Acha kujibu kama unapokea rushwa huko sisiyemu! Unajibujibu tu. Subiri wataalam wa sheria wakupe faida za usomi.Naona Mzee Ushachapiwa Mke unajiliwaza Eti unataka kumshauri Mtu!
Mtoto wako ukimlisha akashiba hutasikia anakuabisha kwa kula kula kwa Majirani!
'Mlishe' Mkeo atosheke ndio dawa ya kuchapiwa sio kutafuta vifungu vya Sheria kwenda kufunga Watu
kumekucha1. Hivi mke wa mtu ana alama gani ?
2. Hivi mke wa mtu ni box kuchukuliwa tuu na kupelekwa bila UTASHI ?
Mwenye kosa hapo ni anaechepuka huku anajua anamume .au anamgonga bilakujia kama huyu nimke wamtu.huoni mwanaume anaweza kusema mm sikujua kama nimke wamtu.Kama hajamkamata live, hakuna kesi hapo. Ila kama alimkamata live na mashahidi wakiwepo, police wetu wajuvi sana. Wanaweza kuibuka na case kama "tresspassing" au "kujimilikisha mali ya mtu kinyume cha sheria" au hata "uchochezi unaolenga kuvunja ndoa halali"🙂
Acha kujibu kama unapokea rushwa huko sisiyemu! Unajibujibu tu. Subiri wataalam wa sheria wakupe faida za usomi.
Kuwa makini huko kuchapa wake za watu. Utadidimizwa kisu cha tacore halafu ukimbilie police kuomba PF3!Team kuchapiwa Povu linakutoka
Wewe tafuta vifungu vya Sheria Watu wanatafuta Mkeo
Ndo maana nikasema mwanamke anajijuaa kabisa Mimi ni mke wa mtu na Na nimeapa sitokuja kusaliti ndoa yangu.Mwenye kosa hapo ni anaechepuka huku anajua anamume .au anamgonga bilakujia kama huyu nimke wamtu.huoni mwanaume anaweza kusema mm sikujua kama nimke wamtu.
Hivi unaposema kuwa 'umetembea na mke wa mtu' au mtu ametembea na mke wako kuna suala la kuuliza kuhusu kosa hili? Dini, mila,desturi na Sheria zimekwenda wapi hata usijue la kufanya?Ameuliza jambo zuri. Ila weye unalichukulia poa tu. GIVING OUT A STUPID ANSWER WILL GET YOU A STUPID QUOTATION!
Hayo maswali yako ndiyo yanahitajika kuingizwa kwenye mjadala. Tatizo weye ulitaka kuua mjadala mzuri usiendelee.Hivi unaposema kuwa 'umetembea na mke wa mtu' au mtu ametembea na mke wako kuna suala la kuuliza kuhusu kosa hili? Dini, mila,desturi na Sheria zimekwenda wapi hata usijue la kufanya?