Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Wasukuma asili yao ni bonde la msitu wa Kongo. Haya ya ng' weli, Kiya, dakhama, sukuma, nk ni mtawanyiko tu.
Sasa bas kijana kutoka rombo ebhu twambie wewe kuwa wasukuma ni watu kutoka wapi?
Maana dunian hadi mbingun inajulikana kuwa wasukuma tumetoka ethiopia alafu wewe mrombo unakuja hapa umelewa mbege na tumiguu twako twa milonjo kama spoku unaaza kupinga na kutafuta ligi zisizokuwa na maana
Ethiopia
Yeeeeeee,niyo kinewe ng'hwaniki?? Tulibhakidugu gete uiseeeeeeeKweli make me nmezaliwa kahama na nmekulia huko lakin sekondari nikasomea maeneo ya meatu na skubaguliwa kwa tofauti ya kirafudhi kwa kisukuma changu na nmeenda advance tukakutana na wasukuma toka sehem mbali mbali na hatukubaguana na kulikua na sheria moja tu Ukiona wakukaya analega kwenye msuli inabid akanywe haraka yani niliinjoy dana pande zile japo tuliitwa wazee wa kukamia masomo ya science na mwishowe tulifanikiwa kutoboa kwa wingi sana mtihan wa Ndalichako .
Kwa kifupi hatujawah baguana na haitakuja kubaguana sis kwa sisi ama hata jamii zingine.
Siye ukija hata kama sio wa kukaya unaomba ubunge unaweza chaguliwa tu nduhu tabhu gete.
Yani watu wengine hawapo positive kutukana ndio ujanja pekee aliona nao, angeanza vizuri tungeelewana!..Ngoja nimpotezee tu!!Mkuu achana na huyo mlevi wa mbege asikuumize kichwa
Hahahahaaaaa mkuuu mbona inakuuma sana wasukuma kutokea ethiopia shida iko wapi lakin kiongoz mtanzania mwenzetu
Wasukuma safari haijaanzia ethiopia tu sisi ni wafugaji ndugu yangu inawezekana labda babu zetu walitokea nigeria wakaja wakatua ethiopia hata kwa miaka kumi then wakalianzisha either kwa kufaata marisho, vita au njaa hadi wakaja wakajikuta wako KWIMBA maana hiyo wilaya ndo origin yote ilipo hata akina mwana malunde ni watu wa kwimba
Mala zote mtu anaejaribu kujifanya anajua hua ana tatizo kidogo,watu wanaopenda kuandika uandishi wakichanganya kiswahili na kingereza ni wale mabishoo wenye kudhani wanajua kila kitu kutoka shuleni walipolishwa vitu vya kukalili kichwani.ndo wale wanaopenda kuikimbia Afrika wakidhani waendako ndiyo pako vizuri kuliko walipozaliwaHuna historical paper au evidence of any kind ku back up your claims!
Huna!
Tangu lini Hemites wakawa na ukoo na Wabantu?
Yaani wewe ni kiazi!
Halafu mkuu DNA ina demolish everything u think ni kabila!
Your personal DNA can be closer to me a Chagga than actually your fellow Sukuma!
Makabila ni mkusanyiko wa watu mbalimbali tena unakuta originally hawana common origin!Ni political construct,DNA ime debunk this left an right!
Acha uswahili wako wa kujizogeza kwa hermites wa Ethiopia na ni proven ni the oldest group than even Bantu themselves!
Wabantu tumetoka West Africa ni proven!I can give u numerous scholarly papers for u to read!Acheni ku mislead watu sababu mna mapenzi na Ethiopia na Somalia sababu wana caucasoid features za nywele laini na high chick bones na longer frames than we bantus!
Mala zote mtu anaejaribu kujifanya anajua hua ana tatizo kidogo,watu wanaopenda kuandika uandishi wakichanganya kiswahili na kingereza ni wale mabishoo wenye kudhani wanajua kila kitu kutoka shuleni walipolishwa vitu vya kukalili kichwani.ndo wale wanaopenda kuikimbia Afrika wakidhani waendako ndiyo pako vizuri kuliko walipozaliwa
JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Ni lazima weww una ukichaa ambao nduguzo hawajastukia wakutafutie tiba.sijui unaongea nini ambacho mimi sijaonyesha kukubali wala kupinga lakini unaropoka tu na kiswaenglish kutafuta kujifanya unajua.kama si umri wako mdogo basi una ukichaaAngalia huyu nae!
Una phobia na watu wanao ongea English na kiswahili?Thats your problem not mine!
Nyie Wasukuma sio Wabantu?Ni Wabantu 100%,sasa Wabantu hua wanatoka Ethiopia?Shule mlipita wapi nyie raia wa Usukuma?Bantu Migration hamkusoma?Au mpo kwenye denial?
Mna matatizo ya denial,ahahaaaa!
This is funny aiseee!
