Hivi mnaposema Simba inajiendesha kwa hasara mnafikiria nini?

Hivi mnaposema Simba inajiendesha kwa hasara mnafikiria nini?

Mimi ndugu nina kipato cha kawaida sana nikinunua T-shirt angalau zenye ubora kidogo ni kati ya sh elfu 40-60.Na tunazimudu.Itashindikanaje kwa jezi yenye ubora kununua kwa elfu 50?

Kwa taarifa yako watu wabanunua mashati tu kwa laki na 20 huku Kahama.Watu wanapenda vitu vizuri sio bora kitu.Feki uzeni lakini quality t-shirts zina wanunuzi wengi sana
Una uhakika nyie mnaotaka jezi za sh elfu 50 mpo wengi kiasi kwamba mkiuziwa jezi itapikana bilioni 6 ya kuendesha club kubwa Kama Simba na yanga..?
 
Na kwa akili hii,sidhani kama tutaendelea.

Binafsi ningepata nafasi ya kuwa kiongozi wa Simba,ili kulinda brand,sitakubali jezi feki kabisa.
Watu wanao uwezo wa kuzinunua wala hata usiwasemee
Mashabiki wengi kipato chao ni cha chini wenge weza kuzipata pesa nyingi kwa kutengeneza bidhaa nafuu mfano jezi sio wote waneweza ku afford elf 35 kungekua na jezi hadi ya elfu 15 huko vijinini wana vaa sana jezi feki kwa bei rahisi hio pesa ingeweza kuingia kwenye vilabu tatizo lao wamelenga mijini
 
Kama ulikuwa unasomewa nilichoandika basi aliyekusomea amekupotosha tafuta mtu mwingine akusomee vizuri.
azam hajawekeza 48 bilion kwa simba, umeingizwa cha kike
 
Hivi wewe unazungumzia watanzania gani?

Watumishi tu wa serikali ni zaidi ya laki sita,chukua mfano kati ya hao laki 3 wawe washabiki wa timu kubwa hizi mbili.
Kati ya hao laki 3 chukua laki moja tu wahamasishwe kununua kadi,hapo utakuwa na karibu bilioni 2.Ninasema hivi kwa uzoefu wangu,karibu kila mtanzania ana upande kwenye hizi timu 2 za Kariakoo.
Hapo sijazungumzia wafanyakazi migodini,wafanya biashara,Boda Boda,wapiga debe kwenye vituo vya mabus,na wakulima ambao ndio mnataka kuwatengenezea jezi feki.Hawa wanakosa tu uhamasishaji.
Iwapo kutakuwa na kampeni ya kuhamasisha wapenzi wawe na kadi,mbona wengi wanszihitaji!
Ni ngumu mashabiki kunua jezi original na kulipia kadi sh elfu 20..
Nirahisi kuongea kuliko kutenda..
 
Back
Top Bottom