Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
๐๐๐๐Sasa kwani hujasikia wamemleta debora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Sasa kwani hujasikia wamemleta debora
20b zipo uttKigwangala anaulizia 20B aliziweka bank gani?
Kwani hela ya usajili ndiyo hiyo hiyo ya hisa? Basi mlipigwa! Kigwangala mbona huwa anafuatilia zile 20 billion?Hakika pesa inamwagika msimu huu pale msimbazi
Kigwangala yuko wapi atoe pongezi ?
Naomba utusogezee hilo jibu la Kingwa, hata mimi nina shauku ya kulifahamuAlijibu Kigwangala hili swali.
Atuachie Timu yetuKwani hela ya usajili ndiyo hiyo hiyo ya hisa? Basi mlipigwa! Kigwangala mbona huwa anafuatilia zile 20 billion?
Thiiimbaaaa lete mdhungu.Hakika pesa inamwagika msimu huu pale msimbazi
Kigwangala yuko wapi atoe pongezi ?
Yaani Ginnery ๐คฃKigwangala huwa anafikir kuendesha timu ya mpira ni sawa na kuendesha kiwanda cha pamba
Aweke yeye na asajiri sasa, muda ndo huu, anakwamaa wapiii?Kigwangala anaulizia 20B aliziweka bank gani?
Tuletee hilo jibu tulionee.Alijibu Kigwangala hili swali.
Siyo akisema,alishasema,miaka mitano iliyopita aliinunua Simba na ni yake๐Msifieni tu. Siku akisema hiyo timu ni mali yake msianze tena kupagawa huku mkimlaumu Mangungu.
Hakika pesa inamwagika msimu huu pale msimbazi
Kigwangala yuko wapi atoe pongezi ?
MO pesa za usajili hatoi kama sadaka, anatoa kwa makubaliano maalum Sasa akija kuwaeleza amesha tumia bilioni 100 na Simba Alisha inunua baadhi ya mashabiki Wana shangaa.Kuna kitu huwa sielewi naomba mnieleweshe. Kwa mujibu wa mchakato wa mabadiliko, wanachama wanamiliki 51% ya hisa pale Simba na Mo (mwekezaji) anamiliki 49%.
Sasa inakuwaje pesa za usajili tunategemea Mo ndio atoe nyingi kuliko wanachama?????
Aweke yeye na asajiri sasa, muda ndo huu, anakwamaa wapiii?
Kigwa yalimshinda ya baba yake ataweza ya Simba?Mpumbavu yule, hawezi hata kutuma nauli ya Mpanzu toka Congo
bro 20zilo uttNina imani msimu ukianza mwamedi hana lawama maana kasajili,mkiwa wa nne msianze kudai B20๐