Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

Wasukuma asili yao ni bonde la msitu wa Kongo. Haya ya ng' weli, Kiya, dakhama, sukuma, nk ni mtawanyiko tu.



Mkuu,I agree with u na ni supported na official studies za bantu migration studies!

Sio hawa wanaamkaa asubuhi na kujipa uethiopia!Bado kidogo watajiita wazungu!these people are sick!
 
Sasa bas kijana kutoka rombo ebhu twambie wewe kuwa wasukuma ni watu kutoka wapi?

Maana dunian hadi mbingun inajulikana kuwa wasukuma tumetoka ethiopia alafu wewe mrombo unakuja hapa umelewa mbege na tumiguu twako twa milonjo kama spoku unaaza kupinga na kutafuta ligi zisizokuwa na maana


Mkuu

Naona unapambana na uchagga wangu sana.Unanitukana na uchagga wangu mno,guess what,Im proud!And Im proud Bantu,unlike wewe unaekimbia Ubantu,shame on u..

Heri hata baadhi ya wachagga wana-claim horn of africa bloodline maana walao of close priximity na admixtures ya southern somalis,ila we are very proud bantus and nobody can deny that!! Watu mnaona bantu ni kama tusi hivi,shame on u niggas!

Wasukuma nani kawaambia nyie ni wafugajia as a definition ya wafugaji?Lies,lies,lies!Nyie ni mix ya wakulima/wafugaji full stop!

Acheni kujipakaza na watu wasio wahitaji!

Leteni proven study yenye kusupport hizo ndoto zenu mfuu!Andika kitabu hapa na author,tuangalie...refer na chapter kabisa...nianze debunking !
 



Lies,lies,lies!

Ethiopia my ass!

Ethiopians ni afro asiatics wana special DNA markers kwa ajili yao tu ,na sisi bantus we have ours!

Ethiopians and Somalis are most homogeneous societies in the world,they have no mix with external societies that much na ni older than most societies in the world...Bantu utatokea wapi kwa Hermites kama sio upuuuzi?

Bantu tumetoka west africa,thats it!Deal with it people!Na study zinasupport my claim.Kasome Bantu Expansion!


Sasa labda mpinge leo eti Sukuma sio Bantu!

Na jinsi mnavyoongea inaelekea mnajiaminisha kabisa Sukuma sio Bantu,shenzeee kabisa!

Sukuma SIO bantu????Aisee im done with u confused people sukuma!
 
Kweli make me nmezaliwa kahama na nmekulia huko lakin sekondari nikasomea maeneo ya meatu na skubaguliwa kwa tofauti ya kirafudhi kwa kisukuma changu na nmeenda advance tukakutana na wasukuma toka sehem mbali mbali na hatukubaguana na kulikua na sheria moja tu Ukiona wakukaya analega kwenye msuli inabid akanywe haraka yani niliinjoy dana pande zile japo tuliitwa wazee wa kukamia masomo ya science na mwishowe tulifanikiwa kutoboa kwa wingi sana mtihan wa Ndalichako .
Kwa kifupi hatujawah baguana na haitakuja kubaguana sis kwa sisi ama hata jamii zingine.
Siye ukija hata kama sio wa kukaya unaomba ubunge unaweza chaguliwa tu nduhu tabhu gete.
Yeeeeeee,niyo kinewe ng'hwaniki?? Tulibhakidugu gete uiseeeeeee
 
Hahahahaaaaa mkuuu mbona inakuuma sana wasukuma kutokea ethiopia shida iko wapi lakin kiongoz mtanzania mwenzetu

Wasukuma safari haijaanzia ethiopia tu sisi ni wafugaji ndugu yangu inawezekana labda babu zetu walitokea nigeria wakaja wakatua ethiopia hata kwa miaka kumi then wakalianzisha either kwa kufaata marisho, vita au njaa hadi wakaja wakajikuta wako KWIMBA maana hiyo wilaya ndo origin yote ilipo hata akina mwana malunde ni watu wa kwimba

Inaniuma pale mnaposema UONGO!

Wasukuma sio wafugaji kama unavyosema,ni mix ya Wakulima/Wafugaji....Wasukuma ni WABANTU na sio jamii ingine,wabantu hawajawahi toka Horn of Africa!

Stop lying to yourselves people!

You are BANTU 100% just like the rest of us!
 
Huna historical paper au evidence of any kind ku back up your claims!

Huna!

Tangu lini Hemites wakawa na ukoo na Wabantu?

Yaani wewe ni kiazi!

Halafu mkuu DNA ina demolish everything u think ni kabila!

Your personal DNA can be closer to me a Chagga than actually your fellow Sukuma!

Makabila ni mkusanyiko wa watu mbalimbali tena unakuta originally hawana common origin!Ni political construct,DNA ime debunk this left an right!

