Noma na Nusu yaan umemnyoosha hadi domond akiona atachukia yeye anapenda nyoka wewe unaua nyoka kweli?Bado mtu mwenye akili timamu, anajiita msomi wa wanyama pori anawatetea nyoka na kusema ni rafiki zetu tusiwaue.
OTHMAN BEY nna swali kwako mkuu?Chief
Viumbe vifuatavyo usiwaze mara mbili viuwe Nyoka, Ng'e,Panya
Kwani Mimi ni ETUGRUL BEY au Osman bey?OTHMAN BEY nna swali kwako mkuu?
Kuna mwamba mmoja amewajibu kama wanawapenda mbona hawaishi nao majumbani mwaoKuna watu wanawatetea humu