Hivi Mo akitoa Bilioni 20 anatakiwa kuwapa wakina nani?

Hivi Mo akitoa Bilioni 20 anatakiwa kuwapa wakina nani?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Mi naelewa kwamba kama mtu unakampuni, tuseme mtaji wake ni 1,000,000 na wewe ni mmiliki asilimia 100. Ukimuuzia mtu asilimia 50 ya kampuni basi atakupa 500,000 na wewe utazitia mfukoni na kwenda kunywa bia , kuhonga nk.
Sasa Mo anavyonunua hisa na kutoa hizo 20 b anamkabidhi nani ambaye ndiyo mmiliki wa Simba?
 
Mi naelewa kwamba kama mtu unakampuni, tuseme mtaji wake ni 1,000,000 na wewe ni mmiliki asilimia 100. Ukimuuzia mtu asilimia 50 ya kampuni basi atakupa 500,000 na wewe utazitia mfukoni na kwenda kunywa bia , kuhonga nk.
Sasa Mo anavyonunua hisa na kutoa hizo 20 b anamkabidhi nani ambaye ndiyo mmiliki wa Simba?
Anatakiwa awape Simba sports club company,

Na hela itakua deposited kwenye account ya kampuni,

Nadhani nimekujibu swali lako vizuri.
 
Mi naelewa kwamba kama mtu unakampuni, tuseme mtaji wake ni 1,000,000 na wewe ni mmiliki asilimia 100. Ukimuuzia mtu asilimia 50 ya kampuni basi atakupa 500,000 na wewe utazitia mfukoni na kwenda kunywa bia , kuhonga nk.
Sasa Mo anavyonunua hisa na kutoa hizo 20 b anamkabidhi nani ambaye ndiyo mmiliki wa Simba?
Wadhamini wa klabu kwa niaba ya wanachama

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Nani anayemiliki hiyo Simba sport club company. Maana huyo ndiye hasa anauza hisa na ndiye anatakiwa kupewa pesa.
According to FFC,Simba bado hawajakamilisha mchakato,kwahiyo Simba bado haijawa kampuni,

Mo dewji hauzi shares,ila ana mpango wa kununua shares za 49% ambazo zina gharimu 20B kwa mujibu wake na viongozi wa Simba,

Kwa madai yao mchakato ukikamilika wa ku-transform club from member's tier to shareholders' tier ndo ataweka mzigo,

Ikumbukwe Simba wanatumia mfumo wa 'board of directors' ilihali club bado haijawa transformed,

Karibu.
 
Mi naelewa kwamba kama mtu unakampuni, tuseme mtaji wake ni 1,000,000 na wewe ni mmiliki asilimia 100. Ukimuuzia mtu asilimia 50 ya kampuni basi atakupa 500,000 na wewe utazitia mfukoni na kwenda kunywa bia , kuhonga nk.
Sasa Mo anavyonunua hisa na kutoa hizo 20 b anamkabidhi nani ambaye ndiyo mmiliki wa Simba?
Ampe Kigwangalla!
 
According to FFC,Simba bado hawajakamilisha mchakato,kwahiyo Simba bado haijawa kampuni,

Mo dewji hauzi shares,ila ana mpango wa kununua shares za 49% ambazo zina gharimu 20B kwa mujibu wake na viongozi wa Simba,

Kwa madai yao mchakato ukikamilika wa ku-transform club from member's tier to shareholders' tier ndo ataweka mzigo,

Ikumbukwe Simba wanatumia mfumo wa 'board of directors' ilihali club bado haijawa transformed,

Karibu.
Hapo kidogo nimekupata mkuu. Kwahiyo hao members/wanachama watageuzwa kuwa wanahisa(maana si ndiyo wamiliki wa club) na kisha waingiziwe mpunga?
 
Na wao Simba wanatoa nini?.
Na hizo hela zitarudi vipi.au ni msaada?
Kama moo amepewa hisa ya 49% na anatakiwa atoe bilioni 20.
Simba waliobaki na hizo asilimia 51% wao wanatoa nini?
Anatakiwa awape Simba sports club company,

Na hela itakua deposited kwenye account ya kampuni,

Nadhani nimekujibu swali lako vizuri.
 
Hapo kidogo nimekupata mkuu. Kwahiyo hao members/wanachama watageuzwa kuwa wanahisa(maana si ndiyo wamiliki wa club) na kisha waingiziwe mpunga?
Kutokana na sheria na taratibu zetu,wananchii(wanachama wa Simba) ndo watakua wamiliki wa hizo 51%,Maana Mo alitakaga kuchukua 100% ila sheria ikambana.
 
sasa huo utakuwa msaada sio UWEKEZAJI.
Hizo hela zitarudi vipi?
Kwani club ya Simba Ina thamani ya kiasi gani Cha fedha?
Simba ni mali yao, wameamua tu kuuza 49 percent kwa twenty Bln. watoe nini tena?
 
Na wao Simba wanatoa nini?.
Na hizo hela zitarudi vipi.au ni msaada?
Kama moo amepewa hisa ya 49% na anatakiwa atoe bilioni 20.
Simba waliobaki na hizo asilimia 51% wao wanatoa nini?
Simba hawatoi kitu maana wao ndio brand/project ambayo Mo anakusudia kuweka mzigo in a return of profit,

Kuhusu Mo generate profit au kufanya Kama hisani hapo ni 'secrecy of the business' ila inaaminiwa kua Mo anataka kuisaidia Simba kule ilipotoka,

Hizo hisa nyingine 51% zitamilikiwa na club members,Lakini sio mtu mmoja eti kumiliki hisa kwa more than 50%,

Karibu.
 
Mi naelewa kwamba kama mtu unakampuni, tuseme mtaji wake ni 1,000,000 na wewe ni mmiliki asilimia 100. Ukimuuzia mtu asilimia 50 ya kampuni basi atakupa 500,000 na wewe utazitia mfukoni na kwenda kunywa bia , kuhonga nk.
Sasa Mo anavyonunua hisa na kutoa hizo 20 b anamkabidhi nani ambaye ndiyo mmiliki wa Simba?
Wazee wa mujini
 
Back
Top Bottom