GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #101
Kuwa muda wote JamiiForums ndiyo kunakuambia kuwa Mtu anakuwa hana Shughuli ya Kufanya? Nikiwadharau kwa kutokuwa na Akili ( kuwa Majuha ) mnachukia.Acha ujinga wako wewe mshenzi unajisifia kipumbavu hapa yani mda wote unashinda jamiiforum kama mimi afu unasema uko karibu na wakuu utashauri nini na kwa ubongo upi? Tuliza akili kijana