Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

Huwa sipendi sana kitoto kunitukana kama kiingereza wengine tulijifunza zidi ya hayo maneno!!..hoja hupingwa kwa hoja sio viroja!!...

Ukitaka info disemination learn to know right questions to ask!....


Na wewe ndio umejibu hoja hapo?

Negroid ni tusi?

Whats your problem hasa?
 
Huna historical paper au evidence of any kind ku back up your claims!

Huna!

Tangu lini Hemites wakawa na ukoo na Wabantu?

Yaani wewe ni kiazi!

Halafu mkuu DNA ina demolish everything u think ni kabila!

Your personal DNA can be closer to me a Chagga than actually your fellow Sukuma!

Makabila ni mkusanyiko wa watu mbalimbali tena unakuta originally hawana common origin!Ni political construct,DNA ime debunk this left an right!

Acha uswahili wako wa kujizogeza kwa hermites wa Ethiopia na ni proven ni the oldest group than even Bantu themselves!

Wabantu tumetoka West Africa ni proven!I can give u numerous scholarly papers for u to read!Acheni ku mislead watu sababu mna mapenzi na Ethiopia na Somalia sababu wana caucasoid features za nywele laini na high chick bones na longer frames than we bantus!

Bado una akili za kitumwa juu ya ubantu na asili yao. Yaani umeona Afrika magharibi na kati ndio sehemu sahihi kabisa ya Wasukuma na makabila mengine ya aina hiyo. Ebu tembelea pale Bujora Museum uisome historia ya Wasukuma vizuri na uielewe.

Tatizo lako wewe umejaa ujuaji wa kipumbavu ukadhani wengine hatujui tunachosema. Alafu history is always refutable, sasa kutaka kila mtu akubali imani na upeo wako juu ya ubantu ni "ukichaa" na jifunze kukubali mawazo mapya.
 
Bado una akili za kitumwa juu ya ubantu na asili yao. Yaani umeona Afrika magharibi na kati ndio sehemu sahihi kabisa ya Wasukuma na makabila mengine ya aina hiyo. Ebu tembelea pale Bujora Museum uisome historia ya Wasukuma vizuri na uielewe.
Tatizo lako wewe umejaa ujuaji wa kipumbavu ukadhani wengine hatujui tunachosema. Alafu history is always refutable, sasa kutaka kila mtu akubali imani na upeo wako juu ya ubantu ni "ukichaa" na jifunze kukubali mawazo mapya.


Museum ni upumbavu!

Nipe scholarly work hapa nisome!

Wewe kunishambulia eti nina ujuaji hakusaidii chochote kukufanya wewe kua sahihi na assertations zako za myth ya Ethiopian origin..

Sukuma ni wabantu pure,sasa Ethiopian ndio walianza wabantu?una DNA study to support your stupidity?

Hivi umesoma Bantu Expansion darasani au uliruka madarasa?

Ethiopian origin is pure stupidity na myth..hutaki andamana!
 
Museum ni upumbavu!

Nipe scholarly work hapa nisome!

Wewe kunishambulia eti nina ujuaji hakusaidii chochote kukufanya wewe kua sahihi na assertations zako za myth ya Ethiopian origin..

Sukuma ni wabantu pure,sasa Ethiopian ndio walianza wabantu?una DNA study to support your stupidity?

Hivi umesoma Bantu Expansion darasani au uliruka madarasa?

Ethiopian origin is pure stupidity na myth..hutaki andamana!
Naona wewe ndo linakusumbua suala hili na sio mimi. Kwa maana hiyo wewe ndo mjinga na umekazania ujuaji wa kipumbavu. Yaani umeamua kuwapangia baadhi ya makabila asili yao kwa sababu tu some scholars and researchers wameandika. Yaani watu kama nyinyi unaweza ukaulizwa swali kuhusu North Korea ukaishia kuzungumzia suala la Nuclear bomb and missiles tu. Pole sana ila una mda bado wa kujifunza mambo mpya hapa duniani.
 