Acha uswahili wako wa kujizogeza kwa hermites wa Ethiopia na ni proven ni the oldest group than even Bantu themselves!

Wabantu tumetoka West Africa ni proven!I can give u numerous scholarly papers for u to read!Acheni ku mislead watu sababu mna mapenzi na Ethiopia na Somalia sababu wana caucasoid features za nywele laini na high chick bones na longer frames than we bantus!
Mala zote mtu anaejaribu kujifanya anajua hua ana tatizo kidogo,watu wanaopenda kuandika uandishi wakichanganya kiswahili na kingereza ni wale mabishoo wenye kudhani wanajua kila kitu kutoka shuleni walipolishwa vitu vya kukalili kichwani.ndo wale wanaopenda kuikimbia Afrika wakidhani waendako ndiyo pako vizuri kuliko walipozaliwa


JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Mala zote mtu anaejaribu kujifanya anajua hua ana tatizo kidogo,watu wanaopenda kuandika uandishi wakichanganya kiswahili na kingereza ni wale mabishoo wenye kudhani wanajua kila kitu kutoka shuleni walipolishwa vitu vya kukalili kichwani.ndo wale wanaopenda kuikimbia Afrika wakidhani waendako ndiyo pako vizuri kuliko walipozaliwa


JAH RASTAFARI MORNING AFRICA


Angalia huyu nae!

Una phobia na watu wanao ongea English na kiswahili?Thats your problem not mine!

Nyie Wasukuma sio Wabantu?Ni Wabantu 100%,sasa Wabantu hua wanatoka Ethiopia?Shule mlipita wapi nyie raia wa Usukuma?Bantu Migration hamkusoma?Au mpo kwenye denial?

Mna matatizo ya denial,ahahaaaa!

This is funny aiseee!
 
Angalia huyu nae!

Una phobia na watu wanao ongea English na kiswahili?Thats your problem not mine!

Nyie Wasukuma sio Wabantu?Ni Wabantu 100%,sasa Wabantu hua wanatoka Ethiopia?Shule mlipita wapi nyie raia wa Usukuma?Bantu Migration hamkusoma?Au mpo kwenye denial?

Mna matatizo ya denial,ahahaaaa!

This is funny aiseee!
Ni lazima weww una ukichaa ambao nduguzo hawajastukia wakutafutie tiba.sijui unaongea nini ambacho mimi sijaonyesha kukubali wala kupinga lakini unaropoka tu na kiswaenglish kutafuta kujifanya unajua.kama si umri wako mdogo basi una ukichaa

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Ni lazima weww una ukichaa ambao nduguzo hawajastukia wakutafutie tiba.sijui unaongea nini ambacho mimi sijaonyesha kukubali wala kupinga lakini unaropoka tu na kiswaenglish kutafuta kujifanya unajua.kama si umri wako mdogo basi una ukichaa

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA


Mzee,

Umeanza kwa kua negative na mimi,na kwa hoja zilizoko mezani ni directly unapinga hoja zangu na everything,by default naku treat kama opponent..

Nilichojibu against you ni right thing to do according to me......

Hiyo mandate ya kuwaita wenzio vichaa wakati hujawapima inaonesha wewe ndio una tatizo kubwa zaidi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu wengi hawajui na hii tulibahatika tu kujua ambao tumekua kwa mababu na tulikua na kikome na kuanza kupewa ngano na hadithi za mambo ya kale yani hii huwa siisahau .
Hapo kwenye kikome ndio maana kwa watoto na vijana hutengenezwa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu wengi hawajui na hii tulibahatika tu kujua ambao tumekua kwa mababu na tulikua na kikome na kuanza kupewa ngano na hadithi za mambo ya kale yani hii huwa siisahau .
Nakumbuka wakat nakaa na babu yangu maeneo ya magu nilikuwa na jukumu la kuandaa shikome kila siku kwq kutumia mavi ya ng'ombe muda huo mnapiga story huku mkichoma mbuta na mihogo
 
Angalia,wewe ndio Msukuma?

Mbona mna matatizo namna hii?Umeona final resort ni kutukana eee?

Unaambiwa toa official andiko ku-support your out of ass claims,huna!

Wasukuma sio WABANTU?Na Wabantu walitoka wapi?Sio West Africa?

Tangu lini WABANTU wakatoka ETHIOPIA kama sio bangi za KOLOMIJE hizi?

Im done with u already!Such a head case!

Samahani ndugu,
Huu ni mjadala siyo uwanja wa mashindano ya kutafuta mshindi.
Tupinge na kujadili hoja kistaha.


Ukisoma baadhi ya wachangiaji wametoa wanachokifahamu ,na mwisho wamesema mwenye kufahamu zaidi aongeze au aendeleze.
Sasa kama wewe kuna unachokifahamu kinyume na maoni fulani pinga kwa hoja na siyo kumshambulia mtu au kikundi cha watu.
Wengine tunajifunza hapa.
 
