Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise syo zaliDuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hata kama ana mme hakuna ishu...anagongwa tuNikutoe waswasi tu, Ester Kahumbi ameolewa na ana mme wa ndoa ina miaka 7, mmewe anaitwa Ben Makori, na wanapendana sana
Mwamamume ni HELA wewe kengeYaani mdada mzuri kama huyo anaolewa na jamaa sura ngumu hivyo?
Aisee nyie Wazuri mna hasara,itakuaje akipata mtoto wa kike harafu akachukua sura ya baba yake,atamuoa yeye?
Ukiwa mzuri chagua mwanaume mzuri kama Mimi Ili upate watoto visu..
We taahira mimi Nina mke na watoto ila mwanaume wa ukweli unakuaje na mke mmja? Mimi sio rojo rojo wa Dar msiojiweza.
Vyote,pesa,kupiga mzigo na kuwa gentleman handsome boy Ili ukizaa mtoto wa kike akafanana na wewe asishindwe kuolewa ndio sababu unatakiwa kuchagua mtu mzuri.Mwamamume ni HELA wewe kenge
Una uwezo kumtunza!!Huyu mdada wa Kikenya Ameolewa au? Maana namuelewa Sana kuanzia sura, mguu hadi kule eneo pendwa la Mitetemo..
Mwenye taarifa zake tafadhari
NdioUna uwezo kumtunza!!
😳 makubwa! Yamekuwa hayo🤔Yaani mdada mzuri kama huyo anaolewa na jamaa sura ngumu hivyo?
Aisee nyie Wazuri mna hasara,itakuaje akipata mtoto wa kike harafu akachukua sura ya baba yake,atamuoa yeye?
Ukiwa mzuri chagua mwanaume mzuri kama Mimi Ili upate watoto visu..
We taahira mimi Nina mke na watoto ila mwanaume wa ukweli unakuaje na mke mmja? Mimi sio rojo rojo wa Dar msiojiweza.
Kumbe ni Mkenya.Acha kutamani mke wa mtu...tazama siku mchuchu aliyowekwa ndani
☹☹☹kwel wanaume tumebaki wachache sana ya unajisifia uzur shogaYaani mdada mzuri kama huyo anaolewa na jamaa sura ngumu hivyo?
Aisee nyie Wazuri mna hasara,itakuaje akipata mtoto wa kike harafu akachukua sura ya baba yake,atamuoa yeye?
Ukiwa mzuri chagua mwanaume mzuri kama Mimi Ili upate watoto visu..
We taahira mimi Nina mke na watoto ila mwanaume wa ukweli unakuaje na mke mmja? Mimi sio rojo rojo wa Dar msiojiweza.
Mkuu na wewe umekuwa mpana sana!!!Nikutoe waswasi tu, Ester Kahumbi ameolewa na ana mme wa ndoa ina miaka 7, mmewe anaitwa Ben Makori, na wanapendana sana
Acha kutamani mke wa mtu...tazama siku mchuchu aliyowekwa ndani
Yaliyomo Yamo,Nyuma ana tufaa la kutosha mzee
mwenzangu au miyeyusho?
Hata Elizabeth Kazibure naye si habaAisee! Huyu Dada ni mzuri kinoma.. Namwona ndo anatangaza BBC habari, kupitia Star TV... Hata me nilimwona nikahusudu... She's so beautiful...
Kwa KuanziaHata Elizabeth Kazibure naye si haba