Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

Mkuu kama ulikuwa na ni nia ya kujifunza utakuwa umeshaelewa tayari hao unaowaita

Wazinza
Wasumbwa
Walongo
Wakonongo

Hao wote sio wasukuma, japo wengi wao wanakijua kisukuma lakini nadra kumkuta msukuma anajua hizo lugha nyingine

Kumbuka lugha inayotumika kwenye mabaraza ya vijiji ni kisukuma na majority of watu ni wasukuma

Cha kukusaidia hao wazinza, wasumbwa, wakerewe, wanasikilizana na wahaya na lafudhi yao ni moja.
Ni kweli, hizo ni kabila tofauti kabisa na wasukuma, na lugha zao zinatambuliwa hadi na ISO na zina code zake. Ukitaka kuzitafuta search ISO language codes utazipata!! Hasa ile inayoishia na .3 Yaani 9**.3 (sikumbuki vyema namba za hapo katikati, can be 63)
 
Unataka kusema somalia hakuna wabantu? Soma hapo palipo kuwa highlited View attachment 718183


mkuu

Umenisoma post yangu?

Somalia wabantu wapo,tena ni minority,wapo Southern Somalia...Kwanini walifika pale,well,slave trade ya waarabu walikua wanawapitishia Somalia kwenda Yemen na Middle East..Na pia kua wachache walitokea Kenya..Ila sio indeginous wa Somalia na ni minority pale na wanabaguliwa balaa,wanaitwa jareers,ni kama bado watumwa kabisa.Tena technically wamewakatia jina wanaitwa SOMALI BANTU na sio SOMALIS kama walivyo wasomali wengine.Ni marufuku kuwaita wasomali,ni Somali Bantus!Ubaguzi to the core!As we speak these people are suffering,wanaambiwa warudi kwao,kuna baadhi wamerudishwa TZ just recently!

Origins za hao Bantus ni largely TZ,Mozambique and Kenya...walitoka southern parts wakaenda Somalia na sio walishuka eti from Somalia to Southern countries.

Hebu acheni kua kwenye denial ya asili yetu Wabantu!
 
Kiongozi wasukuma wanabaguana sana haswa wakiwa makwao usukumani ila wakiwa hapa dar na maeneo mengine wote wanajuana kama wasukuma.

Ila ukienda usukamani wasukuma ni kweli wanabaguana kutokana lugha na chimbuko lao halisiaaaa kwa mfano

Eneo la kahama,geita kuna watu wanaitwa wasubwa .

Bariadi unakuta kuna mnyatuzuuu

Misenyi,mwaza unakuta wadakama

Ukienda sijui koromoje,chato unakuta kuna kabila lingine wanajitaa wazinza

Na wote wakiwa mjini wanajiita wasukuma
Lakini ukienda usukumani utasikia mara

Ohooo wale ni wanyatuzuu mara ohoo wale wadakama mara ohooo wale sijui
na ukiulizaa wazee wa pale ukiuliza utasikia wale wahamiaji yaani mpka leo hujui mara ohoo wanyatuzu sijui wametoka rwanda,mara sijui wadakama wale ni waganda yaani kila jamiii ina sehemu yake ilipotokea ndo maana niksuliza ivi msukuma original anatokea jamiii ipi au wapi

Mkuu kwanza hao unaosema wadakama hata hawako mwanza hawa kwa wingi wapo Tabora ambao nyie mnaita wanyamwezi.
Na kuhusu kwenda usukuman labda wew karibu ujionee me npo sana tu usukuman nmezaliwa kahama,nmesoma simiyu,nmeishi na shinyanga pia sehem zote hizo ikiwemo na Tabora nmekaa mwaka mmoja sehem zoete nlizo taja nilikua naishi vijijin sana skuwah kubaguliwa wala kuona mtu anabaguliwa kisa kisukuma chake.
Na hao wasumbwa hata wakiwa wanaongea kwa msukuma hawez ata kuwaelewa na hata hao wazinza huwez waelewa hata salam ni tofauti sana baina ya wakuma na wazinza+wasumbwa
 
mkuu

Umenisoma post yangu?

Somalia wabantu wapo,tena ni minority,wapo Southern Somalia...Kwanini walifika pale,well,slave trade ya waarabu walikua wanawapitishia Somalia kwenda Yemen na Middle East..Na pia kua wachache walitokea Kenya..Ila sio indeginous wa Somalia na ni minority pale na wanabaguliwa balaa,wanaitwa jareers,ni kama bado watumwa kabisa.Tena technically wamewakatia jina wanaitwa SOMALI BANTU na sio SOMALIS kama walivyo wasomali wengine.Ni marufuku kuwaita wasomali,ni Somali Bantus!Ubaguzi to the core!As we speak these people are suffering,wanaambiwa warudi kwao,kuna baadhi wamerudishwa TZ just recently!

