Hivi Mr. Nice uchawi wake alichukua wapi?

Hivi Mr. Nice uchawi wake alichukua wapi?

unashangaa hiyo wakati Rwanda alipokewa na waziri wa michezo airport
Hongera yake.
upload_2016-4-13_1-19-51.jpeg
 
Wimbo wake wa "friday night..pia 'Mama' ni kiwango hadi kesho..
Afanye colabo na Saida Karoli..
 
Sijui alikosea wapi?..au hajamlipa mganga wake?..maana hawa madogo kwa waganga hawajambo!..
 
Nilikutana naye msumbiji,nikawa mwenyeji wake,yaliyonikuta sitakuja sahau,nilichogundua huyu jamaa nidhamu ndiyo iliyomponza,ni kama limbukeni wa maisha vile,anapenda starehe na kutumia pesa bila mpangilio
Hiyo ndo sababu....
 
Sasa bila kutoa ngoma kali moto moto atashine vipi??? Manake hela hata uwe nazo mabilioni ya dola kama huingizi tena we ni kuspend tu na dadaz plus wapambe lazima ziishe
 
Yaani mtu anakwenda Stockholm kufanya hivyo tu hata walevi wa kwenye vilabu vya kimpumu wanamzidi!. Maajabu.
 
Back
Top Bottom