Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau naomba kujuzwa hili maana Nina mjukuu wangu anasoma ndoto yake aje kuwa Dr na sisi ni rastafari je anaweza pata ajira
Kama iman yake ni hyo hawezi kunyolewa.. Pia sometimes huwa wanakua na vibali maalumu..Kama akiwa ameshasoma na ni daktari anaweza kuweka hizo rasta maana sidhani kama udaktari wanaangalia sana muonekano kushinda utaalamu na uzoefu.
Ila kwa levo yake ya elimu kwa nijuavyo shule zetu za Tanzanihuwa wanalazimishwa kunyoa, sipati picha akifika form five kuwa kuna shule itamruhusu awe na nywele
Profesa Samia!Serikali haiajiri dini ,inaajiri dini inaajiri mtu mwenye taaluma na maadili. Na watu hawawi na maadili ya utumishi kwa sababu ya dini zoa.
NAMPONGEZA SAANA PROFESA SAMIA SULUHU HASASAN KWA KUBUNI SALAMU YA KITAIFA ISIYO NA DINI Hakuna kitu kibaya kwa nchi yenye mchanganyiko kama ya kwetu kuingiza dini ,salamu za kidini kwenye hadhira yenye Imani tofauti. Wasemaji wa timu za miguu, na watangazaji wajitafakari wanapokuwa hewani waepike kabisa kudhani kuwa washabiki wao ni dini moja
Ndio ni mgonduzi wa jambo jema lenye kuleta harmony na amani kwenye nchi.Profesa Samia!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naomba namba yako ya simu tafadhaliHata Mimi Ni Rasta napitia changamoto nadhani huu utumwa wa fikra ndo inasababisha kujali mwonekano wa mtu na kuacha content