Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,428
Wewe msukuma wa mjini!! Ila Kama unataka kujiongezea maarifa zaidi kuhusu "nzwimbo", wingi wa "lwimbo" tembelea Bujora, makumbusho ya kabila LA kisukuma. Zimetajwa vyema sana kila mmoja na mahali au eneo alilotawala.Asante sana nilikuwaga sijui nini maana ya eminza na emwasnhi
Ni kweli, hizo ni kabila tofauti kabisa na wasukuma, na lugha zao zinatambuliwa hadi na ISO na zina code zake. Ukitaka kuzitafuta search ISO language codes utazipata!! Hasa ile inayoishia na .3 Yaani 9**.3 (sikumbuki vyema namba za hapo katikati, can be 63)Mkuu kama ulikuwa na ni nia ya kujifunza utakuwa umeshaelewa tayari hao unaowaita
Wazinza
Wasumbwa
Walongo
Wakonongo
Hao wote sio wasukuma, japo wengi wao wanakijua kisukuma lakini nadra kumkuta msukuma anajua hizo lugha nyingine
Kumbuka lugha inayotumika kwenye mabaraza ya vijiji ni kisukuma na majority of watu ni wasukuma
Cha kukusaidia hao wazinza, wasumbwa, wakerewe, wanasikilizana na wahaya na lafudhi yao ni moja.
Unataka kusema somalia hakuna wabantu? Soma hapo palipo kuwa highlited View attachment 718183
Kiongozi wasukuma wanabaguana sana haswa wakiwa makwao usukumani ila wakiwa hapa dar na maeneo mengine wote wanajuana kama wasukuma.
Ila ukienda usukamani wasukuma ni kweli wanabaguana kutokana lugha na chimbuko lao halisiaaaa kwa mfano
Eneo la kahama,geita kuna watu wanaitwa wasubwa .
Bariadi unakuta kuna mnyatuzuuu
Misenyi,mwaza unakuta wadakama
Ukienda sijui koromoje,chato unakuta kuna kabila lingine wanajitaa wazinza
Na wote wakiwa mjini wanajiita wasukuma
Lakini ukienda usukumani utasikia mara
Ohooo wale ni wanyatuzuu mara ohoo wale wadakama mara ohooo wale sijui
na ukiulizaa wazee wa pale ukiuliza utasikia wale wahamiaji yaani mpka leo hujui mara ohoo wanyatuzu sijui wametoka rwanda,mara sijui wadakama wale ni waganda yaani kila jamiii ina sehemu yake ilipotokea ndo maana niksuliza ivi msukuma original anatokea jamiii ipi au wapi
Mkuu. Hawa wabantu kabla ya kukaa West Africa walitokea wapi???mkuu
Umenisoma post yangu?
Somalia wabantu wapo,tena ni minority,wapo Southern Somalia...Kwanini walifika pale,well,slave trade ya waarabu walikua wanawapitishia Somalia kwenda Yemen na Middle East..Na pia kua wachache walitokea Kenya..Ila sio indeginous wa Somalia na ni minority pale na wanabaguliwa balaa,wanaitwa jareers,ni kama bado watumwa kabisa.Tena technically wamewakatia jina wanaitwa SOMALI BANTU na sio SOMALIS kama walivyo wasomali wengine.Ni marufuku kuwaita wasomali,ni Somali Bantus!Ubaguzi to the core!As we speak these people are suffering,wanaambiwa warudi kwao,kuna baadhi wamerudishwa TZ just recently!
Origins za hao Bantus ni largely TZ,Mozambique and Kenya...walitoka southern parts wakaenda Somalia na sio walishuka eti from Somalia to Southern countries.
Hebu acheni kua kwenye denial ya asili yetu Wabantu!
Mkuu. Hawa wabantu kabla ya kukaa West Africa walitokea wapi???
Maana naona kuna kila dalili ya wao kuspread toka ethiopia...kwenda west africa na wale tunaoita nilotic kutoka ethiopia kuja east africa.
Pia tukukumbuke sio waethiopia wote wanamuonekana kama wa kiarabu. Waethiopia wapo wa muonekano mbalimbali sema waliomaarufu na kuonekana sana ni hao wahabeshi.
