Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 950
- 1,262
Sengerema ilizaliwa toka wilaya ya Geita,nabhona nane nachembele hoiliWasukuma original ile OG wanapatikana Kwimba, hii wilaya imezaa wilaya za Magu, Missungwi na Sengerema na imebaki kuubwa tuu. Huko ndiyo Wasukuma OG tunatokea.
Meatu shule ganiKweli make me nmezaliwa kahama na nmekulia huko lakin sekondari nikasomea maeneo ya meatu na skubaguliwa kwa tofauti ya kirafudhi kwa kisukuma changu na nmeenda advance tukakutana na wasukuma toka sehem mbali mbali na hatukubaguana na kulikua na sheria moja tu Ukiona wakukaya analega kwenye msuli inabid akanywe haraka yani niliinjoy dana pande zile japo tuliitwa wazee wa kukamia masomo ya science na mwishowe tulifanikiwa kutoboa kwa wingi sana mtihan wa Ndalichako .
Kwa kifupi hatujawah baguana na haitakuja kubaguana sis kwa sisi ama hata jamii zingine.
Siye ukija hata kama sio wa kukaya unaomba ubunge unaweza chaguliwa tu nduhu tabhu gete.
acha uutani hata 1/3 hamfikiMtakoma awamu hii, sisi ni robo tatu ya watz wote. Mashuleni, vyuoni saivi tumejaa tele kama hautaki shauri yako ndoho ntabhu ghete.
Nilikwenda Bunda sikuamini kukuta jamii ya Wasukuma kubwa sana. Na hata nasikia Esther Bulaya ni Msukuma japo sina uhakika kwa baba au mama.Wasukuma original wanapatikana srhemu za mashambani kuanzia biharamulo, teremka hadi geita, shinyanga, mwanza, simiyu, igunga, nzega hadi bunda....wengine wako kule ihefu, kigamboni, kilosa, rukwa, katavi, kibondo na singida. Kuna wasukuma hybrid waliochanganya wazazi....hawa wako miji yote ya Tanzania......
Kiuhalisia kabisa sukuma walihamia kutoka nchi ya ethiopia huko ndio hasiri yao ila inawezekana napo huko kuna sehemu walitoka kabla kwan jamii za zamani zilikuwa zinahama kutokana na sababu mbalimbali mfano kushindwa vita na himaya kuchukuliwa, majanga, kujitenga kutoka kwenye utawala fulani au kufukuzwa na jamii husika
Ni maajabu kila jamii inasema imeanzia Ethiopia!
Ni ujinga wa hali ya juu.Wabantu hawapo Ethiopia,walianzia Eastern parts of Cameroon,Congo na Nigeria wakaanza ku-migrate huku.Hebu rudini shule msome Bantu Migration!
Ni maajabu na kweli kila kabila,sio Wachaga,Waarusha,Wameru,Watutsi,Wahaya,etc,kila mmoja anadai walitokea Ethiopia!Kenya karibu makabila yote wanadai walitokea Ethiopia,kama Kikuyu (bantu),Luhya (Bantu),Meru (Bantu),Kamba(bantu),etc...wakati wote hawa ni Wabantu walitoka West Africa,hawana uhusiano wowote na Ethiopia.
Hivi kwanini hivi vikabila vyetu vya kibantu vinapenda kujisogeza kwa makabila ya Afro-asiatics?Kila mtu anajisogeza na Somalis,mara Ethiopia,mara Djibout,Waisraeli,etc...ukoloni,ukoloni mtupu!
Safi sana...Nani kakwambia wazinza,wasumbwa,wakonongo ni wassukuma??? Kwa huku kwetu tuna Bhanantunzu,bhadakama(wanyamwezi), Bhanang'wagala, Bhasumabhu na Bhanabhulima ndio hao wanaform kabila la WASUKUMA ambapo kuna wengine huwagawa kwa pande kuu nne za dunia.
Na kwa nyongeza tu hatujawahi kubaguana hata siku moja siye tukikutana na kujuana tunaanza na kubonga kikwetu iwe ndan ama nje ya mikoa tunayopatikana kwa wingi .
Pia wewe ni "mjinga" maana unalazimisha historia uliyoisoma na kuiamini ndo kila mtu aikubali.
Siyo kweli, fanya utafiti zaidiMsukuma halisi kabisa niwa nnhela, Maeneo ya wilaya ya kwimba, misungwi na nusu ya maswa, magu na kishapu hao ndio wasukuma halisi
Fact! Na safari ya mababu zetu ilianza karne ya 6
UmejitahidiBasukuma= Wakaskazini
Banang'weli= Wamagharibi
Badakama= Wakusini (mnawaita wanyamwezi kwa kweli hakuna wanyamwezi)
Banakiya= Wamashariki
Hawa wote ni lugha moja watofautiana lafidhi tu
Wasukuma (bhasukuma) ni Mwanza na Shinyanga
Banang'weli(bhanang'weli) hawa ni wasumbwa wanakaa zaidi sehemu za Geita na Kahama
Badakama (bhadakàma) au wanyamwezi mkoa wapo eneo karibu lote la Tabora
Banakiya(bhanakiya) ni wanyantuzu ni wasukuma maeneo yao ni Bariadi, Maswa tuseme mkoa wote wa Simiyu kwa akina Cheyo,Shibuda na Vijisenti
Nimeishia hapo kama anayejua zaidi karibu
SUKUMA ni kaskazini
DAKAMA ni kusini
KIYA ni mashariki
NG'WELI ni magharibi
Watu hawa lugha moja ni mtawanyiko wao ulivyo
Wasukuma wametokea Ethiopia
Huwa sipendi sana kitoto kunitukana kama kiingereza wengine tulijifunza zidi ya hayo maneno!!..hoja hupingwa kwa hoja sio viroja!!...Napinga kabisa...Ethiopians hermites are the oldest kuliko bantu,just next to khoisans...
Sasa wewe mbantu umetokea wapi horn of Africa?
Wewe negroid motherfucken bantu imetokana watu na afro asiatics?Acheni kulamba watu matako namna hii!
Wabantu wote tumetoka west africa,story ya ethiopia ni myth!
Nipe academic paper to support your outlandish claim!