Ni maajabu kila jamii inasema imeanzia Ethiopia!

Ni ujinga wa hali ya juu.Wabantu hawapo Ethiopia,walianzia Eastern parts of Cameroon,Congo na Nigeria wakaanza ku-migrate huku.Hebu rudini shule msome Bantu Migration!

Ni maajabu na kweli kila kabila,sio Wachaga,Waarusha,Wameru,Watutsi,Wahaya,etc,kila mmoja anadai walitokea Ethiopia!Kenya karibu makabila yote wanadai walitokea Ethiopia,kama Kikuyu (bantu),Luhya (Bantu),Meru (Bantu),Kamba(bantu),etc...wakati wote hawa ni Wabantu walitoka West Africa,hawana uhusiano wowote na Ethiopia.

Hivi kwanini hivi vikabila vyetu vya kibantu vinapenda kujisogeza kwa makabila ya Afro-asiatics?Kila mtu anajisogeza na Somalis,mara Ethiopia,mara Djibout,Waisraeli,etc...ukoloni,ukoloni mtupu!
Unataka kusema somalia hakuna wabantu? Soma hapo palipo kuwa highlited
Screenshot_2018-03-18-09-57-06.jpg
 
Samahani ndugu,
Huu ni mjadala siyo uwanja wa mashindano ya kutafuta mshindi.
Tupinge na kujadili hoja kistaha.


Ukisoma baadhi ya wachangiaji wametoa wanachokifahamu ,na mwisho wamesema mwenye kufahamu zaidi aongeze au aendeleze.
Sasa kama wewe kuna unachokifahamu kinyume na maoni fulani pinga kwa hoja na siyo kumshambulia mtu au kikundi cha watu.
Wengine tunajifunza hapa.

Mzee Chakochangu

Shida ni kua watu wanadanganya kwa makusudi kabisa kwa kisingizio eti "wamehadithiwa" na mababu zao kua wametoka Ethiopia!

Mimi nimekua nawapinga,maana Wabantu hawajawahi toka Horn of Africa at all.Asili ya Wabantu ni west Africa.Tumesoma darasani,Bantu Migration.....

Hakuna mambo ya kushindana,for what?Is anybody paying anybody,nah!
 
Mzee Chakochangu

Shida ni kua watu wanadanganya kwa makusudi kabisa kwa kisingizio eti "wamehadithiwa" na mababu zao kua wametoka Ethiopia!

Mimi nimekua nawapinga,maana Wabantu hawajawahi toka Horn of Africa at all.Asili ya Wabantu ni west Africa.Tumesoma darasani,Bantu Migration.....

Hakuna mambo ya kushindana,for what?Is anybody paying anybody,nah!


Mkuu hoja unayo,tatizo ulivyoiwasilisha ndivyo sivyo.
Ndiyo maana nikasema tuwasilishe hoja kwa staha.
Hoja ikiwasilishwa kwa staha na lugha nzuri ,hata yule unaempinga ataisoma na kufurahia mchango wako.

Hata hivyo tupo pamoja.
 
Kiongozi wasukuma wanabaguana sana haswa wakiwa makwao usukumani ila wakiwa hapa dar na maeneo mengine wote wanajuana kama wasukuma.

Ila ukienda usukamani wasukuma ni kweli wanabaguana kutokana lugha na chimbuko lao halisiaaaa kwa mfano

Eneo la kahama,geita kuna watu wanaitwa wasubwa .

Bariadi unakuta kuna mnyatuzuuu

Misenyi,mwaza unakuta wadakama

Ukienda sijui koromoje,chato unakuta kuna kabila lingine wanajitaa wazinza

Na wote wakiwa mjini wanajiita wasukuma
Lakini ukienda usukumani utasikia mara

Ohooo wale ni wanyatuzuu mara ohoo wale wadakama mara ohooo wale sijui
na ukiulizaa wazee wa pale ukiuliza utasikia wale wahamiaji yaani mpka leo hujui mara ohoo wanyatuzu sijui wametoka rwanda,mara sijui wadakama wale ni waganda yaani kila jamiii ina sehemu yake ilipotokea ndo maana niksuliza ivi msukuma original anatokea jamiii ipi au wapi

Mkuu kama ulikuwa na ni nia ya kujifunza utakuwa umeshaelewa tayari hao unaowaita

Wazinza
Wasumbwa
Walongo
Wakonongo

Hao wote sio wasukuma, japo wengi wao wanakijua kisukuma lakini nadra kumkuta msukuma anajua hizo lugha nyingine

Kumbuka lugha inayotumika kwenye mabaraza ya vijiji ni kisukuma na majority of watu ni wasukuma

Cha kukusaidia hao wazinza, wasumbwa, wakerewe, wanasikilizana na wahaya na lafudhi yao ni moja.
 
Back
Top Bottom