Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mimi nakupost ila My Dear, nachagua watu ambao nataka waioneeeee, nikutumie shots basi ufurah...( embu fikiria nina marafiki watoka shule ya msingi ,sekondarii, chuo, kazin) mweee nikose jamaa zangu hata 50 wakuview ili kichwa lako liwe Kubwa???
Kuhusu DP... nmeshakua SUGU, nakuweka ,unakaa hata siku nzima, ukishaliwa sasa, na DP bye byeeee
Kuhusu kuulizwa huyo ninani?? Ukishakua Sugu haukosi majibu.hata ivo mpaka nikuweke DP ,lazima kiwango chako kiwe cha SGR [emoji23][emoji23] sio nikuweke weke
Mwanamje kama Chakorii namuweka tu kwan nn bana???
Ukiona Jamaa wako au Demu wako anapost post sana watu wajinsia tofauti, ujue ni Mbwaaaaa malaya aliyekubuhu.( mwenye akili aelewe).
Kuhusu DP... nmeshakua SUGU, nakuweka ,unakaa hata siku nzima, ukishaliwa sasa, na DP bye byeeee
Kuhusu kuulizwa huyo ninani?? Ukishakua Sugu haukosi majibu.hata ivo mpaka nikuweke DP ,lazima kiwango chako kiwe cha SGR [emoji23][emoji23] sio nikuweke weke
Mwanamje kama Chakorii namuweka tu kwan nn bana???
Ukiona Jamaa wako au Demu wako anapost post sana watu wajinsia tofauti, ujue ni Mbwaaaaa malaya aliyekubuhu.( mwenye akili aelewe).