🤣🤣🤣 Hizi social media zimekuja na mambo yake. Wengine wanadiliki hadi kuvua huko wapate likesNimeshangaa kuona kuna watu wana likes zaidi ya laki na nikashangaa wengine hawana hata likes 20 hawana na ukute account ina miaka 10.
Sasa mimi ni wakuja humu, najua Kuna wenyewe ombi langu utakaefanikiwa kusoma uzi huu Mimi nakuomba like hii post kama utashindwa kutoa mbinu gani nitumie nibust like zangu kama mlivyo wenzangu.
Huku sio instaNimeshangaa kuona kuna watu wana likes zaidi ya laki na nikashangaa wengine hawana hata likes 20 hawana na ukute account ina miaka 10.
Sasa mimi ni wakuja humu, najua Kuna wenyewe ombi langu utakaefanikiwa kusoma uzi huu Mimi nakuomba like hii post kama utashindwa kutoa mbinu gani nitumie nibust like zangu kama mlivyo wenzangu.
Nenda kachukue likes mkuu....Niliona uzi wa kupeana likes humu
Yes, Honey[emoji7]Hizi likes sio kama za facebook kijana
Watu wanapeana likes kwa kujuana pia, mfano mimi lazima nimpe likes mke wangu hata kama kaongea pumba [emoji3]
Naomba nikutongoze mara ya pili mywangu.Yes, Honey[emoji7]
Siuwahi huko upate hizo likes?Niliona uzi wa kupeana likes humu
Sasa babe si unajua ukinitongoza nikikubali tu kesho yake inakuwa ni birthday yangu, na siku mbili mbele simu inavunjika kioo nitataka mpya. Halafu na sikukuu imekaribia. Nakuonea huruma my.Naomba nikutongoze mara ya pili mywangu.