Naona wewe ndo linakusumbua suala hili na sio mimi. Kwa maana hiyo wewe ndo mjinga na umekazania ujuaji wa kipumbavu. Yaani umeamua kuwapangia baadhi ya makabila asili yao kwa sababu tu some scholars and researchers wameandika. Yaani watu kama nyinyi unaweza ukaulizwa swali kuhusu North Korea ukaishia kuzungumzia suala la Nuclear bomb and missiles tu. Pole sana ila una mda bado wa kujifunza mambo mpya hapa duniani.



Sio kuwapangia..kinacholeta uhakika ni study tena scientific na deep study ya anthropology na jamii husika na sio mnavyovifikiria vichwani mwenu na hadithi za uongo mnazorithishana kwa fasihi simulizi zenu bila evidence zozote ambazo zina hold water!

Unachoamini ni kinyume kabisa na findings za study!

Genetic make up ya horners ni tofauti na ya Bantu...wana specific genetic marker tofauti na bantus na sisi tuna markers zetu wao hawana...DNA study tu inakuonyesha wazi kuna tofauti kubwa,halafu wewe ghafla leo unakuja na theory eti bantus tumetokana na horners?!Man,are u serious?

Usichukue anachokwambia mzee wa kijijini kwako,soma scholarly works!

Scholars na reseachers wana upper hand kuliko story mnazodanganyana nazo...Hivi wewe leo hii unataka tukuamini wewe kwa word of mouth tuwaache waliofanya true research?Be serious people!

Tatizo una maneno mengiiii ila ushahidi kua mnatoka HOA hutoi,unaishia kusema eti "tunaamini"!It is hilarious!
 
Na wewe ndio umejibu hoja hapo?

Negroid ni tusi?

Whats your problem hasa?
unajua maana ya sentensi ulizoandika, hapa chini!?..
"Wewe negroid motherfucken bantu umetokana watu na afro asiatics?Acheni kulamba watu matako namna hii!
 
Kuna wengine ni Wasukuma wa Kuadopt tunaitwa Saayu Saayu Saita
 
Hivi ukiigiza sana black american life ndio ujanja?.



Nani kakwambia hiyo ni black american?

Na wewe kuiga sana uingereza ndio ujanja?

Stop being naive...

Umegeuka life coach as if una maisha bora sana zaidi ya wengine unaacha msingi wa hoja,ushahidi wa Wasukuma ambao ni Wabantu 100% wametokaje kwa horners ambao ni Afro Asiatics wenye DNA markers tofauti na Wabantu upo wapi?

Tupeni ushahidi,aidha study au DNA closeness yoyote proven!Hakuna!

Mnaishia kua walimu feki wa watu waishije na kuongeaje wakati nao ni choka mbaya!
 
Lakin ti kwa hekima mpaka leo tunawaanzi hao watawala wa mwanzo kwa salam japo sku izi watu hawajui ata maana ya hizo hekima za salam (lwimbo) na kwa hawa watawala kunawaliokuwa na maeneo makubwa sana na wanaonekana kuwanaidadi kubwa ya watu kama vile MINZA,( wanatumia EMINZA), Wengine ni akina.
NKWAYA,SEGA,NKWIMBA,SABHE,NG'WASHI,n.k
Na kuna hawa wanasalimiwa NG'WAKADILU walifata kwa huyu mama KADILU hakuwa mtemi na alizaliwa tu kwa kufata jua na asubuhi na alipaya pia wa kumuunzi kwa salam

Chifu, umesahau Ngolo (wanatumia Engolo).
 