Picha hizi chini inaonesha makabila mbalimbali ya waethiopia. So baadhi ya makabila wakidai wanatoka ethiopia msiwarushie mawe.
View attachment 721628View attachment 721630View attachment 721631View attachment 721634
Wengi wetu tunawajua waethiopia hawa wa chini hapa.
View attachment 721635View attachment 721636
Je genetically kuna difference kati ya Bantu na Nilotes??? Maana phenotypically tofauti ndogo sana.Mkuu,Wabantu wanasema asili yao ni West Africa miaka 3,500 iliyopita au 1,500BC.
Tukichukulia theory ya single origin kwamba mankind wote tulitokea kwa mzazi mmoja basi huenda walianza kama aina ingine ya watu,walipofika West Africa wakawa Wabantu...Lakini mzee genetically ambapo zinatrace miaka 65,000 nyuma Wabantu tupo tofauti kabia kabisa na people from Horn of Africa!Hivyo hoja ya connection hakuna mazima yaani!
Miaka 3,500 ni juzi tu,kwahiyo migration ilifika East Africa kwetu huku miaka 150AD,ndio makabila haya karibu 500 ya Kibantu yaliform....hivyo basi Haya makabila yetu huku yalijijenga juzi tuuuuu mkuu!..Ukiniambia eti yalianzia Ethiopia walao kungekua na traces za genetics kwenye DNA lakini hamna whatsoever!
Spreading kutoka Ethiopia sio possible mkuu maana tungekua na genetics relationships na wao,ila wenyewe wala markers tofauti na markers zetu na zina-trace miaka 65,000 uki-compare na vimiaka 3,500 vya bantu expansion...Na sukuma as a tribe lime-form recently tu na litakufa hivi karibuni tu....infact tribes zetu zote hizi zipo kwenye vifo pia.Ethiopia can never be a source,never!Nilotes ni tofauti kabisa na Bantus,hapa tunazungumzia Bantus,ambapo Wasukuma ni Bantu na wala sio Nilotic.Nilotics ni kama Masai,Kalenjin,Kurya,Jaluo,etc na sio sisi Wabantu..Labda uniambie leo kua Wasukuma wamegeuka Nilotics,kama ni Nilotics kweli basi watakua na origin ya Ehtiopia,otherwise ni Wabantu kama sisi na tumetoka West Africa 3,500years ago!
Je genetically kuna difference kati ya Bantu na Nilotes??? Maana phenotypically tofauti ndogo sana.
Mkuu naomba nikufuate pm kama hutajaliSamahani ndugu,
Huu ni mjadala siyo uwanja wa mashindano ya kutafuta mshindi.
Tupinge na kujadili hoja kistaha.
Ukisoma baadhi ya wachangiaji wametoa wanachokifahamu ,na mwisho wamesema mwenye kufahamu zaidi aongeze au aendeleze.
Sasa kama wewe kuna unachokifahamu kinyume na maoni fulani pinga kwa hoja na siyo kumshambulia mtu au kikundi cha watu.
Wengine tunajifunza hapa.
Mkuu naomba nikufuate pm kama hutajali
Nimeshafika tayari mkuu, kaangalie tu.Umeruhusiwa.
Kiuhalisia kabisa sukuma walihamia kutoka nchi ya ethiopia huko ndio hasiri yao ila inawezekana napo huko kuna sehemu walitoka kabla kwan jamii za zamani zilikuwa zinahama kutokana na sababu mbalimbali mfano kushindwa vita na himaya kuchukuliwa, majanga, kujitenga kutoka kwenye utawala fulani au kufukuzwa na jamii husika
Majebele ndo babu yangu mke wake amefariki tarehe 21\03\2018 huko irambaMkuu kwa kawaida tu head state ya wasukuma wote ipo USUKUMA mwanza na hata zile shelehe na bhulabho zilikua zinafanyikia mara nyingi maeneo yale na huko ndiko mtemi wa kabila lote aliteuliwa japo anaweza kutoka sehem yeyote wasasa sijajua ametokea eneo gan japo wamwisho mie kumfaham alikua Majebhele toka Busia