Hivi, Mtoto Akishikwa Matiti Yanakuwa Makubwa Tofauti na Asiposhikwa Shikwa au Sio Kweli...?

Nimesahau nilivyofundishwa darsani.

1.Ila kwa elewa wangu, binti anavyosex, hormone zinakuwa released kwa wingi , ili kumuandaa kushika mimba pamoja na kutunza mtoto.

Maziwa nikitu muhimu kwa mtoto, hivyo hormone zinaongeza utengenezaji wa tissue za maziwa. Hence matiti yanakuwa makubwa.

2. Binti anavyovunja ungo tuu, tissue za matiti zinaongezeka, ili kumuandaa kunyonyesha.

binti akifanya sex mara kwa mara, hormone zinajua huyu anahitaji mtoto. Hivyo zinazidi kukuza matiti.
 

Umeanza na neno shalom halafu unaongea upumbavu, Matiti is a private part ya mtu, inashikwaje shikwaje hata kama ni mtoto?
 

Ooooh owkay sawa kiongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…