Daughterrr
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 474
- 583
Kwani mikihazamaga uko hamnaga dawa za kuflash mdomo? zipo zinauzwa ila mashoga ndo wanazitumia sana labda kwa sababu wanakutana na dyudyu nyingi..wanaogopa madhara.Bleeding, utoko,mikojo vyote vyatoka hapo,ivi hamjionei huruma? Hakuna binadamu namchukia kama mzungu,wametushika sana masikio waafrika,lakini kwann na sisi tunaiga kila kitu?
We die for nothing,unakutana na mwanaume mzuriii,kaa karibu nae sasa,duuu...harufu inayotoka kinywani ni shidaa,shombo la samaki halifui dafu,...kisa nini chumvin mafangasi yamemtafuna!
Kama si wa kufika kileleni afiki tu hata umwekee pipi Ivory ukeni hatojisikia utamu.
THINK TWICE!!