Meatu shule gani
Wabheja sana nkoyiSafi sana...
Nzugu ung'we nhunda ya mabhele Magu aha...
Mkuu walitokea western kuelekea east na huko waliishi kwa kipindi kirefu walikutana na kimbembe kutoka kwa wamasaiv(kutoka ukoo wa wali) hii stori huwa haitoi na ni ngum sana kujua kwa sababu za kuondoa uhasama wa kikabila ndio walianza kurud tena magharibi .Sehemu yao ya uzawa inaitwa Majebele, far east of sukuma land, hapa ndio pana Malkia anayezaa wasukuma, ndio maana wasukuma wana move kutoka East kwenda west and south of Sukuma land, meaning From Simiyu, to Mwanza, Shinyanga, Geita, Rubondo, Biharamulo, Kahama, etc.
[emoji1][emoji1][emoji1]Thanks homie..... nimeona.
Wanyamwezi hoyeeeee
VIVA Wanyamwezi. .......
Na nyengine ni ENKAMBA maamkizi haya wengi wapo ni wilaya ya Kahama Shinyanga. Naskia asili yake ni mtu kutoka Kenya kabila Mkamba alipewa utawala na watu wa Kahama kaskazini (Lyandi lya Baloha), sijui nadhani Baloha walikuwa wenyeji wa eneo hilo. KAMA KUNA MTU ANAJUA ZAIDI ANIPE HISTORIA HIYO TAMU. Wasukuma wapole, hawapendi purukushani, wanapenda amani halafu ni wengi sana lakini hawapendi kuona uchafuzi wa amani
Kwa wale wadau ambao mshawahi kuishi na kukaa usukumani mtakuwa mnatambua ndani ya usukuma kuna jamii karibia tano na wote wanajiita wasukuma
Lakini ndani ya usukuma wenyewe kwa wenyewe wamekuwa wakibaguana ya kutokana na asili ya walipotokea kwa mfano zipo jamii ambazo zinasadikika walitokea zambia,rwanda,burundi,congo, uganda zilikuja kuishi maeneo ya tabora, mwanza,geita,shinyanga wanajiita wasukuma lakini inasemekana sio wasukuma.
Kwa mfano ndani ya usukuma kuna jamii kama vile wazinza,wasubwa,wadakawa, wanyatuzu,wakonondogo,watusiyoo n.k na kila jamiii ina historia yake ni wapi walipotokea ila wengi wakiwa mijini wanajiita wasukuma lakini wakirudi makwao wanabaguana kuwa sisi wasukuma wale sio wasukuma.
Hebu tusaidiane ivi msukuma asili au asili ya msukuma inatokea katika jamiii ipi au wenyewe wasukuma original wanatokea sehemu gani
Waha haoWazilankende!!!!???
Fani yangu ni ipi kwa muono wako!?..seemz unanijua halafu unajua unakuwaga na akili za kitoto sana!!..
Una maisha ya fantasies sana hujui njia za kuchangamana na jamii kabisa, mawazo yako ya kipuuzi pia!.. Yani hata sielewi mazingira yako yapoje, coz kama uhuni hata wengine tumefanya na tunajionea daily lakini hatuuonyeshi always!.
Grow up and as i told before! [in order to dessiminate infos learn to ask the right questions!].
N for your sickhead maana ya wasukuma ni 'northerners' or 'people from north' kiswahili cha "watu wa kaskazini" mengine nenda Bujora kajisomee Mpuuzi wewe!
FactNani kakwambia wazinza,wasumbwa,wakonongo ni wassukuma??? Kwa huku kwetu tuna Bhanantunzu,bhadakama(wanyamwezi), Bhanang'wagala, Bhasumabhu na Bhanabhulima ndio hao wanaform kabila la WASUKUMA ambapo kuna wengine huwagawa kwa pande kuu nne za dunia.
Na kwa nyongeza tu hatujawahi kubaguana hata siku moja siye tukikutana na kujuana tunaanza na kubonga kikwetu iwe ndan ama nje ya mikoa tunayopatikana kwa wingi .
Uko vzr....kwenye hizo salamu umenifungua skujua maana yakeMkuu naweza sema kwamba hayo maeneo ndiyo yalikaliwa na wasukuma mwanzon na kwa mda mrefu sana kumbuka walikua wanatoka upande wa maghalibi ng'weri na kuelekea mashariki ambapo walienda kukumbana na wamaasai na kuweza kupata mikikimikik hasa watoto wa kiume (hapa staliweka wazi sana ) lakin ushawahi fatilia kwenye maholelo ya kwetu chanzo cha kuwa wanapandwa na mizim na kuongea kimasai/ama kitaturu chanzo nin??? Kwain hifadhi ya maswa kwenye milima kuna nyumba nyingi za kale hata makaburi ya watu maalufu kama vile Nyendwa, Sita (huyu mpaka leo kuna nyumba ake na mabak ya ziz na ng'ombe wake waliobadilika na kuwa mawe na kisima chake na alisafir mpaka Butiama na alitabiri mpaka kuzaliwa kwa nyelele) mtemi wa mwisho wa meadu (ngwesa) .
Lakin pia fatilia story ya Ng'witulo gwa Ng'wawilyamu miaka ya 1950.
Kwa kifupi wasukuma wamegawanyika kuanzia zaman na hasa kufatana na utawala wao na hata maeneo yao na kuweza kuunda makundi yaliyopo mpaka sasa kama nilivyo yataja.
Na ikumbukwe kwamba kikwetu asili aridhi yote ni yawanawake na ndio walikua watawala japo kulingana na wakati walikua wanapinduliwa na waume zao .
Lakin ti kwa hekima mpaka leo tunawaanzi hao watawala wa mwanzo kwa salam japo sku izi watu hawajui ata maana ya hizo hekima za salam (lwimbo) na kwa hawa watawala kunawaliokuwa na maeneo makubwa sana na wanaonekana kuwanaidadi kubwa ya watu kama vile MINZA,( wanatumia EMINZA), Wengine ni akina.
NKWAYA,SEGA,NKWIMBA,SABHE,NG'WASHI,n.k
Na kuna hawa wanasalimiwa NG'WAKADILU walifata kwa huyu mama KADILU hakuwa mtemi na alizaliwa tu kwa kufata jua na asubuhi na alipaya pia wa kumuunzi kwa salam
Rekebisha mada yako Mkonongo,Mzinza,Mrongo si msukuma ni makabila tofauti kabisa wala si jamii za kisukuma labda Wadakama na Wanyantunzu ndo jamii za kisukumaKwa wale wadau ambao mshawahi kuishi na kukaa usukumani mtakuwa mnatambua ndani ya usukuma kuna jamii karibia tano na wote wanajiita wasukuma
Lakini ndani ya usukuma wenyewe kwa wenyewe wamekuwa wakibaguana ya kutokana na asili ya walipotokea kwa mfano zipo jamii ambazo zinasadikika walitokea zambia,rwanda,burundi,congo, uganda zilikuja kuishi maeneo ya tabora, mwanza,geita,shinyanga wanajiita wasukuma lakini inasemekana sio wasukuma.
Kwa mfano ndani ya usukuma kuna jamii kama vile wazinza,wasubwa,wadakawa, wanyatuzu,wakonondogo,watusiyoo n.k na kila jamiii ina historia yake ni wapi walipotokea ila wengi wakiwa mijini wanajiita wasukuma lakini wakirudi makwao wanabaguana kuwa sisi wasukuma wale sio wasukuma.
Hebu tusaidiane ivi msukuma asili au asili ya msukuma inatokea katika jamiii ipi au wenyewe wasukuma original wanatokea sehemu gani
Ni kweli kabisa ameandika asichokijua huyoNani kakwambia wazinza,wasumbwa,wakonongo ni wassukuma??? Kwa huku kwetu tuna Bhanantunzu,bhadakama(wanyamwezi), Bhanang'wagala, Bhasumabhu na Bhanabhulima ndio hao wanaform kabila la WASUKUMA ambapo kuna wengine huwagawa kwa pande kuu nne za dunia.
Na kwa nyongeza tu hatujawahi kubaguana hata siku moja siye tukikutana na kujuana tunaanza na kubonga kikwetu iwe ndan ama nje ya mikoa tunayopatikana kwa wingi .
