuna hasara?

Kwasababu hili sio swala geni na halijaanza kuongelewa leo, hata 2013 wakati yuko manji malalamiko kama haya yalikuwepo
 
Kwani kabla ya Mo hiyo Simba ilikuwa inajiendeshaje kwanza tuanzie hapo
 
Naomba nipate ufafanuzi.Iwapo Simba inapata hasara kwa uwekezaji wa Bilioni 20 +25 tunazoambiwa,je huyu Azam media angepata faida gani kuwekeza bilioni 48 kwa Simba?

Je, Simba ikiamua kutangaza biashara yoyote,mfano ya bia n.k,wanaweza kulipwa kiasi gani kwa mwaka?

Je, Simba hii, hii, ukichukua idadi ya wanachama ilio nao,kila mmoja akanunua kadi ya uanachama kwa shilingi elfu 20,itaingiza kiasi gani?

Je, viingilio katika mechi,vinamchango wa shilingi ngapi kwa mwaka?

Je, mauzo ya jezi na Bidhaa nyingine za Simba,vinaingiza shilingi ngapi?

Iwapo kampuni au kiwanda kimoja tu cha dawa,kinatumia zaidi ya bilioni 20kutangaza bidhaa zake,je wakitokea wawekezaji wawili tu,waamue kutoa bilioni 5 kila mmoja kwa mwaka kudhamini Simba,hiyo pesa haitoshi kujiendesha kwa mwaka mmoja?

Ifike mahali tuache kuidhoofisha timu kwa kutaka kupata umaarufu binafsi tu.

Ninachokiona ,kama Simba inaendeshwa kwa hasara,basi ni uzembe wa mwekezaji katika kuitumia Simba kufanya biashara.

Leo nasema huyu mwekezaji ana bidhaa zake zinaidhamini Simba,lakini hatumii watu wenye akili kumtangazia biashara zake kupitia Simba.

Azam wako vizuri kimkakati na ndio maana bidhaa zao zinapendwa sana.

Sasa hivi kwa kanda ya ziwa kuna kampuni ya Jambo wanakuja juu sana katika biashara ya vinywaji baridi,

Mo anatumia watu cheap,au anatumia vyeti vya watu badala ya kutumia akili za watu wafanye ubunifu kwa kuanzia logo hadi muonekano wa bidhaa zake.

Mabidhaa yake ninayoyajua,wametumia basic colors kuyapamba utadhani nyumba za vijijini zinavyopambwa na rangi za kukoleza. Hajui kuwa anahitaji wataalamu wanaoweza kukuwekea rangi kwenye bidhaa,ikamvutia mnunuzi kutumia bidhaa yako.

Aende Kenya kuwauliza sunlight wanatengenezaje sabuni zao za unga hadi zinatafutwa sana madukani na hazionekani.Sio unatutengenezea misabuni ya kufulia maturubai pekee.Huwezi kutoa na zile za kufulia nguo za maana zikiwa na franrance za maana?

Simba ni timu kubwa kamwe haiwezi kuleta hasara,isipokuwa mikakati ya kimenejerial ndiyo mibovu.Mfano ni ni pale kupata kadi ya Simba ni kama vile unaomba Visa ya Marekani.Hakuna matangazo ya wazi ni wapi zinauzwa,kwa bei gani.Hata jezi tu huku mikoani hazipo,na watu wako tayari hata kununua kwa sh. Elfu 50 mradi ziwe za vuwango.

Ukitaka kushusha kiwango ili watu wengi wanunue hii nayo ni mikakati ya kizembe. Hao utopolo kuna watu walitoka huku mikoani kwenda kununua jezi za yanga kuna walionunua kwa sh. Elfu 80 jezi moja.Ninawafahamu ni askari wa jeshi.

Leo mtu mmoja ana kaa mahali anatuaminisha eti Simba ina hasara?Kivipi?
Ulishawahi kusikia kikao cha mwisho wa Mwaka cha Azam?!!.. Unadhani 45 billions ni Elfu 45?!!...Hebu tupe Thamani ya matangazo yote kwenye Jezi na udhamini wote alafu utoe gharama za kwendesha team na ujue hii sio Yanga!!...
 