Origins za hao Bantus ni largely TZ,Mozambique and Kenya...walitoka southern parts wakaenda Somalia na sio walishuka eti from Somalia to Southern countries.

Hebu acheni kua kwenye denial ya asili yetu Wabantu!
Mkuu. Hawa wabantu kabla ya kukaa West Africa walitokea wapi???

Maana naona kuna kila dalili ya wao kuspread toka ethiopia...kwenda west africa na wale tunaoita nilotic kutoka ethiopia kuja east africa.
 
Pia tukukumbuke sio waethiopia wote wanamuonekana kama wa kiarabu. Waethiopia wapo wa muonekano mbalimbali sema waliomaarufu na kuonekana sana ni hao wahabeshi.
Picha hizi chini inaonesha makabila mbalimbali ya waethiopia. So baadhi ya makabila wakidai wanatoka ethiopia msiwarushie mawe.
5488.jpg
5568-2.jpg
5568.jpg
3019.jpg

Wengi wetu tunawajua waethiopia hawa wa chini hapa.
12826133_828681413925740_800342032_n.jpg
14717648_1889220284641698_1478217946739245056_n.jpg
 
Mkuu. Hawa wabantu kabla ya kukaa West Africa walitokea wapi???


Mkuu,Wabantu wanasema asili yao ni West Africa miaka 3,500 iliyopita au 1,500BC.

Tukichukulia theory ya single origin kwamba mankind wote tulitokea kwa mzazi mmoja basi huenda walianza kama aina ingine ya watu,walipofika West Africa wakawa Wabantu...Lakini mzee genetically ambapo zinatrace miaka 65,000 nyuma Wabantu tupo tofauti kabia kabisa na people from Horn of Africa!Hivyo hoja ya connection hakuna mazima yaani!

Miaka 3,500 ni juzi tu,kwahiyo migration ilifika East Africa kwetu huku miaka 150AD,ndio makabila haya karibu 500 ya Kibantu yaliform....hivyo basi Haya makabila yetu huku yalijijenga juzi tuuuuu mkuu!..Ukiniambia eti yalianzia Ethiopia walao kungekua na traces za genetics kwenye DNA lakini hamna whatsoever!

Maana naona kuna kila dalili ya wao kuspread toka ethiopia...kwenda west africa na wale tunaoita nilotic kutoka ethiopia kuja east africa.


Spreading kutoka Ethiopia sio possible mkuu maana tungekua na genetics relationships na wao,ila wenyewe wala markers tofauti na markers zetu na zina-trace miaka 65,000 uki-compare na vimiaka 3,500 vya bantu expansion...Na sukuma as a tribe lime-form recently tu na litakufa hivi karibuni tu....infact tribes zetu zote hizi zipo kwenye vifo pia.Ethiopia can never be a source,never!Nilotes ni tofauti kabisa na Bantus,hapa tunazungumzia Bantus,ambapo Wasukuma ni Bantu na wala sio Nilotic.Nilotics ni kama Masai,Kalenjin,Kurya,Jaluo,etc na sio sisi Wabantu..Labda uniambie leo kua Wasukuma wamegeuka Nilotics,kama ni Nilotics kweli basi watakua na origin ya Ehtiopia,otherwise ni Wabantu kama sisi na tumetoka West Africa 3,500years ago!
 
Pia tukukumbuke sio waethiopia wote wanamuonekana kama wa kiarabu. Waethiopia wapo wa muonekano mbalimbali sema waliomaarufu na kuonekana sana ni hao wahabeshi.
Picha hizi chini inaonesha makabila mbalimbali ya waethiopia. So baadhi ya makabila wakidai wanatoka ethiopia msiwarushie mawe.
View attachment 721628View attachment 721630View attachment 721631View attachment 721634
Wengi wetu tunawajua waethiopia hawa wa chini hapa.
View attachment 721635View attachment 721636


Nishajua shida yetu sisi Wabantu..tunapenda sana na sisi tuonekane na caucasoid features kama Waethiopia,Somalis,Djibout,etc ndio maana tunajikomba nao..

Na hao weusi unaowaona huko Ehtiopia sio Bantus,ni Nilotics wanaitwa Nubians,ni weusi tii na features kama za kwetu Wabantu lakini sio Wabantu...Ni Wajaluo and others,wale sio Wabantu...Sisi wabantu ni wengine kabisa...

