Hivi mtu aamue Nini pale ambapo unapendwa sana na mtu usiempenda

Hivi mtu aamue Nini pale ambapo unapendwa sana na mtu usiempenda

Taitu2024

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2024
Posts
244
Reaction score
295
Unakuta mdada anapendwa sana na kijana ana mshawishi Kila siku ampeleke kwao kumtambulisha Ili taratibu zingine za ndoa zifuate lkn unakuta mdada hampendi kabisa huyo kijana lkn huyo mdada Mahali anapopapenda hapendwi

Wala hakuna malengo lkn yeye ndio unakuta anaona ni mwanaume wa ndoto zake, tatizo linakuwa moyo tu sasa afanyeje?
 
Pole sana mkuu sio lazma umpate huyo asiekupenda (hata kama yeye hapendwi huko na mtu wa ndoto zake), wewe sio mwanaume wa ndoto zake so tafuta wako
 
Unakuta mdada anapendwa sana na kijana ana mshawishi Kila siku ampeleke kwao kumtambulisha Ili taratibu zingine za ndoa zifuate lkn unakuta mdada hampendi kabisa huyo kijana lkn huyo mdada Mahali anapopapenda hapendwi

Wala hakuna malengo lkn yeye ndio unakuta anaona ni mwanaume wa ndoto zake, tatizo linakuwa moyo tu sasa afanyeje?
Don't be nice guy.
 
Unakuta mdada anapendwa sana na kijana ana mshawishi Kila siku ampeleke kwao kumtambulisha Ili taratibu zingine za ndoa zifuate lkn unakuta mdada hampendi kabisa huyo kijana lkn huyo mdada Mahali anapopapenda hapendwi

Wala hakuna malengo lkn yeye ndio unakuta anaona ni mwanaume wa ndoto zake, tatizo linakuwa moyo tu sasa afanyeje?
Unaonaje kama ukimchana live.....
 
Unakuta mdada anapendwa sana na kijana ana mshawishi Kila siku ampeleke kwao kumtambulisha Ili taratibu zingine za ndoa zifuate lkn unakuta mdada hampendi kabisa huyo kijana lkn huyo mdada Mahali anapopapenda hapendwi

Wala hakuna malengo lkn yeye ndio unakuta anaona ni mwanaume wa ndoto zake, tatizo linakuwa moyo tu sasa afanyeje?
Mwambie ukweli ili moyo wake uwe huru na wewe uwe huru. Kwenye hiyo scenario ukweli ndio hi prevail
 
Please may you explain?.
In love relationship there is lover and beloved. Lover embrase the relationship with sacrifice, passion,devotion while beloved enjoying to be worshiped, ili mahusiano yaende lazima mmoja akubali kuwa upande dhaifu na mara zote lover ndio anakua upande dhaifu
 
Mwanamke kupenda ni sawa na mhasibu kufanya usafi badala ya mahesabu kwenye kampuni yaani ni kiherehere na kufanya yasiyokuhusu.

Mwanaume ndie anatakiwa kumpenda mwanamke ili ajitoe kumtunza na kuishi nae. Mwanamke anatakiwa kusikiliza maelekezo ya mwanaume na kwenda na upepo wake.

Wanawake hawachagui kwa kupenda sababu hawajaumbiwa ufahamu wa kubaini mwanaume wa kuwafaa ama la. Wanawake ukisikia anasema amependa muulize umependea nini utasikia pumba atakazoanza kuongea.

Wanawake wengi hutumia sifa na vigezo vya wanawake wengine wanavyosifia kwenye mijadala yao. Mwanamke anachagua mwanaume ambaye atakuwa bakora kwa wanawake wenzake akiwatambishia wampe heshima yake kama mwanamke wa shoka. Mfano atataka mwanaume mrefu wa kimo, rangi nzuri ya ngozi inategemea wenzake wanasifia sana ipi nyeupe au nyeusi, misuli, pesa, gari anayotumia, sehemu anaishi, utajiri wake na kadhalika, hivi vyote vikicheck kwa mwanaume m'moja then anauhakika wa kuscore points nyingi za heshima kwa wanawake wenzake. Kinyume na hapo akichukua wa kawaida itamletea dharau na kushushwa vyeo na wenzake na hatokuwa comfortable akikaa nao.
 
Back
Top Bottom