Hivi mtu akifanya hivi anakuwa anakupenda?

Hivi mtu akifanya hivi anakuwa anakupenda?

soldier MAN

Member
Joined
May 13, 2024
Posts
51
Reaction score
100
Kipindi nipo form three kulikuwa na mdada tunasoma darasa moja lakini yeye alikuwa bweni mimi kutwa.

Alikuwa akiniomba zawadi namletea kama rafiki.

Lakini cha kushangaza nikwamba alikuwa akitongozwa kwa sababu alikuwa mzuri lakini cha kushanga kila akitongoza alikuwa anakuja kushitaki kwangu mimi na kunituma nikawambie wanaume wenzangu wasimsumbue.ilikuwa ni mwaka 2O19

Swali nije alifanya hivyo kwa kuwa alikuwa ananipenda au kuna sababu nyingine?

Naomba majibu yenu wana jf.
 
Kipindi nipo form three kulikuwa na mdada tunasoma darasa moja lakini yeye alikuwa bweni mimi kutwa alikuwa akiniomba zawadi na mletea kama rafiki lakini cha kushangaza nikwamba alikuwa akitongozwa kwa sababu alikuwa mzuri lakini cha kushanga kila akitongoza alikuwa anakuja kushitaki kwangu mm na kunituma nikawambie wanaume wenzangu wasimsumbue, swali nije alifanya hivyo kwa kuwa alikuwa ananipenda au kuna sababu nyingine? Naomba majibu yenu wana jf.
Taarifa zawadi haiombwi
 
Back
Top Bottom