Hivi mtu akifa na hela zake ziko benki na Mpesa, tukiwa na cheti cha kifo tunaweza fuatilia?

Hivi mtu akifa na hela zake ziko benki na Mpesa, tukiwa na cheti cha kifo tunaweza fuatilia?

Wajuzi naomba msaada.
Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana dealth certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa.

Msaada

Ila mimi hii hoja nimeiangalia kwa masikitiko sana na namna ya Maisha ya sasa yanavyokwenda.

Ni dhahiri kwamba mahusiano ya ndoa mengi hayana mpango chochote. Yaani watu wanaishi siku ziende.

How could that be mke hajui password ya Mpesa ya Mume wake ? How could that be mke au mume hajui ATM password ya mwenzi wake ?

Kuliko kuishi maisha ya kipumbavu kama hayo ni bora nisiwe na mwanamke.

Ninachojua mimi Mke wako au Mume wako ndio mtu wa kwanza Kwenye maisha yako kujua hizo details. It is such a shame mtu kufungua thread na kutuambia mke hajui password za ATM na MPESA. Huu ni WIZI unataka kufanyika. Na ndugu wa Marehemu watizame hili suala kwa karibu ; huenda kuna kitu bado hakipo sawa.

Ungesema utaratibu wa kufuatilia Mali za Marehemu kama vile Majumba, Viwanja, pesa zake ndani ya Bank n.k ingekuwa ni SAWA kuomba Ushauri na utaratibu.

But Akaunti ya MPESA au ATM , mke hajui, that is shame!

Yaani Mimi kama huyo aliyekufa ni kaka yangu; literally mwanamke atachukua share ndogo sana maana sioni kama ni Mtu mwenye akili ikiwa hujui hizo details za mtu unaelala nae kitanda kimoja na probably mna watoto . USELESS!

Anyway, .... tambua Mahakamani haitokuwa peke yako, bali ni familia halisi ya marehemu. Ndugu zake pamoja na watoto, wazazi kama wapo hai ambao watapewa nafasi pia.

maisha hayawezi kuwa so simple Kwenye hiyo chain.
 
Washajichokea Mkuu maana umekuwa ni usumbufu mkubwa kwa wahusika pamoja na kufuata taratibu zote na kuzikamilisha.
Sina hakika hapo issue ni nini.

Ila ninadhani hii inatokana na kuwa siku hizi wakati mwingine unakuta kuna yale masuala ya pesa kutumwa bank kuu au akaunti ya mahakama.

Sasa kama baada ya uteuzi wa msimamizi wa mirathi, barua ya mahakama inasema pesa ziwekwe bank kuu au akaunti ya mahakama, basi taasisi husika inalazimika kulipa pesa huko. Sasa si unajua taratibu za serikali zinavyokuwa?

Ni jukumu la msimamizi wa mirathi kufuatilia. Ndio kazi yake hiyo.

Ila nina uhakika kuna baadhi ya kamoubi za simu zinalipa moja kwa moja kwa wasimamizi wa mirathi. Hili nimelishuhudia binafsi kwa ndugu zangu
 
Busara v/s Sheria
Kumbuka pesa haina undugu
Mkuu mimi sioni shida.

Kwa sababu suala la mirathi ni la sheria. Na hapo unapaswa utambue kuwa kna sheria tofauti tofauti za mgawanyo wa mali.

Kuna za kiislamu, za kimila na za serikali.

Kila moja inaweka wazi taratibu zake nani anastahili kurithi, na kwa kiasi gani.

Na uzuri hizi sheria, haziamuliwi tu mfano mkristo itunike sheria ya kiislam au kimila. Mahakama huwa zinaangalia mfumo wa maisha wa marehemu ambao utaomesha intention yake ilikuaje. Je kwa mfano, kwa mfumo wa maisha yake, Marehemu alikusudia sheria za mgawanyo wa kimila ndio zitumike?

Sasa suala la je kuna sheria kati ya hizo za kimila, kiislamu au serikali kuwa kandamizi ni jingine. Lakini kwa mtazamo wangu karibu zote siku hizi sio kandamizi. Na mahakama zinatafsiri sheria hizo in favour of women.

Wajane wanachohitaji ni watu wa kuwasupport, na utayari wa kupambania haki zao pale inapobidi. Sheria kandamizi kama zipo zinatekelezwa na watu.
 
