Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Copy that...Back up! back up!
We've been hit
Man down, I repeat man down.
Do you copy?
Over
Huwa napenda sana movie za kikomando...Back up! back up!
We've been hit
Man down, I repeat man down.
Do you copy?
Over??
Na hapo hukumu yake inakuwaje??Ni kosa Kama kosa lingine lkn defence unaweza sema ni provocation ingawa ina vigezo vyake kosa likawa manslaughter badala ya murder
Sheria inasema kuwa ni kosa kusababisha kifo cha mwingine. Sasa ukiua katika fumanizi utashtakiwa kwa Kosa la mauaji kwa kukusudia labda ukiweka utetezi wa 'provocation' unaweza ukakusaidia kidogo na kubadili mashtaka na hatia yako toka 'kuua kwa kukusudia' ambayo adhabu yake ni kifungo cha Miaka 30 hadi 'kuua pasipo kukusudia' ambapo adhabu yake ni kifungo kisichozidi miaka 30.Mimi nataka kuuliza leo, Haya matukio ya kuuana kwenye mahusiano hasa fumanizi yamekuwa mengi sana siku hizi. Hivi karibuni tu January 04 ya mwaka huu tulisikia jamaa mmoja Huko Chunya Mbeya amemua mtu aliyemfumania na mke wake ndani ya nyumba kwenye chumba anacholala akifanya mapenzi na mke wake.
Nadhani kila mtu anajua maumivu ya kusalitiwa kwa wote mume na mke ikiwa ni kwenye mahusiano au ndoa. Kitendo cha mtu kumkuta anafanya mapenzi na mke wako, ndani kwako, kwenye chumba chako, kwenye kitanda chako ebu imagine ni maumivu makali kiasi gani utakuwa nayo? Na ndipo sasa inatokea hapa mtu anaua bila kukusudia.
Naamini kabisa hapa wengi wanauwa bila kukusudia ni kutokana na stuation anayoipata mtu kwa wakati huo sehemu ya tukio. Ni wachache sana amkute mtu anafanya mapenzi na mkeo/Mumeo amwache tu aondoke bila kashi kashi wala kumgusa mtu huyo aisee.
Na je sheria ya ugoni ikoje hapa mtu ukimpeleka mahakamni ametembea na mkeo na akakana ushaidi huwa unapatikanje? na je ikidhibitika huwa kuna kifungo au faini kwa huyo mtu. Watu wengi wanachukua sheria mkononi pengine sheria ya ugoni haimwajibishi vizuri mtuhumiwa kiasi cha kupunguza maumivu ya mlalamikaji au tatizo nini?.
Pamoja na yote hayo inakuwaje mtu aliyeua katika stuation hiyo ahukumiwe kama muuaji wa kukusudia maana ankuwa amesababishiwa hisira za kuua.
Nawasilisha.
Mbona kuna watu wanaua na wanaachiwa huru huwa wantumia kigezo gani
Man, please!Unaruhusiwa kuuwa kama utamfumania mke wako, right on time
Upotoshaji upi?Man, please!
Usifanye mambo ya upotoshaji mitandaoni.
This is a mistake!
Kama hujui jambo ni bora ukanyamaza.
Hii ni hatari. Utawatia watu matatizoni kwa ujuaji wako usio na faida.