Sema nini, Embu postianeni bwanaaaa kwan shi ngapi???
Mapenzi ya kuwekana Moyoni ya kizaman, huko Moyoni nani anamwona????
Simnasema, nitakupenda na kufanya Dunia nzima ijue nakupenda??
Sasa Huko moyoni nani atamuona?? Ataaminije kama unampenda na Dunia inajua??
Mpost bwanaaaa alaaaaaaa.
Mapenzi ni matendo, namatendo ndo hayo ya kupostianaaa wasap, ig, twt,JF, fB n.k[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji117][emoji117]Mimi sitaki kupendwa na MwanaJF, tafadhal sanaaa kama una nijua, usije kunipost [emoji23][emoji23][emoji23]