Hivi Mo dewji anamwaga mabilioni ya Usajili Kigwangala huwa anakuwa wapi?

Hivi Mo dewji anamwaga mabilioni ya Usajili Kigwangala huwa anakuwa wapi?

Kanjibai atuoneshe hizo billioni ishirini ziko benki gani ????
 
Kwani Kigwangala ni muwekezaji wa simba? Ana share zozote simba? Tunamzungumzia Tajiri MO mwenye hisa simba ,Kigwangala kama mwanachama ana haki ya kujua zile 20B za uwekezaji aliziweka BANK gani?
Moja kati ya vyanzo vya Simba ni grants kutoka kwa wadau mbalimbali. Kigwa kama mdau muhimu atoe basi hela wakati huu wa uhitaji, sio kubwabwaja tu. Kumbuka alishawahi kusema anaweza kufanya hivyo.
 
Moja kati ya vyanzo vya Simba ni grants kutoka kwa wadau mbalimbali. Kigwa kama mdau muhimu atoe basi hela wakati huu wa uhitaji, sio kubwabwaja tu. Kumbuka alishawahi kusema anaweza kufanya hivyo.
Yes kigwa ni mdau na anachangia kupitia uwanachama wake wa simba...Challenge zote za simba za kurise fund anashiriki.
 
Kuna kitu huwa sielewi naomba mnieleweshe. Kwa mujibu wa mchakato wa mabadiliko, wanachama wanamiliki 51% ya hisa pale Simba na Mo (mwekezaji) anamiliki 49%.

Sasa inakuwaje pesa za usajili tunategemea Mo ndio atoe nyingi kuliko wanachama?????
Nadhani hiyo asilimia 51, ni hewa yaani haina hela swali fikirishi je hiyo asilimia 49 Hela iko kwenye account
 
Anaandaa proposal ya kwenda kukopa pikipiki (boxers) toka kwa tajiri Mo subiri apigwe chini hapo utamuona kwenye vyombo vya habari.
 
Khanjibai mjanja Sana, anambinu zilezile za ki ccm tengeneza tatizo alafu litatue.
 
Back
Top Bottom