Ila mimi hii hoja nimeiangalia kwa masikitiko sana na namna ya Maisha ya sasa yanavyokwenda.

Ni dhahiri kwamba mahusiano ya ndoa mengi hayana mpango chochote. Yaani watu wanaishi siku ziende.

How could that be mke hajui password ya Mpesa ya Mume wake ? How could that be mke au mume hajui ATM password ya mwenzi wake ?

Kuliko kuishi maisha ya kipumbavu kama hayo ni bora nisiwe na mwanamke.

Ninachojua mimi Mke wako au Mume wako ndio mtu wa kwanza Kwenye maisha yako kujua hizo details. It is such a shame mtu kufungua thread na kutuambia mke hajui password za ATM na MPESA. Huu ni WIZI unataka kufanyika. Na ndugu wa Marehemu watizame hili suala kwa karibu ; huenda kuna kitu bado hakipo sawa.

Ungesema utaratibu wa kufuatilia Mali za Marehemu kama vile Majumba, Viwanja, pesa zake ndani ya Bank n.k ingekuwa ni SAWA kuomba Ushauri na utaratibu.

But Akaunti ya MPESA au ATM , mke hajui, that is shame!

Yaani Mimi kama huyo aliyekufa ni kaka yangu; literally mwanamke atachukua share ndogo sana maana sioni kama ni Mtu mwenye akili ikiwa hujui hizo details za mtu unaelala nae kitanda kimoja na probably mna watoto . USELESS!

Anyway, .... tambua Mahakamani haitokuwa peke yako, bali ni familia halisi ya marehemu. Ndugu zake pamoja na watoto, wazazi kama wapo hai ambao watapewa nafasi pia.

maisha hayawezi kuwa so simple Kwenye hiyo chain.
Ndugu mbona inawezekana sana hiyo mkeo kujua password za tigo pesa anaweza asijue kutokana na maelewano yenu ndani mkoje hata mwanamke anaweza kuwa na kazi pia akafariki vipi hilo swala na mwanamke ndo huwa hataki kabisa ukafahamu hela zake shida Sana kwahiyo inawezekana kutokujua password za bank au M pesa hilo mbona ndo Sana 75%
 
Ndugu mbona inawezekana sana hiyo mkeo kujua password za tigo pesa anaweza asijue kutokana na maelewano yenu ndani mkoje hata mwanamke anaweza kuwa na kazi pia akafariki vipi hilo swala na mwanamke ndo huwa hataki kabisa ukafahamu hela zake shida Sana kwahiyo inawezekana kutokujua password za bank au M pesa hilo mbona ndo Sana 75%

Sasa Mwanamke kama huyo Wewe ni wa nini? Yaani why do you have such a woman ?

Kama mmeamua kuishi pamoja maana yake ni lazima kuwe na Transparency na Truth.

Kitu kama ATM au Mpesa is very Common.

Like me; simu yangu Muda mwingi ipo kwa mikono ya my wife, au Mimi nikiwa na shida ya hela ya haraka nachukua Kadi yake naenda Bank ATM kutoa hela, like wise yeye pia . those are very common details kwa wanandoa.

Sijaona Essence ya huu Uzi
 
Wajuzi naomba msaada.

Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa.

Msaada
Kufanyike kikao cha wanafamilia kikiorodhesha mali za marehemu, m uende mahakamani kufungua suala la mirathi, mtangaze gazetini ili wanaodai au kudaiwa wajitokeze, baada ya taratibu za kimahakama (kisheria), msimamizi atapewa ruhusa ya kupewa hizo pesa.
 
Ni vizuri kuandikisha mali kwa warithi angali mkiwa hai, ili likitokea la kutokea uzurumaji usiwepo
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kuna mtu alifariki January mwaka jana taratibu zote zikafuatwa na msimamizi wa Marathi na pesa katika bank accounts zote zikapatikana lakini cha ajabu pamoja na kukamilisha kila kitu pesa bado hajapewa mkewe. Anaambiwa zipo hazina hajui tena afanye nini kishajichokea.
Hazina kivipi???? Pesa inatoka kwenye Acc ya mtu inaenda hazinaa??? Huu ni utapeliii
 
