Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi hapa naweza kununua bodaboda ngapi niwape masikini Ili wapate vilemaMtu yeyote anakufa saa yeyote au kuwa kilema hata kama anaendesha hammer acha dharau kijana
Ajira yake ni kubet, hana akili kichwani.Mtu yeyote anakufa saa yeyote au kuwa kilema hata kama anaendesha hammer acha dharau kijana
Kwahiyo huu ndio utajiri?Wewe Masikini acha kulialia hii hela ya mboga unayo hapo kwenye account Yako
Onyesha kama hiyo tu pesa ya mboga niliyokuonyesha ambayo ipo kwenye simu tu niamini kama unaweza hata kununua bodaboda ukawapa masikini wenzio kelele za nini onyesha kama hiyo tu pesa ya mboga ambayo wife akienda nayo sokoni harudi nayo tena 🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo huu ndio utajiri?
😀 😀
Dogo hapa JF sio Fesibuku kwa watoto wenzako,unajichoresha tu,watu wanakushangaa,
Ila kwa jinsi unavyoendelea kukua, ipo siku hii post yako utakuja kujidharau sana na kujicheka.
kwanza hela huna hata mwandiko unaonyeshaNatembelea kichwa
Tafuta hela masikini wewe unahasira za maisha magumu Mimi sio baba Yako🤣🤣🤣🤣kwanza hela huna hata mwandiko unaonyesha
Wewe ni kapuku tu unatafutasifa za kijinga humu kwenye mitandao ya kijamiiTafuta hela masikini wewe unahasira za maisha magumu Mimi sio baba Yako🤣🤣🤣🤣
Tafuta hela masikini wewe hasira za nini boya wewe na maisha Yako magumu hayo🤣🤣🤣🤣Wewe ni kapuku tu unatafutasifa za kijinga humu kwenye mitandao ya kijamii
Mtoa uzi unaezakuta analipwa laki5 salary afu anakuja kuharisha kwa watu wenye akili as if naye anazoBodaboda ina hela
Mtu kulaza 30 Kwa siku ni laZima
Hapo Kwa mwezi laki 9
Ni watumishi wachache wa umma wanalipwa laki 9
Bodaboda wanajenga, watoto wanaosoma, wanaendesha familia
Usidharau kazi ya mtu
Tafuta hela masikini wewe unahasira za maisha magumu Mimi sio baba Yako