Soma sana kijana, nafasi huja mara moja. Huyo msichana wa bweni alikupenda ila wewe ulizidisha kuigiza U-korea na udomo zege.nipo chuo now
Dah hatari sana inabidi wakongwe tuanzishiwe jukwaa letu maalumu la mada zote.Jamii forum Kuna vitoto vingi sana.
Dah hatari sana inabidi wakongwe tuanzishiwe jukwaa letu maalumu la mada zote.
Huko ziruhusiwe ID za miaka 10 na zaidi
Kipindi nipo form three kulikuwa na mdada tunasoma darasa moja lakini yeye alikuwa bweni mimi kutwa.
Alikuwa akiniomba zawadi namletea kama rafiki.
Lakini cha kushangaza nikwamba alikuwa akitongozwa kwa sababu alikuwa mzuri lakini cha kushanga kila akitongoza alikuwa anakuja kushitaki kwangu mimi na kunituma nikawambie wanaume wenzangu wasimsumbue.ilikuwa ni mwaka 2O19
Swali nije alifanya hivyo kwa kuwa alikuwa ananipenda au kuna sababu nyingine?
Naomba majibu yenu wana jf.
Acha wawepo wajifunzeJamii forum Kuna vitoto vingi sana.
Acha wawepo wajifunze
Kipindi nipo form three kulikuwa na mdada tunasoma darasa moja lakini yeye alikuwa bweni mimi kutwa.
Alikuwa akiniomba zawadi namletea kama rafiki.
Lakini cha kushangaza nikwamba alikuwa akitongozwa kwa sababu alikuwa mzuri lakini cha kushanga kila akitongoza alikuwa anakuja kushitaki kwangu mimi na kunituma nikawambie wanaume wenzangu wasimsumbue.ilikuwa ni mwaka 2O19
Swali nije alifanya hivyo kwa kuwa alikuwa ananipenda au kuna sababu nyingine?
Naomba majibu yenu wana jf.
AnKipindi nipo form three kulikuwa na mdada tunasoma darasa moja lakini yeye alikuwa bweni mimi kutwa.
Alikuwa akiniomba zawadi namletea kama rafiki.
Lakini cha kushangaza nikwamba alikuwa akitongozwa kwa sababu alikuwa mzuri lakini cha kushanga kila akitongoza alikuwa anakuja kushitaki kwangu mimi na kunituma nikawambie wanaume wenzangu wasimsumbue.ilikuwa ni mwaka 2O19
Swali nije alifanya hivyo kwa kuwa alikuwa ananipenda au kuna sababu nyingine?
Naomba majibu yenu wana jf.
trueWatu wa UDSM hawana maswali kama hayo yako. Sema shule unayosoma.
Miaka 19 bado katotoUDSM chuo
2019 form three , alooo JF imevamiwa na watoto , bila shaka uko likizo kijana piga sana tuitionšKipindi nipo form three kulikuwa na mdada tunasoma darasa moja lakini yeye alikuwa bweni mimi kutwa.
Alikuwa akiniomba zawadi namletea kama rafiki.
Lakini cha kushangaza nikwamba alikuwa akitongozwa kwa sababu alikuwa mzuri lakini cha kushanga kila akitongoza alikuwa anakuja kushitaki kwangu mimi na kunituma nikawambie wanaume wenzangu wasimsumbue.ilikuwa ni mwaka 2O19
Swali nije alifanya hivyo kwa kuwa alikuwa ananipenda au kuna sababu nyingine?
Naomba majibu yenu wana jf.