Hivi mtu anayeitwa Uchebe ni Msanii wa Sanaa gani?

Hivi mtu anayeitwa Uchebe ni Msanii wa Sanaa gani?

Kwani kuwa maarufu ni lazima uwe msanii?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Fundi makenika tu huyo.kisa alikua anamtia shilole,basi kibongo bongo nae keshakua star.
 
Unapata faida gani kutunga uonho??
Mtu anawezaje kufika tu na kuwaomba beer from nowhere
Usikatae wewe yule bwana kiiiing kooong chidy toyota chid rav 4 wakati ndo ngada inammalizia malizia alikua anavamia vyumba vya guest na lodge anajitambulisha yoooh chidy hapa naomba buku
 
Mligoogle sura? Basi new version ya Google iko vizuri maana seems by the time anawaomba beer ulikuwa humjui hata jina..
Anyway Uchebe hata bar huwa haendi
 
Back
Top Bottom