Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hadi leo hujapata jibu basi ukikua utajuailikuwa 2019 not now
nilitaka kujua tu.miaka yoote ndio ulikua unajiuliza huo ujinga sasa umeona utushirikishe sio
Kabisa mkuu sasa 2019 eti form three da humu kuna watoto tunawazaa.Jamii forum Kuna vitoto vingi sana.
mnajua
Hakuwa mjinga alikuwa anataka umtongoze akimaanisha anatongozwa sana hivyo kaluwekea amana wewe ukizingua anadonload mwingineKipindi nipo form three kulikuwa na mdada tunasoma darasa moja lakini yeye alikuwa bweni mimi kutwa.
Alikuwa akiniomba zawadi namletea kama rafiki.
Lakini cha kushangaza nikwamba alikuwa akitongozwa kwa sababu alikuwa mzuri lakini cha kushanga kila akitongoza alikuwa anakuja kushitaki kwangu mimi na kunituma nikawambie wanaume wenzangu wasimsumbue.ilikuwa ni mwaka 2O19
Swali nije alifanya hivyo kwa kuwa alikuwa ananipenda au kuna sababu nyingine?
Naomba majibu yenu wana jf.
😆😆😆😆Jamii forum Kuna vitoto vingi sana.