Hivi mtu akishateuliwa kiongozi huwa akili zake zinaongezeka mara dufu?

Uko sahihi, Waziri anatakiwa ateuliwe kulingana na uzoefu wake katika sekta husika na pia asihamishwe hamishwe ndani ya muda mfupi, kama amevurunda wizara moja ni bora akaondolewa kabisa kuwa waziri. Tatizo ni kwamba mfumo wa siasa zetu hauzingatii merits bali ukada zaidi.
 
Sio kweli, Rais anaweza kuwa anajua sekta moja tu na ikatosha kumfanya raisa mzuri. Kazi hasa ya Rais ni kusimamia watu watimize majukumu yao na kufanya maamuzi makubwa, sio kwenda kukakugua miradi, majengo na ofisi.
 
Sio kweli, Rais anaweza kuwa anajua sekta moja tu na ikatosha kumfanya raisa mzuri. Kazi hasa ya Rais ni kusimamia watu watimize majukumu yao na kufanya maamuzi makubwa, sio kwenda kukakugua miradi, majengo na ofisi.
Hv unaweza kusimamia kitu ambacho hauna kabisa idea nacho siutalishwa matango poli ?
 
Hv unaweza kusimamia kitu ambacho hauna kabisa idea nacho siutalishwa matango poli ?
Na hao wanaozungushwa kila leo.kwenye wizara wamekuwa na tija gani? Chukilia mfano Makamba na Nape
 
Na hao wanaozungushwa kila leo.kwenye wizara wamekuwa na tija gani? Chukilia mfano Makamba na Nape
Wabongo tunapenda kulalamika mno kama mtu anashindwa kuendesha familia ya watu wa nne itakuwa wizara au nchi?
 
Kwahiyo unaweza kukuta hata mama yako chura kiziwi kichwani ni 0 ila anatembelea mawazo ya watu?
 
Ni kwamba ata sisi tunaolalamika kila siku wakati mwingine ata uwezo wakuendesha ofisi zetu wenyewe zenye mfanyakazi mmoja hatuna.
Inawezekana kweli iwe hivyo kwa kuwa rasilimali zinaweza kuwa haba, haswa fedha. Sasa waziri ana bajeti. Ana wasaidizi. Ana mamlaka. Ana media. Ana wataalam. Kwa nini ashindwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…