Usiisahau na Mza ambapo ndo chimbuko kabisa la msukuma na akaanza kutawanyika kwenda kusini ambayo ni Shinyanga Magharib Sengerema na Geita,Kusini Magharib ni MnyamweziMsukuma halisi kabisa niwa nnhela, Maeneo ya wilaya ya kwimba, misungwi na nusu ya maswa, magu na kishapu hao ndio wasukuma halisi
Banang'weli ni wasukuma walioko Bunzinza(Sengerema) na Geita wala sio Wasumbwa hili ni kabila tofauti kabisa na wasukuma,ulishawahi kuwasikia wanaongea nusu kama kiha hiviBasukuma= Wakaskazini
Banang'weli= Wamagharibi
Badakama= Wakusini (mnawaita wanyamwezi kwa kweli hakuna wanyamwezi)
Banakiya= Wamashariki
Hawa wote ni lugha moja watofautiana lafidhi tu
Wasukuma (bhasukuma) ni Mwanza na Shinyanga
Banang'weli(bhanang'weli) hawa ni wasumbwa wanakaa zaidi sehemu za Geita na Kahama
Badakama (bhadakàma) au wanyamwezi mkoa wapo eneo karibu lote la Tabora
Banakiya(bhanakiya) ni wanyantuzu ni wasukuma maeneo yao ni Bariadi, Maswa tuseme mkoa wote wa Simiyu kwa akina Cheyo,Shibuda na Vijisenti
Nimeishia hapo kama anayejua zaidi karibu
SUKUMA ni kaskazini
DAKAMA ni kusini
KIYA ni mashariki
NG'WELI ni magharibi
Watu hawa lugha moja ni mtawanyiko wao ulivyo
Ni kweli ila hilo la lwimbo lwa Nkwaya ulitokana na mchanganyiko na kabila la wakwaya toka MaraMkuu naweza sema kwamba hayo maeneo ndiyo yalikaliwa na wasukuma mwanzon na kwa mda mrefu sana kumbuka walikua wanatoka upande wa maghalibi ng'weri na kuelekea mashariki ambapo walienda kukumbana na wamaasai na kuweza kupata mikikimikik hasa watoto wa kiume (hapa staliweka wazi sana ) lakin ushawahi fatilia kwenye maholelo ya kwetu chanzo cha kuwa wanapandwa na mizim na kuongea kimasai/ama kitaturu chanzo nin??? Kwain hifadhi ya maswa kwenye milima kuna nyumba nyingi za kale hata makaburi ya watu maalufu kama vile Nyendwa, Sita (huyu mpaka leo kuna nyumba ake na mabak ya ziz na ng'ombe wake waliobadilika na kuwa mawe na kisima chake na alisafir mpaka Butiama na alitabiri mpaka kuzaliwa kwa nyelele) mtemi wa mwisho wa meadu (ngwesa) .
Lakin pia fatilia story ya Ng'witulo gwa Ng'wawilyamu miaka ya 1950.
Kwa kifupi wasukuma wamegawanyika kuanzia zaman na hasa kufatana na utawala wao na hata maeneo yao na kuweza kuunda makundi yaliyopo mpaka sasa kama nilivyo yataja.
Na ikumbukwe kwamba kikwetu asili aridhi yote ni yawanawake na ndio walikua watawala japo kulingana na wakati walikua wanapinduliwa na waume zao .
Lakin ti kwa hekima mpaka leo tunawaanzi hao watawala wa mwanzo kwa salam japo sku izi watu hawajui ata maana ya hizo hekima za salam (lwimbo) na kwa hawa watawala kunawaliokuwa na maeneo makubwa sana na wanaonekana kuwanaidadi kubwa ya watu kama vile MINZA,( wanatumia EMINZA), Wengine ni akina.
NKWAYA,SEGA,NKWIMBA,SABHE,NG'WASHI,n.k
Na kuna hawa wanasalimiwa NG'WAKADILU walifata kwa huyu mama KADILU hakuwa mtemi na alizaliwa tu kwa kufata jua na asubuhi na alipaya pia wa kumuunzi kwa salam
Unachokisema ni kweli kabisa na walikuwa wanasema lwimbo huo ili wasisahau walikotoka ni sawa na Enkwaya hawa ni Wakwaya toka MaraNa nyengine ni ENKAMBA maamkizi haya wengi wapo ni wilaya ya Kahama Shinyanga. Naskia asili yake ni mtu kutoka Kenya kabila Mkamba alipewa utawala na watu wa Kahama kaskazini (Lyandi lya Baloha), sijui nadhani Baloha walikuwa wenyeji wa eneo hilo. KAMA KUNA MTU ANAJUA ZAIDI ANIPE HISTORIA HIYO TAMU. Wasukuma wapole, hawapendi purukushani, wanapenda amani halafu ni wengi sana lakini hawapendi kuona uchafuzi wa amani
Bunda Wasukuma ni wengi mno zaidi ya 1/3 ni wao tu ile ni wilaya yao nadhan ilikuwa hivi kwa sababu ya kuwa karibu sana na LamadiNilikwenda Bunda sikuamini kukuta jamii ya Wasukuma kubwa sana. Na hata nasikia Esther Bulaya ni Msukuma japo sina uhakika kwa baba au mama.