Hivi mtu anaweza kuwa na UTI zaidi ya 500?

Sitosahau mwezi machi mwaka huu nilikkutana na demu mmoja was kisambaa na kuniachia bonge LA UTI haijawahi kutokea .

Nilijuta kwanini nilienda kavu ,nilidanganywa na weupe wape nikajua mtoto atakuwa safi tu kumbe!!!!! Chamoto nilikiona

Nikapima mavipimo mengine Niko poa daaaah nilishukuru

Nikatumia Amoxycillin,cipro,sindano,na vidonge Fulani vya kijani hivi nimesahau jina

Alhamudilah nimepona

Na yule manzi kila akija kichwani nakumbuka UTI tu hadi kumtunga jina ANNA MA-U.T.I hahahahahah

Sitaki hata kukumbuka
 
Tiba nzuri ya kujikinga na UTI ni kila unapoingia chooni kumwaga maji mengi kwa kuyasukuma kwa nguvu ili kuondoa bacteria kwenye sink la choo ndo ujisaidie.

Pia Maji Mengi unayokunywa yanasaidia kukojoa mara kwa mara na hivyo kuwatoa bacteria kwa njia ya msukumo wa mkojo.
 
Duuuh huyo mbaya sana aisee
Nenda hospital kafanye urine culture hakikisha unakaa kama siku watu hivi ndo upate majibu majibu then inbox me ntakushauri ukanunue dawa ya kuchoma kwa sindano utapona direct

Ila angalizo wakati unasubir majibu ya culture mshaur mke wako anywe maji mengi kuliko kawaida ili asipate maumiv wakat wa kukojoa
Asante!!
 
That's true.
 
Leo ndo nimejua kuwa U.T.I Nayo Ina namba kama malaria🙈🙈🙈
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…