Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If so andika mada nzuri na kalii uone zinapatikanaje, kama mada nzuri huna andika ujingaujinga unaohusu ngono uone utakavyovuna hizo likesAppreciation tu
Siku hizi vyuma vimekaza unaweza ukaambulia like moja au usipate kabisa kama hauamini nenda kapost ..Niliona uzi wa kupeana likes humu
Nimeshangaa kuona kuna watu wana likes zaidi ya laki na nikashangaa wengine hawana hata likes 20 hawana na ukute account ina miaka 10.
Sasa mimi ni wakuja humu, najua Kuna wenyewe ombi langu utakaefanikiwa kusoma uzi huu Mimi nakuomba like hii post kama utashindwa kutoa mbinu gani nitumie nibust like zangu kama mlivyo wenzangu.
Aaah nimesahau tuachane nayo hayo mambo ya kizungu na tozo yenyewe ilivyo juu, utaniuwa mywangu 😀Sasa babe si unajua ukinitongoza nikikubali tu kesho yake inakuwa ni birthday yangu, na siku mbili mbele simu inavunjika kioo nitataka mpya. Halafu na sikukuu imekaribia. Nakuonea huruma my.
Nitalifanyia kazi Simba ponda Yanga, Yanga ponda Simba.Ukiona post wanaongelea CCM waponde CHADEMA.Ukiona post wanaongelea CHADEMA waponde CCM utakula like hadi ufurahi.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Inabidi ujiulize yaani likes for what?yaani what will you gain from having many likesMaswali gani haya. Kwani unavyoingia humu kunapikwa biriani?