Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Usidharau kazi za wananchi wenzako Kisa huzipendi.Hiyo sio kazi ni uchafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usidharau kazi za wananchi wenzako Kisa huzipendi.Hiyo sio kazi ni uchafu
Hamna kazi hapoUsihitimishe hivi mkuu, kazi ni kazi Ili mradi ni halali na inaingiza kipato
Hamna kazi hapoUsidharau kazi za wananchi wenzako Kisa huzipendi.
Naona Ushaingia kwenye mfumo, bahati mbaya mimi sio mdau wa huduma unayoitoa. Kawachekee mabasha zao unakochekaga.Kumbe unavaa pampas pole sana mzee ndio maisha hayo kikubwa hawajakuua 🤣🤣🤣🤣
Pole sana kumbe unavaa pampas 🤣🤣🤣Naona Ushaingia kwenye mfumo, bahati mbaya mimi sio mdau wa huduma unayoitoa. Kawachekee mabasha zao unakochekaga.
Tafuta hela masikini wewe ndio maana nagonga sana wake wa bodaboda sababu ni masikini marofa🤣🤣🤣🤣
Tafuta hela masikini wewe nitawagongea sana wake zenu na umasikini huo🤣🤣🤣Upo kwa shemeji yako aliko olewa dada yako na wewe unavimba humu akili huna wewe.
Ni
Nimeshagonga wake wa bodaboda kama 8 hivi huwa wakiwa kijiweni Mimi wake zao wanakuja home natembeza rungu Kuna mmoja Kuna mmoja anamtoto wangu yaani dogo kafanana na Mimi sana ila bodaboda ndio analea sijui tatizo nini mpaka wake zao wanawasaliti maana wawili nimetoka kuwagonga wiki iliyopita
Bodaboda Haina umuhimu wowoteUnajua bwana dunia hii kila kitu unachokiona kinamaana ya chenyewe kuwepo vile unavyokiona. Chukulia mfano boda boda, unaweza ukawa huipendi pikipiki na pikipiki hiyo hiyo unayoichukia ukakuta ndio inakuingizia mamilioni ya fedha.
Chukulia mfano una biashara, sasa wafanyakazi ili wawahi kazini ni lazima wapande bonda waje kazini, wanafanya kazi na mwisho wasiku unapata chochote kupitia ufanisi wa kazi yao. Hivyo hivyo kuna mteja pia anataka bidhaa yako kwa haraka inabidi achukue boda chap na kuja ofisini kwako. Kwaiyo unakuta unatengeneza pesa nyingi kwa kitu ambacho hukipendi sema , pasipo wewe kujua.
Kwaiyo kila kitu kina umuhimu wake hata kama wewe kwa wakati huo huoni umuhimu wake
Akili huna weweTafuta hela masikini wewe nitawagongea sana wake zenu na umasikini huo🤣🤣🤣
Kama kawaida bodaboda mpaka mjikute mko nusu mtu miguu hamna ndio akili zinawakaa sawa
Wewe Masikini ndio huna akili yaani hata pesa tu umeshindwa kuwa nayo wewe si zoba kabisaAkili huna wewe
Hiyo hela elfu 30 Kwa siku inapatikana freshBodaboda gani unaowaongelea mzee baba?, mbona tunaishi nao huku mtaani hali zao tunazijua, yani alaze 30k halafu asumbuane na boss kwa hesabu ya 10k.! hivi hizi hesabu mnazozitajaga mshawahi kufanya iyo kazi au mnazitaja tu baada ya kusikia story mtaani.
Mzee wangu umeenda mbali sana, last 2 weeks Sauli amefariki Kwa ajali ya range, before jamaa alikua mwendesha pkpk mpaka ameshiriki mashindano ndo maana kwenye mabus yake alikua anaweka pkpk.Kuna mwenziwetu job amefariki like 1 month now kwa ajali ya gari (Mercedes). Kabla alikuwa anaendesha click kwa zaidi ya miaka miwili ndio usafiri wake wa kwenda na kurudi kazini lkn hakuwahi ht kudondoka ila kaja Kupata ajali wakati akiwa na gari.
Ulikuwa utoe ushauri tu kwa waendesha bodaboda waendeshe kwa kuzingatia usalama wakiwemo barabarani.
Wewe kweli kilaza sasa sauli alikua bodaboda hivi unaakili timamu kweli huo umasikini wako wa bodaboda usijipe moyo kwasababu sauli alikua anazikubali pikipiki na wazungu wanaend jiulize mbona alikua hakai kijiweni kusubiri buku kama wewe Kwa wewe unaendesha pikipiki sababu ya njaa imekuzidi kutokana na umasikini wako huna loloteM
Mzee wangu umeenda mbali sana, last 2 weeks Sauli amefariki Kwa ajali ya range, before jamaa alikua mwendesha pkpk mpaka ameshiriki mashindano ndo maana kwenye mabus yake alikua anaweka pkpk.
Huyu jamaa Kwa ufupi anadharau na ubongo wake mdogo, ndo wale masikini wakipata lazima ujue amepata maana hakuwa kwenye hilo fungu.!
Kuna wazungu wana pesa chafu lkn utakuta wanaendesha pkpk na they feel Happy
Tema mate mkuuMasikini lazima adharauliwe sababu Hana akili anakua rofa rofa tu