Mimi nimeshuhudia watu wakinunua jezi za yanga kwa sh elfu 80 tena watu wa mikoani huku,wewe unasema nini?

Mimi binafsi nahitaji jezi ya kiwangi hata kwa elfu 50 ila ndio hivyo sizioni.
Acheni kuwaza kama vile mna vichwa vya kuku
Ni ngumu mashabiki kunua jezi original na kulipia kadi sh elfu 20..
Nirahisi kuongea kuliko kutenda..
 
Mimi nimeshuhudia watu wakinunua jezi za yanga kwa sh elfu 80 tena watu wa mikoani huku,wewe unasema nini?

Mimi binafsi nahitaji jezi ya kiwangi hata kwa elfu 50 ila ndio hivyo sizioni.
Acheni kuwaza kama vile mna vichwa vya kuku
Umeshuhudia watu wangapi?.Maana usikute ni watu wawili watatu ndo unakuja kuzungumzia hapa.haya mambo sio rahisi kama unavyofikiria.Ushabiki wetu bongo niwakupiga makelele ila mambo mengine ysnayohusu timu wengi wetu hatutaki kujua.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Naomba nipate ufafanuzi.Iwapo Simba inapata hasara kwa uwekezaji wa Bilioni 20 +25 tunazoambiwa,je huyu Azam media angepata faida gani kuwekeza bilioni 48 kwa Simba?

Je, Simba ikiamua kutangaza biashara yoyote,mfano ya bia n.k,wanaweza kulipwa kiasi gani kwa mwaka?

Je, Simba hii, hii, ukichukua idadi ya wanachama ilio nao,kila mmoja akanunua kadi ya uanachama kwa shilingi elfu 20,itaingiza kiasi gani?

Je, viingilio katika mechi,vinamchango wa shilingi ngapi kwa mwaka?

Je, mauzo ya jezi na Bidhaa nyingine za Simba,vinaingiza shilingi ngapi?

Iwapo kampuni au kiwanda kimoja tu cha dawa,kinatumia zaidi ya bilioni 20kutangaza bidhaa zake,je wakitokea wawekezaji wawili tu,waamue kutoa bilioni 5 kila mmoja kwa mwaka kudhamini Simba,hiyo pesa haitoshi kujiendesha kwa mwaka mmoja?

Ifike mahali tuache kuidhoofisha timu kwa kutaka kupata umaarufu binafsi tu.

Ninachokiona ,kama Simba inaendeshwa kwa hasara,basi ni uzembe wa mwekezaji katika kuitumia Simba kufanya biashara.

Leo nasema huyu mwekezaji ana bidhaa zake zinaidhamini Simba,lakini hatumii watu wenye akili kumtangazia biashara zake kupitia Simba.

Azam wako vizuri kimkakati na ndio maana bidhaa zao zinapendwa sana.

Sasa hivi kwa kanda ya ziwa kuna kampuni ya Jambo wanakuja juu sana katika biashara ya vinywaji baridi,

Mo anatumia watu cheap,au anatumia vyeti vya watu badala ya kutumia akili za watu wafanye ubunifu kwa kuanzia logo hadi muonekano wa bidhaa zake.

Mabidhaa yake ninayoyajua,wametumia basic colors kuyapamba utadhani nyumba za vijijini zinavyopambwa na rangi za kukoleza. Hajui kuwa anahitaji wataalamu wanaoweza kukuwekea rangi kwenye bidhaa,ikamvutia mnunuzi kutumia bidhaa yako.

Aende Kenya kuwauliza sunlight wanatengenezaje sabuni zao za unga hadi zinatafutwa sana madukani na hazionekani.Sio unatutengenezea misabuni ya kufulia maturubai pekee.Huwezi kutoa na zile za kufulia nguo za maana zikiwa na franrance za maana?

