soldier MAN
Member
- May 13, 2024
- 51
- 100
mnajuaHatujui
Taarifa zawadi haiombwiKipindi nipo form three kulikuwa na mdada tunasoma darasa moja lakini yeye alikuwa bweni mimi kutwa alikuwa akiniomba zawadi na mletea kama rafiki lakini cha kushangaza nikwamba alikuwa akitongozwa kwa sababu alikuwa mzuri lakini cha kushanga kila akitongoza alikuwa anakuja kushitaki kwangu mm na kunituma nikawambie wanaume wenzangu wasimsumbue, swali nije alifanya hivyo kwa kuwa alikuwa ananipenda au kuna sababu nyingine? Naomba majibu yenu wana jf.
ilikuwa 2019 not nowTumia likizo yako vizuri bwana mdogo, hakikisha haukosi tuition
Swali nije alifanya hivyo kwa kuwa alikuwa ananipenda au kuna sababu nyingine?
ilikuwa 2019 sio sasa.Jamii forum Kuna vitoto vingi sana.
UDSM chuoSasa hivi upo form ngapi ?
Watu wa UDSM hawana maswali kama hayo yako. Sema shule unayosoma.UDSM
Soma kijana tumia hii likizo fupi kujiandaa na UE uhakikishe course work zinasomeka vizuriUDSM
nipo chuo nowKijana tumia hii likizo kwa kusoma....usipoteze muda huku JF.
Mpigie simu umuulizeilikuwa 2019 sio sasa.