Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Mi naelewa kwamba kama mtu unakampuni, tuseme mtaji wake ni 1,000,000 na wewe ni mmiliki asilimia 100. Ukimuuzia mtu asilimia 50 ya kampuni basi atakupa 500,000 na wewe utazitia mfukoni na kwenda kunywa bia , kuhonga nk.
Sasa Mo anavyonunua hisa na kutoa hizo 20 b anamkabidhi nani ambaye ndiyo mmiliki wa Simba?
Sasa Mo anavyonunua hisa na kutoa hizo 20 b anamkabidhi nani ambaye ndiyo mmiliki wa Simba?