Wapo West Southern Ethiopia,Sothern West Sudan,Uganda,Kenya,Somalia,TZ pia....Usi-confuse sura,unaweza ukawa mislead na physical features ndio maana miaka hii kuna DNA studies,wanachukua sample size ya kutosha then wanatofautisha,na tofauti ni kubwa tu....
 
Mkuu,Wabantu wanasema asili yao ni West Africa miaka 3,500 iliyopita au 1,500BC.

Tukichukulia theory ya single origin kwamba mankind wote tulitokea kwa mzazi mmoja basi huenda walianza kama aina ingine ya watu,walipofika West Africa wakawa Wabantu...Lakini mzee genetically ambapo zinatrace miaka 65,000 nyuma Wabantu tupo tofauti kabia kabisa na people from Horn of Africa!Hivyo hoja ya connection hakuna mazima yaani!

Miaka 3,500 ni juzi tu,kwahiyo migration ilifika East Africa kwetu huku miaka 150AD,ndio makabila haya karibu 500 ya Kibantu yaliform....hivyo basi Haya makabila yetu huku yalijijenga juzi tuuuuu mkuu!..Ukiniambia eti yalianzia Ethiopia walao kungekua na traces za genetics kwenye DNA lakini hamna whatsoever!




Spreading kutoka Ethiopia sio possible mkuu maana tungekua na genetics relationships na wao,ila wenyewe wala markers tofauti na markers zetu na zina-trace miaka 65,000 uki-compare na vimiaka 3,500 vya bantu expansion...Na sukuma as a tribe lime-form recently tu na litakufa hivi karibuni tu....infact tribes zetu zote hizi zipo kwenye vifo pia.Ethiopia can never be a source,never!Nilotes ni tofauti kabisa na Bantus,hapa tunazungumzia Bantus,ambapo Wasukuma ni Bantu na wala sio Nilotic.Nilotics ni kama Masai,Kalenjin,Kurya,Jaluo,etc na sio sisi Wabantu..Labda uniambie leo kua Wasukuma wamegeuka Nilotics,kama ni Nilotics kweli basi watakua na origin ya Ehtiopia,otherwise ni Wabantu kama sisi na tumetoka West Africa 3,500years ago!
Je genetically kuna difference kati ya Bantu na Nilotes??? Maana phenotypically tofauti ndogo sana.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Je genetically kuna difference kati ya Bantu na Nilotes??? Maana phenotypically tofauti ndogo sana.

Wana tofauti na sisi mkuu...Kuna vitambulisho vilivyomo kwenye DNA zao kwetu hazipo,na kuna za kwetu kwao hazipo,mostly tunashea ila kuna markers ndio zinaleta tofauti...Check DNA studies za Nilotes na za Bantus uone comparisons....phenotypically unaweza usione tofauti kwa fasta ila kuna tofauti ukienda deep hasa kwenye DNA level..
 
Samahani ndugu,
Huu ni mjadala siyo uwanja wa mashindano ya kutafuta mshindi.
Tupinge na kujadili hoja kistaha.


Ukisoma baadhi ya wachangiaji wametoa wanachokifahamu ,na mwisho wamesema mwenye kufahamu zaidi aongeze au aendeleze.
Sasa kama wewe kuna unachokifahamu kinyume na maoni fulani pinga kwa hoja na siyo kumshambulia mtu au kikundi cha watu.
Wengine tunajifunza hapa.
Mkuu naomba nikufuate pm kama hutajali
 
Kiuhalisia kabisa sukuma walihamia kutoka nchi ya ethiopia huko ndio hasiri yao ila inawezekana napo huko kuna sehemu walitoka kabla kwan jamii za zamani zilikuwa zinahama kutokana na sababu mbalimbali mfano kushindwa vita na himaya kuchukuliwa, majanga, kujitenga kutoka kwenye utawala fulani au kufukuzwa na jamii husika

Hii historia umetoa wapi, acha kuhadaa umma wasukuma sio Alhamaric ni wabantu na hivyo asili yao si Ethiopia punguza bangi mdogo wangu
 
Mkuu kwa kawaida tu head state ya wasukuma wote ipo USUKUMA mwanza na hata zile shelehe na bhulabho zilikua zinafanyikia mara nyingi maeneo yale na huko ndiko mtemi wa kabila lote aliteuliwa japo anaweza kutoka sehem yeyote wasasa sijajua ametokea eneo gan japo wamwisho mie kumfaham alikua Majebhele toka Busia
Majebele ndo babu yangu mke wake amefariki tarehe 21\03\2018 huko iramba
Akiwa na zaidi ya miaka 115
 
Back
Top Bottom