Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera yake.unashangaa hiyo wakati Rwanda alipokewa na waziri wa michezo airport
Hiyo ndo sababu....Nilikutana naye msumbiji,nikawa mwenyeji wake,yaliyonikuta sitakuja sahau,nilichogundua huyu jamaa nidhamu ndiyo iliyomponza,ni kama limbukeni wa maisha vile,anapenda starehe na kutumia pesa bila mpangilio
Mhh!Mshikaji alikuwaga na viuno acha kabisa.
Mimi ni she...ok basi ni jambo jema hilo, ww ni she or he?
duuuuh! basi ww ulichanganywa na mauno, tatizo lako hutaki kusema ukweli, mimi mwenyewe kwa mauno mr. nice atasubiri sanaMimi ni she...
Duuu commercial break...duuuuh! basi ww ulichanganywa na mauno, tatizo lako hutaki kusema ukweli, mimi mwenyewe kwa mauno mr. nice atasubiri sana
hahahaha..............alrightooo linguistics .Duuu commercial break...
HahahahaaaaaHao wenye uchawi wao mbona hawatusui kwenye mziki kimataifa??.. Au huo uchawi una mipaka
Duh!! We mwananchi kumbe upo?! Mi nikadhani umehamia Michuzi blog!Hahahahaaaaa
Nipo wangu, michuzi blog kufanyeje JF mambo yoteeee. Nimekumiss tukutane sirini.Duh!! We mwananchi kumbe upo?! Mi nikadhani umehamia Michuzi blog!
Yesu Kristu WA nazareti, nife au nibaki???unashangaa hiyo wakati Rwanda alipokewa na waziri wa michezo airport