Simba ni timu kubwa kamwe haiwezi kuleta hasara,isipokuwa mikakati ya kimenejerial ndiyo mibovu.Mfano ni ni pale kupata kadi ya Simba ni kama vile unaomba Visa ya Marekani.Hakuna matangazo ya wazi ni wapi zinauzwa,kwa bei gani.Hata jezi tu huku mikoani hazipo,na watu wako tayari hata kununua kwa sh. Elfu 50 mradi ziwe za vuwango.

Ukitaka kushusha kiwango ili watu wengi wanunue hii nayo ni mikakati ya kizembe. Hao utopolo kuna watu walitoka huku mikoani kwenda kununua jezi za yanga kuna walionunua kwa sh. Elfu 80 jezi moja.Ninawafahamu ni askari wa jeshi.

Leo mtu mmoja ana kaa mahali anatuaminisha eti Simba ina hasara?Kivipi?
Siyo Simba tu hata Yanga inaendeshwa kwa hasara. Bila ufadhili wa GSM na METL hakuna Simba wala Yanga yenye sura tunazoziona hivi sasa. Hela inayotumika kuendesha vilabu hivi viwili ni kubwa sana kulingana na mapato yao,hiyo ndiyo hasara. Tusiwadharau hao matajiri wanaowekeza huko kwani vilabu vyewnyewe kwa miaka lukuki vimeshindwa kutumia mtaji wa wanachama na washabiki waoambao ni mamilioni kuwahamadisha wachangie kujenga na kuendesha vilabu vyao. Wacheni noma mpira ni pesa.
 
Mimi nimeshuhudia watu wakinunua jezi za yanga kwa sh elfu 80 tena watu wa mikoani huku,wewe unasema nini?

Mimi binafsi nahitaji jezi ya kiwangi hata kwa elfu 50 ila ndio hivyo sizioni.
Acheni kuwaza kama vile mna vichwa vya kuku
Sasa mkuu ata kama umeshuhudia watu wananunua jezi elf 80 si maamuzi Yao tu tena waga wachache walioamua kutoa sadaka ili waende sawa na Tamasha la siku ya wanachi na hizo hela haziendi Kwa yanga bali kwa huyo muuzaji mliponunua

GSM ye anauza jezi ya Yanga kwa jumla elf 28 na mkauze Kwa bei elekezi ya elf 35, kwahiyo kama zimeadimika ndio watu wanapigia hela hapo na mnafaika sio Yanga wala GSM, unakuta The Sunderland kachukua mzigo mkubwa na GSM wameishiwa kwahiyo yeye ndio anapandisha bei ya jumla na utajua wewe unaeenda kuuza utauzaje

Jezi ya Yanga ata iuzwe 25000/35000/50000/80000/100000 hapo mgao wa Yanga ni 1300 Kwa kila jezi, Sasa piga hesabu mwenyewe ili angalau Yanga waweze kunufaika na hayo mauzo ya jezi angalau mashabiki wanunue jezi ngapi Kwa msimu kabla ya kuingia next season, na hapo bado Kila msimu zinatoka jezi Feki kibao tu na club hainufaiki na chochote

Na mwisho wa msimu Yanga waga wanauza jezi zao kwa promotion elf 20 either ukienda makao makuu ya club jangwani au ukienda kwenye maduka ya GSM pamoja na gari inayotembea ikiwa na viongozi kama Bumbuli/Nugaz na sasa Manara, kwahiyo kununua jezi elf 80 sio issue maana hainufaiki Yanga hapo ananufaika aliekuuzia

Labda zitengenezwe jezi Kwa ubora tofaut tofaut ili kuondoa dhana ya uwepo wa jezi Feki, maana washabiki walio wengi kununua jezi Kwa bei elekezi ya elf 35 bado wanashindwa kununua, wanakimbilia za elf 15-20 ilimradi nayeye avae jezi ya club yake, kwahiyo wao wenyewe watengeneze jezi za bei tofaut na nyie mnaoweza kununua za elf 80 basi muwe mmeinufaisha Club yenu

ili kuongea Kwa data fatilia mapato na matumizi ya club Yako msimu uliopita ulipata gawio la 45M kutoka GSM kwa mauzo ya jezi, kwahiyo ukipiga hesabu hapo ni kwamba jezi za GSM zilizouzwa ni 35000 tu, kama ulikuwa unadhania eti mnavaa sana jezi basi ndo hizo jezi Feki tunazoongelea, Sasa Kwa club kubwa kama inapata mauzo ya jezi 45M kwanini isijiendeshe kwa Hasara
 
Ila kwenye kadi ya uanachama mkuu umenena... yaani unaweza kufuatilia hata miaka mitatu na usiipate.. sijui urasimu huu wa mtu kujiunga uanachama simba unafanywa kwa minajili gani.
Hawataki mamluki
 
Naomba nipate ufafanuzi.Iwapo Simba inapata hasara kwa uwekezaji wa Bilioni 20 +25 tunazoambiwa,je huyu Azam media angepata faida gani kuwekeza bilioni 48 kwa Simba?

Je, Simba ikiamua kutangaza biashara yoyote,mfano ya bia n.k,wanaweza kulipwa kiasi gani kwa mwaka?

Je, Simba hii, hii, ukichukua idadi ya wanachama ilio nao,kila mmoja akanunua kadi ya uanachama kwa shilingi elfu 20,itaingiza kiasi gani?

Je, viingilio katika mechi,vinamchango wa shilingi ngapi kwa mwaka?

Je, mauzo ya jezi na Bidhaa nyingine za Simba,vinaingiza shilingi ngapi?

Iwapo kampuni au kiwanda kimoja tu cha dawa,kinatumia zaidi ya bilioni 20kutangaza bidhaa zake,je wakitokea wawekezaji wawili tu,waamue kutoa bilioni 5 kila mmoja kwa mwaka kudhamini Simba,hiyo pesa haitoshi kujiendesha kwa mwaka mmoja?

Ifike mahali tuache kuidhoofisha timu kwa kutaka kupata umaarufu binafsi tu.

Ninachokiona ,kama Simba inaendeshwa kwa hasara,basi ni uzembe wa mwekezaji katika kuitumia Simba kufanya biashara.

Leo nasema huyu mwekezaji ana bidhaa zake zinaidhamini Simba,lakini hatumii watu wenye akili kumtangazia biashara zake kupitia Simba.

Azam wako vizuri kimkakati na ndio maana bidhaa zao zinapendwa sana.

Sasa hivi kwa kanda ya ziwa kuna kampuni ya Jambo wanakuja juu sana katika biashara ya vinywaji baridi,

Mo anatumia watu cheap,au anatumia vyeti vya watu badala ya kutumia akili za watu wafanye ubunifu kwa kuanzia logo hadi muonekano wa bidhaa zake.

Mabidhaa yake ninayoyajua,wametumia basic colors kuyapamba utadhani nyumba za vijijini zinavyopambwa na rangi za kukoleza. Hajui kuwa anahitaji wataalamu wanaoweza kukuwekea rangi kwenye bidhaa,ikamvutia mnunuzi kutumia bidhaa yako.

Aende Kenya kuwauliza sunlight wanatengenezaje sabuni zao za unga hadi zinatafutwa sana madukani na hazionekani.Sio unatutengenezea misabuni ya kufulia maturubai pekee.Huwezi kutoa na zile za kufulia nguo za maana zikiwa na franrance za maana?

Simba ni timu kubwa kamwe haiwezi kuleta hasara,isipokuwa mikakati ya kimenejerial ndiyo mibovu.Mfano ni ni pale kupata kadi ya Simba ni kama vile unaomba Visa ya Marekani.Hakuna matangazo ya wazi ni wapi zinauzwa,kwa bei gani.Hata jezi tu huku mikoani hazipo,na watu wako tayari hata kununua kwa sh. Elfu 50 mradi ziwe za vuwango.

Ukitaka kushusha kiwango ili watu wengi wanunue hii nayo ni mikakati ya kizembe. Hao utopolo kuna watu walitoka huku mikoani kwenda kununua jezi za yanga kuna walionunua kwa sh. Elfu 80 jezi moja.Ninawafahamu ni askari wa jeshi.

Leo mtu mmoja ana kaa mahali anatuaminisha eti Simba ina hasara?Kivipi?
Maswali mazuri ila tambua sio wote wananunua jezi OG,

Ukichukua operation cost (mishahara ya wachezaji, watendaji, benchi la ufundi, gharama za vibali vya kazi kwa foreigners, n.k) uka minus kinachoingizwa basi jawabu ni HASARA ....ni Wazi ni HASARA
 
Mimi nimeshuhudia watu wakinunua jezi za yanga kwa sh elfu 80 tena watu wa mikoani huku,wewe unasema nini?

Mimi binafsi nahitaji jezi ya kiwangi hata kwa elfu 50 ila ndio hivyo sizioni.
Acheni kuwaza kama vile mna vichwa vya kuku
Una uhakika nyie mnaotaka jezi za sh elfu 50 mpo wengi kiasi kwamba mkiuziwa jezi itapikana bilioni 6 ya kuendesha club kubwa Kama Simba na yanga..?
 
Shida kubwa ni kunakosekana uwazi juu ya club inaingiza nini na inatumia shi ngapi.

Hizi data zingrkuwa wazi tusingekua tunabishana hapa
 
Sasa mkuu ata kama umeshuhudia watu wananunua jezi elf 80 si maamuzi Yao tu tena waga wachache walioamua kutoa sadaka ili waende sawa na Tamasha la siku ya wanachi na hizo hela haziendi Kwa yanga bali kwa huyo muuzaji mliponunua

GSM ye anauza jezi ya Yanga kwa jumla elf 28 na mkauze Kwa bei elekezi ya elf 35, kwahiyo kama zimeadimika ndio watu wanapigia hela hapo na mnafaika sio Yanga wala GSM, unakuta The Sunderland kachukua mzigo mkubwa na GSM wameishiwa kwahiyo yeye ndio anapandisha bei ya jumla na utajua wewe unaeenda kuuza utauzaje

Jezi ya Yanga ata iuzwe 25000/35000/50000/80000/100000 hapo mgao wa Yanga ni 1300 Kwa kila jezi, Sasa piga hesabu mwenyewe ili angalau Yanga waweze kunufaika na hayo mauzo ya jezi angalau mashabiki wanunue jezi ngapi Kwa msimu kabla ya kuingia next season, na hapo bado Kila msimu zinatoka jezi Feki kibao tu na club hainufaiki na chochote

Na mwisho wa msimu Yanga waga wanauza jezi zao kwa promotion elf 20 either ukienda makao makuu ya club jangwani au ukienda kwenye maduka ya GSM pamoja na gari inayotembea ikiwa na viongozi kama Bumbuli/Nugaz na sasa Manara, kwahiyo kununua jezi elf 80 sio issue maana hainufaiki Yanga hapo ananufaika aliekuuzia

Labda zitengenezwe jezi Kwa ubora tofaut tofaut ili kuondoa dhana ya uwepo wa jezi Feki, maana washabiki walio wengi kununua jezi Kwa bei elekezi ya elf 35 bado wanashindwa kununua, wanakimbilia za elf 15-20 ilimradi nayeye avae jezi ya club yake, kwahiyo wao wenyewe watengeneze jezi za bei tofaut na nyie mnaoweza kununua za elf 80 basi muwe mmeinufaisha Club yenu

ili kuongea Kwa data fatilia mapato na matumizi ya club Yako msimu uliopita ulipata gawio la 45M kutoka GSM kwa mauzo ya jezi, kwahiyo ukipiga hesabu hapo ni kwamba jezi za GSM zilizouzwa ni 35000 tu, kama ulikuwa unadhania eti mnavaa sana jezi basi ndo hizo jezi Feki tunazoongelea, Sasa Kwa club kubwa kama inapata mauzo ya jezi 45M kwanini isijiendeshe kwa Hasara
Umeeleza vizuri Tena kwa data..waTanzania wengi wanavaa majezi feki Kama Yale ya arsenal na man u ya sh elfu 7..
waTanzania wa kununua jezi ya elfu 50 Ni wachache Sana
Akitaka kuamini kesho aende kwenye mechi ya Simba..aone nusu ya mashabiki wamevaa majezi ya miaka ya nyuma..robo jezi feki na robo ndio wamevaa jezi mpya OG
Ukweli Ni kwamba Ni hasara tupu..
 
Umeshuhudia watu wangapi?.Maana usikute ni watu wawili watatu ndo unakuja kuzungumzia hapa.haya mambo sio rahisi kama unavyofikiria.Ushabiki wetu bongo niwakupiga makelele ila mambo mengine ysnayohusu timu wengi wetu hatutaki kujua.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mashabiki wengi kipato chao ni cha chini wenge weza kuzipata pesa nyingi kwa kutengeneza bidhaa nafuu mfano jezi sio wote waneweza ku afford elf 35 kungekua na jezi hadi ya elfu 15 huko vijinini wana vaa sana jezi feki kwa bei rahisi hio pesa ingeweza kuingia kwenye vilabu tatizo lao wamelenga mijini
 
Kwanza utofautishe kati ya mwekezaji na mdhamini, hii kitu inawachanganya sana watu wengi na unakuta wanaandika makala ndefu ndefu kumbe hazina kitu. Kukusaidia tu ni kwamba mwekezaji ni sehemu ya wamiliki, sio mtu wa nje, kampuni ikipata faida naye ana sehemu yake ya faida, ikipata hasara naye ana sehemu yake ya hiyo hasara. Mdhamini anakuja kutoka nje, si sehemu ya kampuni. Yeye anaangalia kampuni yake inayotoa udhamini, faida au hasara ya kampuni inayodhaminiwa wala haimuhusu

Pili, nitajie mdhamini gani atatoa bilioni 5 kwa mwaka kwa timu moja. Nimesisitiza neno 'kwa mwaka' ili likuingie vizuri kichwani na likufanye utafakari zaidi. AzamTV udhamini wake kwa Yanga ni miaka 10, maana yake amewapa Yanga hela na wao wamepoteza haki juu ya content zao katika matangazo ya TV kuanzia mazoezi hadi mechi za kirafiki, za timu zote za wanawake, vijana na wanaume. NBC imetoa udhamini wa miaka mitatu kwa TFF, sh. 2.5B. GSM ilitoa udhamini wa miaka miwili kwa TFF, 2.1B (tena kwa timu 16, ndio maana ukasikia timu zinapata milioni 3 kwa mwezi). Sasa sijajua huyo mdhamini wa 5B kwa mwaka atatoka wapi! Tuache kupiga mahesabu yasiyo na uhalisia, na yasiyo na ukweli. Hiyo 20B ya Mo siiweki hapa kwenye udhamini maana nitakuwa kama wewe, yaani kuleta hela za uwekezaji kwenye dhana ya udhamini
Umeandika utumbo haueleweki unachokiongelea has ni nini? Unazunguka zunguka tu ili mradi umtetee Mo
 
Tanzania hapa huwezi endesha timu kwafaida nakubaliana na modewj ,ihefu na mbeya city hua wanakunywa chai mikumi pale
 
Kuna watu wanasema et hizi team hazina mashabiki wakununua Jersey lwa 35k!! Yeyote anayesema hivi si mtu wa mpira mimi nimeshuhudia hapa DsM watu wakinunua Jersey ya yanga 50k sio mmoja ni watu wengi tena wengine walizikosa
 
Back
Top Bottom