Ni lazima weww una ukichaa ambao nduguzo hawajastukia wakutafutie tiba.sijui unaongea nini ambacho mimi sijaonyesha kukubali wala kupinga lakini unaropoka tu na kiswaenglish kutafuta kujifanya unajua.kama si umri wako mdogo basi una ukichaa
JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Hapo kwenye kikome ndio maana kwa watoto na vijana hutengenezwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu wengi hawajui na hii tulibahatika tu kujua ambao tumekua kwa mababu na tulikua na kikome na kuanza kupewa ngano na hadithi za mambo ya kale yani hii huwa siisahau .
Nakumbuka wakat nakaa na babu yangu maeneo ya magu nilikuwa na jukumu la kuandaa shikome kila siku kwq kutumia mavi ya ng'ombe muda huo mnapiga story huku mkichoma mbuta na mihogo[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu wengi hawajui na hii tulibahatika tu kujua ambao tumekua kwa mababu na tulikua na kikome na kuanza kupewa ngano na hadithi za mambo ya kale yani hii huwa siisahau .
Angalia,wewe ndio Msukuma?
Mbona mna matatizo namna hii?Umeona final resort ni kutukana eee?
Unaambiwa toa official andiko ku-support your out of ass claims,huna!
Wasukuma sio WABANTU?Na Wabantu walitoka wapi?Sio West Africa?
Tangu lini WABANTU wakatoka ETHIOPIA kama sio bangi za KOLOMIJE hizi?
Im done with u already!Such a head case!
Unataka kusema somalia hakuna wabantu? Soma hapo palipo kuwa highlitedNi maajabu kila jamii inasema imeanzia Ethiopia!
Ni ujinga wa hali ya juu.Wabantu hawapo Ethiopia,walianzia Eastern parts of Cameroon,Congo na Nigeria wakaanza ku-migrate huku.Hebu rudini shule msome Bantu Migration!
Ni maajabu na kweli kila kabila,sio Wachaga,Waarusha,Wameru,Watutsi,Wahaya,etc,kila mmoja anadai walitokea Ethiopia!Kenya karibu makabila yote wanadai walitokea Ethiopia,kama Kikuyu (bantu),Luhya (Bantu),Meru (Bantu),Kamba(bantu),etc...wakati wote hawa ni Wabantu walitoka West Africa,hawana uhusiano wowote na Ethiopia.
Hivi kwanini hivi vikabila vyetu vya kibantu vinapenda kujisogeza kwa makabila ya Afro-asiatics?Kila mtu anajisogeza na Somalis,mara Ethiopia,mara Djibout,Waisraeli,etc...ukoloni,ukoloni mtupu!
Samahani ndugu,
Huu ni mjadala siyo uwanja wa mashindano ya kutafuta mshindi.
Tupinge na kujadili hoja kistaha.
Ukisoma baadhi ya wachangiaji wametoa wanachokifahamu ,na mwisho wamesema mwenye kufahamu zaidi aongeze au aendeleze.
Sasa kama wewe kuna unachokifahamu kinyume na maoni fulani pinga kwa hoja na siyo kumshambulia mtu au kikundi cha watu.
Wengine tunajifunza hapa.
Unataka kusema somalia hakuna wabantu? Soma hapo palipo kuwa highlited View attachment 718183
Mzee Chakochangu
Shida ni kua watu wanadanganya kwa makusudi kabisa kwa kisingizio eti "wamehadithiwa" na mababu zao kua wametoka Ethiopia!
Mimi nimekua nawapinga,maana Wabantu hawajawahi toka Horn of Africa at all.Asili ya Wabantu ni west Africa.Tumesoma darasani,Bantu Migration.....
Hakuna mambo ya kushindana,for what?Is anybody paying anybody,nah!
Kiongozi wasukuma wanabaguana sana haswa wakiwa makwao usukumani ila wakiwa hapa dar na maeneo mengine wote wanajuana kama wasukuma.
Ila ukienda usukamani wasukuma ni kweli wanabaguana kutokana lugha na chimbuko lao halisiaaaa kwa mfano
Eneo la kahama,geita kuna watu wanaitwa wasubwa .
Bariadi unakuta kuna mnyatuzuuu
Misenyi,mwaza unakuta wadakama
Ukienda sijui koromoje,chato unakuta kuna kabila lingine wanajitaa wazinza
Na wote wakiwa mjini wanajiita wasukuma
Lakini ukienda usukumani utasikia mara
Ohooo wale ni wanyatuzuu mara ohoo wale wadakama mara ohooo wale sijui
na ukiulizaa wazee wa pale ukiuliza utasikia wale wahamiaji yaani mpka leo hujui mara ohoo wanyatuzu sijui wametoka rwanda,mara sijui wadakama wale ni waganda yaani kila jamiii ina sehemu yake ilipotokea ndo maana niksuliza ivi msukuma original anatokea jamiii ipi au wapi