Hivi mpenzi wako anapokuita "mubaba"anakua na maana gani?

Hivi mpenzi wako anapokuita "mubaba"anakua na maana gani?

Heri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Nisaidie namba yake ili nimuulize kwanini anakuita hivyo?
 
Heri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Posho unazompa humsaidia ktk mambo mengi.
 
Heri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Mubaba maana yake sponsor
 
Heri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Nawewe muite Mumama
 
Heri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Wewe ni mwekezaji hapo mbaba😂😂
 
Mubaba ni danga la ki
Heri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Mubaba ni danga la kiume ambaye hatulii na mke wake bali anahangaika na vitoto vya 2000.
 
mubaba=mzee wa makamu,hauko tena kwenye chart ya top20 ya kupendwa/mapenzi,ukiona mwanamke anakuita KAKA jua kwamba hakutaki anakuweka angle ya ndugu jua haujamvutia/hauvutii kimapenzi, lakini akikuita MKAKA uwezekano wa kumla tunda lake upo.jiongeze.
 
Back
Top Bottom