Nisaidie namba yake ili nimuulize kwanini anakuita hivyo?Heri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Posho unazompa humsaidia ktk mambo mengi.Heri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Dah ni mitaa hiyohiyo kweliπKuna nyumba ya wapangaji ya Mzee karibu na kwa Shao nilenda kucheki ustarabu. Nilikuita hukunisikia
Nipo tu maandaz hayatoki sikuhiz nakosa bandoUlipotelea wapi au ulitekwa
Pole sana next time uwe unasema nakutumiaNipo tu maandaz hayatoki sikuhiz nakosa bando
Hebu fanya kama unajaribu nione πPole sana next time uwe unasema nakutumia
Mubaba maana yake sponsorHeri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
πππ aiseee.!Kuna mmoja ananiita mdau
Nawewe muite MumamaHeri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Wewe ni mwekezaji hapo mbabaππHeri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Mubaba ni danga la kiume ambaye hatulii na mke wake bali anahangaika na vitoto vya 2000.Heri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Kwa siku nyingine leo nimegawa sana vochaHebu fanya kama unajaribu nione π
Huyo inaonesha hajawahi kutoka na mwanaume aliye kwenye 30's wewe ndio wa kwanza ndio maana amekuita hivyoKwa nini asiniite hata uncle?ananizeesha kwa kuniita mubaba