Hivi mtu unawazaje kuendesha bodaboda kama kazi?

Hivi mtu unawazaje kuendesha bodaboda kama kazi?

Bodaboda ina hela
Mtu kulaza 30 Kwa siku ni laZima
Hapo Kwa mwezi laki 9
Ni watumishi wachache wa umma wanalipwa laki 9
Bodaboda wanajenga, watoto wanaosoma, wanaendesha familia

Usidharau kazi ya mtu
Acha kujifariji.
Mimi kila siku napanda boda kwenda kazini na kurudi.
Bodaboda wana hali ngumu sana.
Wenye unafuu ni 2/100.
 
Upo sahihi, sasa,
Kule kijijini kwetu watoto wawili wa familia moja, mapacha wa kiume, walipo maliza la saba, wazazi wao wakafariki! Mi naenda form one, wao ikashindikana, inabidi wasote kijijini, wauze mkaa, wapike gongo,nipo form two, wao wakaanza form one, wakapata mfadhili wakamaliza form 4,pesa ya kuendelea hakuna, wakauweka kijijini, waendelee na msisha mengine,elimu ikawa imeishia hapo, kule kijijini, kaya ni maskini Sana, hata majani ya chai ya dukani ni hanasa, mi nikaenda chuo, baada ya mwaka nikarudi kusalimia kijijini, nilivyowaona washikaji, nilisononeka Sana, wamechakaa, wameishaoa, wamekuwa wazee wa kijijini, asubuh kilimo, mchana kunywa gongo kidogo, deal ya kuingiza pesa, ama uchome mkaa, uvue samaki!
Namalizia shahada yangu, washikaji ndio kabisaa,wameishakubali matokeo, ni kufa maskini tu, wana vitoto,makalio yapo nje, wakati huo Mimi, Nina CPA yangu, salary six figure!
Sasa kijana kama huyo, akiendesha boda kutafuta fedha, usimdharau, you have know idea what people go through!
Unaowaona mjini, wanapiga boda, kuuza umachinga, sio kwamba unawazidi akili, au ni wajinga, ni maisha tu, wengine tupo tulipo,sio kwa akili zetu, akili zilichsngia, Ila nature/Mungu Ali manipulate circumstances, tukaweza kufika hapa.
Huyu dogo ni wa kumpuuza hata mimi kabla sijanyooshwa na kitaa nilikuwa na dharau kama hizo ....huyo dogo hata miaka 25 naamini hajafiki maana yake hayajui maisha yakoje .....hundred percent huyo dogo anaishi home.

So ni wa kumpuuzia utoto unamsumbua.
 
Basi wewe bila shaka utakuwa ni milionea.
Unauliza swali Gani Hilo sio bila shaka Mimi pesa nina undugu nayo hiki ni koi akiba tu Cha tigo pesa saving ambacho nakutumia wiki Moja tu kimeisha
 

Attachments

  • Screenshot_20240828-214016.jpg
    Screenshot_20240828-214016.jpg
    228.9 KB · Views: 1
Yaani hiki chombo Cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda Chali Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya kijinga kama Boda Boda naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe ni uchafu yaani unakufa kisa buku si ujinga huu
Hatari
 
Bodaboda gani unaowaongelea mzee baba?, mbona tunaishi nao huku mtaani hali zao tunazijua, yani alaze 30k halafu asumbuane na boss kwa hesabu ya 10k.! hivi hizi hesabu mnazozitajaga mshawahi kufanya iyo kazi au mnazitaja tu baada ya kusikia story mtaani.
Watu wanakurupuka tu kuongea mkuu
 
W
Huyu dogo ni wa kumpuuza hata mimi kabla sijanyooshwa na kitaa nilikuwa na dharau kama hizo ....huyo dogo hata miaka 25 naamini hajafiki maana yake hayajui maisha yakoje .....hundred percent huyo dogo anaishi home.

So ni wa kumpuuzia utoto unamsumbua.
Well ungekua unajua maisha yapoje usingekua masikini boya wewe halafu hiyo michezo yenu ya barabarani Mimi nitakuja kuwamwaga ubongo endeleeni
 
Uki
Hajui kwamba kilo Moja ya chupa za maji zinazotupwagwa mitaani ni 700 hadi 800 kwa siku wengine wanakusanya kama kilo 20 na zaidi

Haya Maisha chunga sanakudharau kazi ya mwenzio
Ukiokota machupa maana yake wewe hazipo mtu mwenye akili timamu unaanzaje kuokota makopo ya wenzio waliokunywa maji
 
Sikia wewe boda mchezo wako wakujiharishia hovyo barabarani Mimi nitakuja kukumwaga ubongo
Wewe utoto unakusumbua sana, usipokuwa makini utalawitiwa halafu mwishowe vipesa vyako vyote uje utumie kununua pampus.
 
Yaani hiki chombo cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi, aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda chali.

Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya bodaboda, naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe siyo yaani unakufa kisa buku si ujinga huu.
Useless
Nonsense
Rubbish
 
Yaani hiki chombo cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi, aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda chali.

Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya bodaboda, naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe siyo yaani unakufa kisa buku si ujinga huu.
Usihitimishe hivi mkuu, kazi ni kazi Ili mradi ni halali na inaingiza kipato
 
Huwa nampakiza mpaka mkeo boya wewe kupata kwako isiwe kejeli kwa wengine, jifunze ustaarabu unaleta nyuzi za kipuuzi sana wee dogo
Tafuta hela masikini wewe ndio maana nagonga sana wake wa bodaboda sababu ni masikini marofa🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom