Hivi mtu akishateuliwa kiongozi huwa akili zake zinaongezeka mara dufu?

Waziri anaandaliwa cha kuongea na wataalamu, Wizara siyo Waziri pekee kuna wataalamu ambao wanamzidi mara 5 akili ake lakini wao hawaruhusiwi kuongea mbele ya camera
 
Waziri anaandaliwa cha kuongea na wataalamu, Wizara siyo Waziri pekee kuna wataalamu ambao wanamzidi mara 5 akili ake lakini wao hawaruhusiwi kuongea mbele ya camera
Kwa maneno mengine, mawaziri hata wasipokuwepo kila kitu kitaenda kama kinavyotakiwa..!
 
Kwa maneno mengine, mawaziri hata wasipokuwepo kila kitu kitaenda kama kinavyotakiwa..!
Bunge huwa linavunjwa tarehe 30-June mpaka November mwaka wa uchuguzi kwa muda wa miezi 5 Wizara huwa zinakuwepo bila Waziri na mambo yanaenda vizuri kuliko hata wakiwepo, pale mtendaji Mkuu ni Katibu Mkuu wengine wapo hapo kisiasa na hawana la maana.
 
Sababu kubwa ya teuzi ni ulaji. Sasa utakuta kila wizara ina kiwango chake cha ulaji. Kuna wizara zina ulaji mdogo na nyingine zina ulaji mkubwa. Rais anahanisha mawaziri ili kuwabadilishia ulaji. Mtu huwezi kukaa kwenye wizara yenye ulaji mdogo miaka yote ufe njaa. Rais sio mjinga. Anawahamisha mara kwa mara ili kila mmoja aonje aina fulani ya ulaji kwenye wizara mbalimbali.
 
Una hoja usikilizwe
 
Waziri ni kiongozi, lakini anaweza kuwa mwanasiasa... Ila kiongozi makini hapendi siasa, akifanya ni kwa kulazimisha...
Mtu anayetokana na siasa ni mwanasiasa tu. La sivyo mtu kama huyo angebaki kwenye taasisi zingine za umma zisizo na teuzi na uhusiano na siasa. Kwa kitendo cha waziri atokane na ubunge, tayari mbunge ni mwanasiasa.
 
Mtu anayetokana na siasa ni mwanasiasa tu. La sivyo mtu kama huyo angebaki kwenye taasisi zingine za umma zisizo na teuzi na uhusiano na siasa. Kwa kitendo cha waziri atokane na ubunge, tayari mbunge ni mwanasiasa.
Kuna mwanasiasa in nature, mwingine ana act hata ukiangalia matendo yake unaona, either anapitia mgongo wa siasa ili afanikishe mipango yake...
 
Kuna mwanasiasa in nature, mwingine ana act hata ukiangalia matendo yake unaona, either anapitia mgongo wa siasa ili afanikishe mipango yake...
Kitendo cha kutaka kufanikisha mipango yake tayari ni siasa, maana ndni ya siasa kuna propaganda na ulaghai
 
Huenda hatuelewani, ila unasema kweli 🀝, eg mimi nijoin na magaidi, lakini lengo langu ni kuvunja ngome ya kigaidi...
 
Ndio wenye Nchi hadi wanakufa.
 
Umemjibu vzr waziri ni msemaji Kama Ali kamwe au Mangoma Ila utedanji unakuwa na watu efficiency ambo
Ndiyo...wa Serikali ya CCM wote wezi.

Sio kweli mkuu
 
Dadavua elimu ya uraia mkuu
Elimu ya uraia inamuwezesha mtu kutambua namna serikali inavyotenda kazi zake. Ni hapo ambapo mtoa mada angeelewa ni namna gani Waziri anaweza kumudu kuzielewa sera za wizara yake hata kama amedumu kwa muda mfupi.
 
No Nape ni case tofauti kwa sababu yeye ni mropokaji na alikuwa anaishi kimazoea yaani kujiona serikali ni yao kwa sababu wameanza kuingia serikalini miaka mingi na walirithi mambo ya uongozi kutoka kwa baba zao kwa hiyo inakuwa ni ngumu kushaurika kama mawaziri wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…