Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa kuona kuna watu wana likes zaidi ya laki na nikashangaa wengine hawana hata likes 20 hawana na ukute account ina miaka 10.
Sasa mimi ni wakuja humu, najua Kuna wenyewe ombi langu utakaefanikiwa kusoma uzi huu Mimi nakuomba like hii post kama utashindwa kutoa mbinu gani nitumie nibust like zangu kama mlivyo wenzangu.
😂😂Hizi likes sio kama za facebook kijana
Watu wanapeana likes kwa kujuana pia, mfano mimi lazima nimpe likes mke wangu hata kama kaongea pumba 😀