Washajichokea Mkuu maana umekuwa ni usumbufu mkubwa kwa wahusika pamoja na kufuata taratibu zote na kuzikamilisha.
Msichoke hela huwa inatoka..fuateni taratibubhusika hasa kesi ilipofanyikia..maana hela huwa inaenda BOT....so ikishaenda hukwo ni jukumu la kuarrange na mahakama iliyokuwa inasikiliza kuwapa uhalali wa malipo ya hela yenu iliyopo BOT
 
  • Nzuri
Reactions: BAK

Mimi si muhusika Mkuu bali ni watu wangu wa karibu. Ahsante sana.
Msichoke hela huwa inatoka..fuateni taratibubhusika hasa kesi ilipofanyikia..maana hela huwa inaenda BOT....so ikishaenda hukwo ni jukumu la kuarrange na mahakama iliyokuwa inasikiliza kuwapa uhalali wa malipo ya hela yenu iliyopo BOT
 
FRESHMAN wewe kama mwanaume umetafuta mali na mke wako kipenzi lakini ukitangulia kuondoka hizo mali zinauzwa warithi wanagawana. Sasa kama una nyumba moja wakishagawana yeye utu uzima ushawadia, kukimbizana hawezi tena, unafikiri yeye ataenda wapi

Nawaza nimpoteze babachanja wangu halafu nyumba yangu nilivyoisotea Mimi na yeye iuzwe ili warithi wapate chao halafu Mimi nikaanze kutafuta makazi
Maumivu juu ya maumivu
Haipo hivo, kwanza kisheria nyumba ya familia huwa haiuzwagi vinginevyo uliweka bond. Mke ni mrithi halali wa Mume na anatambulika
 
Kuna mtu alifariki January mwaka jana taratibu zote zikafuatwa na msimamizi wa Marathi na pesa katika bank accounts zote zikapatikana lakini cha ajabu pamoja na kukamilisha kila kitu pesa bado hajapewa mkewe. Anaambiwa zipo hazina hajui tena afanye nini kishajichokea.
Mhh basi kuna shida mahali
 
Haipo hivo, kwanza kisheria nyumba ya familia huwa haiuzwagi vinginevyo uliweka bond. Mke ni mrithi halali wa Mume na anatambulika
Bushmamy kuna matukio mengi wamama wamelazimika kuacha mali za familia ziuzwe baada ya waume zao kufariki ili warithi wagawiwe mali. Mimi sio mwanasheria na sijui hii sheria ya mirathi imekaaje hapo?
 
Wajuzi naomba msaada.

Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa.

Msaada
Kuna taratibu za mirathi, kama marehemu kaacha wosia juu ya mgawanyiko wa mali basi itakuwa rahisi kuzipata, lakin zaid ya hapo utazungushwa sana, lakin pesa utazipata kama zilivyo
 
FRESHMAN wewe kama mwanaume umetafuta mali na mke wako kipenzi lakini ukitangulia kuondoka hizo mali zinauzwa warithi wanagawana. Sasa kama una nyumba moja wakishagawana yeye utu uzima ushawadia, kukimbizana hawezi tena, unafikiri yeye ataenda wapi

Nawaza nimpoteze babachanja wangu halafu nyumba yangu nilivyoisotea Mimi na yeye iuzwe ili warithi wapate chao halafu Mimi nikaanze kutafuta makazi
Maumivu juu ya maumivu
Kwa nini huwa mnafikiria baba kutangulia tu?sheria hiyo hiyo inatumika mama akiondoka pia
 
Wajuzi naomba msaada.

Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa.

Msaada
Fungua maombi ya mirathi mahakama ya mwanzo uambatanishe na hicho cheti cha kifo pamoja na mutasari wa kikao cha ukoo/ familia kuonyesha umeteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi wa mali za marehemu. Kama marehemu ameacha wosia ambatanisha huo wosia pamoja na cheti cha kifo. kazi yako ni kukusanya mali za marehemu na medeni, kulipa madeni na kugawa mali kwa warithi halali. hela bank sio zako.
 
Wajuzi naomba msaada.

Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa.

Msaada
Huku ndio kunaitwa kukosa hekima....sasa unawaachia matatizo waliobaki. Sasa kama mke umuamini na password ya bank unaishi nae wa nini?
 
Kwa nini huwa mnafikiria baba kutangulia tu?sheria hiyo hiyo inatumika mama akiondoka pia
Sijafikiria kuhusu baba kuondoka mkuu
Nimeandika kutokana na matukio niliyokutana nayo mimi, yote yamewahusu wamama tuu.
 
Back
Top Bottom