Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Waziri anaandaliwa cha kuongea na wataalamu, Wizara siyo Waziri pekee kuna wataalamu ambao wanamzidi mara 5 akili ake lakini wao hawaruhusiwi kuongea mbele ya camera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maneno mengine, mawaziri hata wasipokuwepo kila kitu kitaenda kama kinavyotakiwa..!Waziri anaandaliwa cha kuongea na wataalamu, Wizara siyo Waziri pekee kuna wataalamu ambao wanamzidi mara 5 akili ake lakini wao hawaruhusiwi kuongea mbele ya camera
Bunge huwa linavunjwa tarehe 30-June mpaka November mwaka wa uchuguzi kwa muda wa miezi 5 Wizara huwa zinakuwepo bila Waziri na mambo yanaenda vizuri kuliko hata wakiwepo, pale mtendaji Mkuu ni Katibu Mkuu wengine wapo hapo kisiasa na hawana la maana.Kwa maneno mengine, mawaziri hata wasipokuwepo kila kitu kitaenda kama kinavyotakiwa..!
Hata kama ndiyo unatafuta buzi siyo kihivyo Madam wewe?!Wezi wa mali ya umma unawatakatisha jina kwa kuwaita _ Intellectual People_!!????
Dadavua elimu ya uraia mkuuUkisoma hii post utagundua umuhimu wa elimu ya uraia.
Waziri ni kiongozi, lakini anaweza kuwa mwanasiasa... Ila kiongozi makini hapendi siasa, akifanya ni kwa kulazimisha...Ni kipi hapo hufanywa na waziri?
Sababu kubwa ya teuzi ni ulaji. Sasa utakuta kila wizara ina kiwango chake cha ulaji. Kuna wizara zina ulaji mdogo na nyingine zina ulaji mkubwa. Rais anahanisha mawaziri ili kuwabadilishia ulaji. Mtu huwezi kukaa kwenye wizara yenye ulaji mdogo miaka yote ufe njaa. Rais sio mjinga. Anawahamisha mara kwa mara ili kila mmoja aonje aina fulani ya ulaji kwenye wizara mbalimbali.Huwa sielewe kwa kweli. Hasa nikiangazia teuzi za mawaziri. Unakuta leo waziri yupo wizara hii, kesho kateuliwa kule na keshokutwa kaletwa huku. Na kila unapomwona kwenye wizara mpya anaongea kama alikuwa hapo miaka kumi iliyopita.
Kuna wakati Bashungwa alikuwa waziri wa viwanda. Siku alialikwa pale Sheraton kukutana na wadau. Akaweka mikakati yake wee na kuunda timu ya ufuatiliaji na kuahidi kuona matokeo. Baada ya muda kama wiki 4 hivi akatolewa wizara hiyo, sikumbuki alienda wizara gani. Nilitamani sana kujua ni upi mwendelezo wa alichokianzisha. Najua kiliishia njiani tu japo lilikuwa wazo jema sana.
Tatizo ni hilo kila wizara. Yani mawaziri wamefanywa wanasesere. Aliyebaki na heshima wizarani ni Katibu Mkuu tu.
Sasa kilichonifanya kuandika haya ni kwamba natazama tbc hapa namwona Kijaji akitiririka na masuala ya maxingira utadhani alikuwa wizarrani hapo miaka mitano iliyopita. Wiki moja tu nyuma alikuwa waziri wa viwanda na alikuwa akitiririka kama alianzisha wizara. Wiki hiyohiyo Jery Silaa alikuwa wizara ya ardhi na ghafla akapelekwa Mawasiliano. Yani pale alipokuwa anaanza kuchanganya akatolewa. Hadi wananchi wakachukia. Kesho ukimsikiliza Silaa utadhani alikuwa mawasiliano miaka 7 iliyopita.
Tatizo hapa ni mteuzi kutuona wananchi ni maboya sana. Kwamba anaamka tu na pengine kwa maslahi binafsi anatengua uwaziri wa waziri fulani na kuhamisha huku na kule. Ni kama vile Raisi huwa na akilli za watanzania wote. Sasa nimefikiri nikaona yafuatayo;
1. Mteuzi awe na limit ya kuteua na kutengua. Mara mbili tu!
2. Waziri akae wizara husika angalau miaka mitatu bila kusumbuliwa na hamahama
3. Waziri akishindwa kudeliva hakuna haja ya kumhamisha. Ni kutengua tu
4. Waziri akideliva hakuna sababu ya kumhamisha. Ni kuvuruga malengo na kumharibia utendaji
5. Katibu mkuu wizara asitokane na uteuzi bali ushindani na ajira yake itokane na hekima za bodi
Una hoja usikilizweSababu kubwa ya teuzi ni ulaji. Sasa utakuta kila wizara ina kiwango chake cha ulaji. Kuna wizara zina ulaji mdogona nyingine zina ulaji mkubwa. Rais anahanisha mawaziri ili kuwabadilishia ulaji. Mtu huwezi kukaa kwenye wizara yenye ulaji mdogo miaka yote ufe njaa. Rais sio mjinga. Anawahamisha mara kwa mara ili kila mmoja aine aina fulani ya ulaji.
Mtu anayetokana na siasa ni mwanasiasa tu. La sivyo mtu kama huyo angebaki kwenye taasisi zingine za umma zisizo na teuzi na uhusiano na siasa. Kwa kitendo cha waziri atokane na ubunge, tayari mbunge ni mwanasiasa.Waziri ni kiongozi, lakini anaweza kuwa mwanasiasa... Ila kiongozi makini hapendi siasa, akifanya ni kwa kulazimisha...
Kuna mwanasiasa in nature, mwingine ana act hata ukiangalia matendo yake unaona, either anapitia mgongo wa siasa ili afanikishe mipango yake...Mtu anayetokana na siasa ni mwanasiasa tu. La sivyo mtu kama huyo angebaki kwenye taasisi zingine za umma zisizo na teuzi na uhusiano na siasa. Kwa kitendo cha waziri atokane na ubunge, tayari mbunge ni mwanasiasa.
Kitendo cha kutaka kufanikisha mipango yake tayari ni siasa, maana ndni ya siasa kuna propaganda na ulaghaiKuna mwanasiasa in nature, mwingine ana act hata ukiangalia matendo yake unaona, either anapitia mgongo wa siasa ili afanikishe mipango yake...
Ndio wenye Nchi hadi wanakufa.Huwa sielewe kwa kweli. Hasa nikiangazia teuzi za mawaziri. Unakuta leo waziri yupo wizara hii, kesho kateuliwa kule na keshokutwa kaletwa huku. Na kila unapomwona kwenye wizara mpya anaongea kama alikuwa hapo miaka kumi iliyopita.
Kuna wakati Bashungwa alikuwa waziri wa viwanda. Siku alialikwa pale Sheraton kukutana na wadau. Akaweka mikakati yake wee na kuunda timu ya ufuatiliaji na kuahidi kuona matokeo. Baada ya muda kama wiki 4 hivi akatolewa wizara hiyo, sikumbuki alienda wizara gani. Nilitamani sana kujua ni upi mwendelezo wa alichokianzisha. Najua kiliishia njiani tu japo lilikuwa wazo jema sana.
Tatizo ni hilo kila wizara. Yani mawaziri wamefanywa wanasesere. Aliyebaki na heshima wizarani ni Katibu Mkuu tu.
Sasa kilichonifanya kuandika haya ni kwamba natazama tbc hapa namwona Kijaji akitiririka na masuala ya maxingira utadhani alikuwa wizarrani hapo miaka mitano iliyopita. Wiki moja tu nyuma alikuwa waziri wa viwanda na alikuwa akitiririka kama alianzisha wizara. Wiki hiyohiyo Jery Silaa alikuwa wizara ya ardhi na ghafla akapelekwa Mawasiliano. Yani pale alipokuwa anaanza kuchanganya akatolewa. Hadi wananchi wakachukia. Kesho ukimsikiliza Silaa utadhani alikuwa mawasiliano miaka 7 iliyopita.
Tatizo hapa ni mteuzi kutuona wananchi ni maboya sana. Kwamba anaamka tu na pengine kwa maslahi binafsi anatengua uwaziri wa waziri fulani na kuhamisha huku na kule. Ni kama vile Raisi huwa na akilli za watanzania wote. Sasa nimefikiri nikaona yafuatayo;
1. Mteuzi awe na limit ya kuteua na kutengua. Mara mbili tu!
2. Waziri akae wizara husika angalau miaka mitatu bila kusumbuliwa na hamahama
3. Waziri akishindwa kudeliva hakuna haja ya kumhamisha. Ni kutengua tu
4. Waziri akideliva hakuna sababu ya kumhamisha. Ni kuvuruga malengo na kumharibia utendaji
5. Katibu mkuu wizara asitokane na uteuzi bali ushindani na ajira yake itokane na hekima za bodi
Ndiyo...wa Serikali ya CCM wote wezi.😁😁😁 kwahiyo MTU akiwa Anafanya Kazi serikalini anakuwa ni mwizi?
Umemjibu vzr waziri ni msemaji Kama Ali kamwe au Mangoma Ila utedanji unakuwa na watu efficiency amboBunge huwa linavunjwa tarehe 30-June mpaka November mwaka wa uchuguzi kwa muda wa miezi 5 Wizara huwa zinakuwepo bila Waziri na mambo yanaenda vizuri kuliko hata wakiwepo, pale mtendaji Mkuu ni Katibu Mkuu wengine wapo hapo kisiasa na hawana la maana.
Ndiyo...wa Serikali ya CCM wote wezi.
Elimu ya uraia inamuwezesha mtu kutambua namna serikali inavyotenda kazi zake. Ni hapo ambapo mtoa mada angeelewa ni namna gani Waziri anaweza kumudu kuzielewa sera za wizara yake hata kama amedumu kwa muda mfupi.Dadavua elimu ya uraia mkuu
No Nape ni case tofauti kwa sababu yeye ni mropokaji na alikuwa anaishi kimazoea yaani kujiona serikali ni yao kwa sababu wameanza kuingia serikalini miaka mingi na walirithi mambo ya uongozi kutoka kwa baba zao kwa hiyo inakuwa ni ngumu kushaurika kama mawaziri wengine.Mfano tuchukulie aliyekuwa waziri wa ardhi, kwa hiyo baada ya kuwasikiliza wananchi hurudi nyuma kupokea nondo toka kwa watendaji kisha anaanza kutoa maamuzi?
Mchukulie Nape. Kwa kauli zile ilimaanisha kuwa jopo lake la washauri hawakufanya kazi yao? Kwa nini ape hakung'oka na watu wake?
Sio kweliWaziri yeye ni msemaji tu wa wizara husika, anaandaliwa tu cha kuongea, hana utaalam wowote juu ya wizara anayoongoza, ndo maana huwa wanahamishwa hamishwa