Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi zote zenye masilahi mazuri huwa hazikosi riski.Bodaboda ina hela
Mtu kulaza 30 Kwa siku ni laZima
Hapo Kwa mwezi laki 9
Ni watumishi wachache wa umma wanalipwa laki 9
Bodaboda wanajenga, watoto wanaosoma, wanaendesha familia
Usidharau kazi ya mtu
Hujui unacho kisema jinga wewe, fuatilia historia yake b4.Wewe kweli kilaza sasa sauli alikua bodaboda hivi unaakili timamu kweli huo umasikini wako wa bodaboda usijipe moyo kwasababu sauli alikua anazikubali pikipiki na wazungu wanaend jiulize mbona alikua hakai kijiweni kusubiri buku kama wewe Kwa wewe unaendesha pikipiki sababu ya njaa imekuzidi kutokana na umasikini wako huna lolote
ona hili unatembeleaga tumbo au mgongo we hushukagi kwenye gari au ni mlemavu unatembelea mikonoSitembeagi Kwa miguu Mimi unafikiri ni fukara kama wewe mtembea Kwa miguu ukisharudisha boda Kwa bosi wako
kuna siku utajua hujui na unaweza ukaomba mwanao awe bodaboda na asiipateNimeshasema mtoto wangu hawezi kuwa bodaboda full stop wewe endelea na hiyo kazi Yako ya kirofa
Ni life ndo limeamua.Tusiwe wepesi kupanua midomo yetu
Ni ushauri tu.... Mimi kazi yangu ni kusambaza gesi majumbani kwa kutumia pikipiki na kila siku naweza kufanya safari 30-40 kitu ambacho kabla ya hapo sikutegemea kufanya kazi kama hii
Watachimba makaburi,kwake ndo kaziAcha ujinga wewe, kwa hiyo watoto wako watafanya kazi wapi, benki au?
Mwenye nazo Design app yako mbona unatumia ya wenzio.Uki
Ukiokota machupa maana yake wewe hazipo mtu mwenye akili timamu unaanzaje kuokota makopo ya wenzio waliokunywa maji
Unakuta mtu anapiga simu redioni anajiita Hamisi Dereva Bodaboda Masasi, Mtwara miaka na miaka bado Bodaboda tu.Yaani hiki chombo cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi, aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda chali.
Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya bodaboda, naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe siyo yaani unakufa kisa buku si ujinga huu.
HahahahaUnakuta mtu anapiga simu redioni anajiita Hamisi Dereva Bodaboda Masasi, Mtwara miaka na miaka bado Bodaboda tu.
Wewe Masikini unahasira za nini tafuta hela boya wewe nitawagongea sana wake zenu na mkeo anafuata lazima nimgonge maana napenda sana kuginga wake wa bodaboda watamu sana unakaa kijiweni kusubiri buku unafikiri utatajirika kama sauli wewe kweli ndeziHujui unacho kisema jinga wewe, fuatilia historia yake b4.
Boda boda nimeifanya sana na imenipa pesa nyingi, nielekeze ulipo nije nitakavyo kubebea mkeo Kwa kazi ya boda boda.
Watu dizaini yenu mnavipesa vya mashariti kutoka Kwa waganga ndo maana humuna akili mmejaa dharau.
Hamjui kutafuta pesa Kwa jasho isipokua Kwa ndundami.!
Bwege we, badilika upesi otherwise kufuru zako zitakutokea puanie.
Masikini unahasira sana tafuta hela boya weweMasikini wa kwanza si utakuwa wewe?
Wewe kilaza kweli mwanangu hawezi kufanya hiyo shughuli ya laanakuna siku utajua hujui na unaweza ukaomba mwanao awe bodaboda na asiipate
Natembelea kichwaona hili unatembeleaga tumbo au mgongo we hushukagi kwenye gari au ni mlemavu unatembelea mikono
Mtu mwenye akili timamu huwezi kuwa bodaboda halafu na wewe acha habari za kusambaza gesi kama boya tafuta kazi ya kueleweka sio ya kimasikini kama hiyoTusiwe wepesi kupanua midomo yetu
Ni ushauri tu.... Mimi kazi yangu ni kusambaza gesi majumbani kwa kutumia pikipiki na kila siku naweza kufanya safari 30-40 kitu ambacho kabla ya hapo sikutegemea kufanya kazi kama hii
Ukipata pesa sharti ni kutumia kama nilovyofanya sio unakua bodaboda unakufa Kwa ajili ya kugombania bukuNilipata milioni 50 kwenye betting zimepotea zote
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia...www.jamiiforums.com
Hiyo sio kazi ni uchafuPamoja na ukweli kwamba mimi binafsi ni nadra sana kutumia usafiri wa bodaboda kwa sababu mbalimbali kubwa ikiwa ni usalama ila kamwe sijawahi kabisa kufikiria kuidis hiyo kazi.
Ndugu yangu sio vizuri kudharau kazi halali kabisa anayoifanya mtu .
Ukweli ni kwamba bodaboda wengi wanafanya kazi hiyo kwa kuwa hawana jinsi
Utakuwa boda ww.....hongera sanaBodaboda ina hela
Mtu kulaza 30 Kwa siku ni laZima
Hapo Kwa mwezi laki 9
Ni watumishi wachache wa umma wanalipwa laki 9
Bodaboda wanajenga, watoto wanaosoma, wanaendesha familia
Usidharau kazi ya mtu