Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Baba yake kazikwa wapi?Kwani mwinyi ni mzanzibar?
Yule mzee akitaka vya Bara anasema ni Mtanganyika. Akitaka vya zanzibar anasema ni mzanzibar...na uraia pacha nadhani😆😆Kwani mwinyi ni mzanzibar?
Mzee mwinyi alikuwa mishen Town.mjanja mjanja wa zamaniYule mzee akitaka vya Bara anasema ni Mtanganyika. Akitaka vya zanzibar anasema ni mzanzibar...na uraia pacha nadhani😆😆
Ninachojua anachaguliwa Dodoma, Kama unautaka Sasa unajua pakuanzia.Naomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?
Kwani baba yake ni Mzanzibar?Kwani Baba yake kazikwa wapi?
Tangu kitambo sana.....hawakumgundua.Mzee mwinyi alikuwa mishen Town.mjanja mjanja wa zamani
Mwinyi Jr kasema kwamba hapendi watu wachunguzane maana wakianza kuchunguzana itabainika Kwamba wengine wanatokea Ngazija, Oman, India ,etc…Yule mzee akitaka vya Bara anasema ni Mtanganyika. Akitaka vya zanzibar anasema ni mzanzibar...na uraia pacha nadhani😆😆
Kweli aiseeMwinyi Jr kasema kwamba hapendi watu wachunguzane maana wakianza kuchunguzana itabainika Kwamba wengine wanatokea Ngazija, Oman, India ,etc…
Alikuwa na point…
Baba yake amezikwa Zanzibar wewe...huoni kuwa ni Mzanzibari??🤣🤣🤣Mwinyi kwao ni Mkurangaa, kijiji cha Mkamba
Kwa wale jamaa, nadhani wataandamanaNaomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?
Kwa hiyo makabila mengine yanayozikwa hapa Dar ni wazaramo?Baba yake amezikwa Zanzibar wewe...huoni kuwa ni Mzanzibari??🤣🤣🤣
Na mzee kweli alifanikiwa aisee bonge la kichwaMzee mwinyi alikuwa mishen Town.mjanja mjanja wa zamani
Marais wa Zanzibar ni Wazanzibar pure?Naomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?