Fabian Zegge
Member
- Sep 20, 2018
- 15
- 14
Inategemea umeuaje. Kuna kuua kw bahati mbaya na makusudi.
1. kuua kwa bahati mbaya mfano umesafiri unarudi nyumbani ghafla na mkukuta mkeo na mwanaume wamelala kwako. Kukawa na kitu chochote karibu ukakitumia Kama siraha utakuwa umeua bila kukusudia.
2. Kwa kuksudia. Unakisia kuwa mke wako ana hawala ukaweka mtego au ukawavizia huku ukiwa umejiandaa kwa mauaji hapo umekusudia.
1. kuua kwa bahati mbaya mfano umesafiri unarudi nyumbani ghafla na mkukuta mkeo na mwanaume wamelala kwako. Kukawa na kitu chochote karibu ukakitumia Kama siraha utakuwa umeua bila kukusudia.
2. Kwa kuksudia. Unakisia kuwa mke wako ana hawala ukaweka mtego au ukawavizia huku ukiwa umejiandaa kwa mauaji hapo umekusudia.