Basukuma= Wakaskazini
Banang'weli= Wamagharibi
Badakama= Wakusini (mnawaita wanyamwezi kwa kweli hakuna wanyamwezi)
Banakiya= Wamashariki

Hawa wote ni lugha moja watofautiana lafidhi tu
Wasukuma (bhasukuma) ni Mwanza na Shinyanga
Banang'weli(bhanang'weli) hawa ni wasumbwa wanakaa zaidi sehemu za Geita na Kahama
Badakama (bhadakàma) au wanyamwezi mkoa wapo eneo karibu lote la Tabora
Banakiya(bhanakiya) ni wanyantuzu ni wasukuma maeneo yao ni Bariadi, Maswa tuseme mkoa wote wa Simiyu kwa akina Cheyo,Shibuda na Vijisenti
Nimeishia hapo kama anayejua zaidi karibu
SUKUMA ni kaskazini
DAKAMA ni kusini
KIYA ni mashariki
NG'WELI ni magharibi
Watu hawa lugha moja ni mtawanyiko wao ulivyo
Cc Kasie
 
You need a doctor Asap!..


Unakimbia kujificha!

Face off hoja mezani acha kujipa cheo cha medical practitioner kunipa ushauri kumuona doctor,ili walao kujua una mandate hiyo attach cheti chako hapa!

Ni maajabu leo umejigeuza mtoa ushauri wa kitabibu!Stick to your job acha kuvamia fani za watu.Inaonesha upo desperate on something!
 
Sehemu yao ya uzawa inaitwa Majebele, far east of sukuma land, hapa ndio pana Malkia anayezaa wasukuma, ndio maana wasukuma wana move kutoka East kwenda west and south of Sukuma land, meaning From Simiyu, to Mwanza, Shinyanga, Geita, Rubondo, Biharamulo, Kahama, etc.
 
Msukuma halisi kabisa niwa nnhela, Maeneo ya wilaya ya kwimba, misungwi na nusu ya maswa, magu na kishapu hao ndio wasukuma halisi
Ndio maana tunaambiwa tunabaguana,sengerema na geita wanakaa akina nani?
 
Ni maajabu leo umejigeuza mtoa ushauri wa kitabibu!Stick to your job acha kuvamia fani za watu.Inaonesha upo desperate on something!

Fani yangu ni ipi kwa muono wako!?..seemz unanijua halafu unajua unakuwaga na akili za kitoto sana!!..

Una maisha ya fantasies sana hujui njia za kuchangamana na jamii kabisa, mawazo yako ya kipuuzi pia!.. Yani hata sielewi mazingira yako yapoje, coz kama uhuni hata wengine tumefanya na tunajionea daily lakini hatuuonyeshi always!.

Grow up and as i told before! [in order to dessiminate infos learn to ask the right questions!].

for your sickhead maana ya wasukuma ni 'northerners' or 'people from north' kiswahili cha "watu wa kaskazini" mengine nenda Bujora kajisomee
 
Nani kakwambia wazinza,wasumbwa,wakonongo ni wassukuma??? Kwa huku kwetu tuna Bhanantunzu,bhadakama(wanyamwezi), Bhanang'wagala, Bhasumabhu na Bhanabhulima ndio hao wanaform kabila la WASUKUMA ambapo kuna wengine huwagawa kwa pande kuu nne za dunia.
Na kwa nyongeza tu hatujawahi kubaguana hata siku moja siye tukikutana na kujuana tunaanza na kubonga kikwetu iwe ndan ama nje ya mikoa tunayopatikana kwa wingi .
Kula LIKE yangu mkubwa..
Na wengine walikimbilia Marekani, wako weusi hivi...🙂🙂🙂🙂
 
Kiuhalisia kabisa sukuma walihamia kutoka nchi ya ethiopia huko ndio hasiri yao ila inawezekana napo huko kuna sehemu walitoka kabla kwan jamii za zamani zilikuwa zinahama kutokana na sababu mbalimbali mfano kushindwa vita na himaya kuchukuliwa, majanga, kujitenga kutoka kwenye utawala fulani au kufukuzwa na jamii husika
Mkuu ulicho sema ni ukweli Mimi nilifatilia hilo,nikaambiwa hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom