Unasema urais? Hata usheha haruhusiwi. Yaani mtanganyika hata ardhi haruhusiwi kumiliki Zanzibar..Naomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema urais? Hata usheha haruhusiwi. Yaani mtanganyika hata ardhi haruhusiwi kumiliki Zanzibar..Naomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?
Wacha munenoHakuna mtu aitwaye MTANGANYIKA....hayupo hayupo hayupo.....
Tanganyika ilikufa 1964.....
Ilikufa kifo kizuri na cha heshima kubwa kwa ajili ya mustakabali mwema wa miaka bilioni inayokuja.....
Ardhi ile tukufu ikaungana na Zanzibar kuzidi kuuinua utukufu wake....pande la ardhi hilo liwe bora na thamani zaidi ya hapo mwanzo.....
#Tanzania kwanza
Kwani 'waswahili' lazima wazikwe kwao? Wale sio wachagga, wahaya au wajaluo. Ndio maana mwinyi sr mswahili wa mkuranga amezikwa Zanzibar.Baba yake amezikwa Zanzibar wewe...huoni kuwa ni Mzanzibari??🤣🤣🤣
Tanganyika haipo,hivyo watanganyika hawapoNaomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?
Hakuna mtanganyika dunia hiiUnasema urais? Hata usheha haruhusiwi. Yaani mtanganyika hata ardhi haruhusiwi kumiliki Zanzibar..
Ila mzanzibari yupo? The unakaiita kifo cha heshima this is bullshitHakuna mtu aitwaye MTANGANYIKA....hayupo hayupo hayupo.....
Tanganyika ilikufa 1964.....
Ilikufa kifo kizuri na cha heshima kubwa kwa ajili ya mustakabali mwema wa miaka bilioni inayokuja.....
Ardhi ile tukufu ikaungana na Zanzibar kuzidi kuuinua utukufu wake....pande la ardhi hilo liwe bora na thamani zaidi ya hapo mwanzo.....
#Tanzania kwanza
Tanganyika haipo,kama ipo iko wapi, serikali yake?Ila mzanzibari yupo? The unakaiita kifo cha heshima this is bullshit
Watamnyonya mate hadi tumbo linyauke.Naomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?
Hahahahaha...Ccm inataka watu hao sasaTangu kitambo sana.....hawakumgundua.
Hahahahaha ndio maana akasema ruksa ,tusisumbueMzee mwinyi alikuwa mishen Town.mjanja mjanja wa zamani
Uliza alipozaliwa, kuzikwa sehemu hakumpi mtu asili ya sehemu hiyo, wala hakumpi mtu uraia.Kwani Baba yake kazikwa wapi?
Tanganyika +zanzibar=tanzania.Hakuna mtu aitwaye MTANGANYIKA....hayupo hayupo hayupo.....
Tanganyika ilikufa 1964.....
Ilikufa kifo kizuri na cha heshima kubwa kwa ajili ya mustakabali mwema wa miaka bilioni inayokuja.....
Ardhi ile tukufu ikaungana na Zanzibar kuzidi kuuinua utukufu wake....pande la ardhi hilo liwe bora na thamani zaidi ya hapo mwanzo.....
#Tanzania kwanza
Sio tu kwamba anawza, bali ishatokea na ndivyo ilivyo. Angalia:-Naomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?
Umeelewa ujumbe?Sio tu kwamba anawza, bali ishatokea na ndivyo ilivyo. Angalia:-
1. Aboud Jumbe Mwinyi
2. Ali Hassan Mwinyi
3. Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.
Shida ya vichwa vya kitanzania ndio hii, kuhamisha magoli kwa mada za kipuuzi.Naomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?
Kabla ya 1964 waliokuwa wakiishi Tanganyika na walizaliwa kabla ya April 26, 1964 waliitwaje?Hakuna mtu aitwaye MTANGANYIKA....hayupo hayupo hayupo.....
Baada ya kufa ilizikwa wapi na watanganyika waliokuwepo walizikwa wapi?Tanganyika ilikufa 1964.....
Kifo cha heshima ni kipi?Ilikufa kifo kizuri na cha heshima kubwa
Huo mustakabali ni kwa faida ya nani?kwa ajili ya mustakabali mwema wa miaka bilioni inayokuja.....
Utukufu ni nini?Ardhi ile tukufu ikaungana na Zanzibar kuzidi kuuinua utukufu wake....
Hilo pande la ardhi wamiliki wake ni nani?pande la ardhi hilo liwe bora na thamani zaidi ya hapo mwanzo.....
#Tanzania kwanza
Wazanzibari asili yao ni huku bara, kuna wamakonde, wazigua, wachagga na makabila mengi tu ya bara.😃 uko kwenye urais umefika mbali sana usheha/M/Kiti wa mtaa tu kama sio mzanzibar hupatii
Wewe unaonaje? Umeelewa nilichoandika? Mimi nimetumia lugha ya Kiswahili.Umeelewa ujumbe?