Hivi mtu unawazaje kuendesha bodaboda kama kazi?

Hivi mtu unawazaje kuendesha bodaboda kama kazi?

NI ujinga wa Watanzania kubagua kazi Mimi kuna kipindi nilipigika nikawa nauza Kuku pale mbande Kwa siku nilikuwa namaliza Kuku 20 ambayo faida nilikuwa nalaza elfu 60 kila siku mpk nikanyenyuka tena na mpk sasa nipo vizuri zaidi usidhalau kazi ya mtu hata siku moja
Mtu na akili zako timamu unaweza kufanya huu uchafu wa bodaboda na ukaita kazi
 
Ni kawaida baadhi yenu nyie wanawake kudharau sana baadhi ya kazi wanazofanya wanaume.

Ila kwetu wanaume hatuwezi kudharau harakati za wanaume wenzetu walioamua kutumia njia ya halali kujitafutia riziki zao za siku.

Jinsi ulivyoandika huu uzi unaonekana ni mtu mwenye dharau dharau sana watu wenye hulka kama yako ni watu wanaochukiza sana kwenye jamii zetu.
 
Ni kawaida yenu nyie wanawake kudharau sana baadhi ya kazi wanazofanya wanaume.

Ila kwetu wanaume hatuwezi kudharau harakati za wanaume wenzetu walioamua kutumia njia ya halali kujitafutia riziki zao za siku.

Jinsi ulivyoandika huu uzi unaonekana ni mtu mwenye dharau dharau sana watu wenye hulka kama yako ni watu wanaochukiza sana kwenye jamii zetu.
Sawa binti umesikika muandalie mumeo chakula Cha usiku
 
Yaani hiki chombo Cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda Chali Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya kijinga kama Boda Boda naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe ni uchafu yaani unakufa kisa buku si ujinga huu
Upo sahihi, sasa,
Kule kijijini kwetu watoto wawili wa familia moja, mapacha wa kiume, walipo maliza la saba, wazazi wao wakafariki! Mi naenda form one, wao ikashindikana, inabidi wasote kijijini, wauze mkaa, wapike gongo,nipo form two, wao wakaanza form one, wakapata mfadhili wakamaliza form 4,pesa ya kuendelea hakuna, wakauweka kijijini, waendelee na msisha mengine,elimu ikawa imeishia hapo, kule kijijini, kaya ni maskini Sana, hata majani ya chai ya dukani ni hanasa, mi nikaenda chuo, baada ya mwaka nikarudi kusalimia kijijini, nilivyowaona washikaji, nilisononeka Sana, wamechakaa, wameishaoa, wamekuwa wazee wa kijijini, asubuh kilimo, mchana kunywa gongo kidogo, deal ya kuingiza pesa, ama uchome mkaa, uvue samaki!
Namalizia shahada yangu, washikaji ndio kabisaa,wameishakubali matokeo, ni kufa maskini tu, wana vitoto,makalio yapo nje, wakati huo Mimi, Nina CPA yangu, salary six figure!
Sasa kijana kama huyo, akiendesha boda kutafuta fedha, usimdharau, you have know idea what people go through!
Unaowaona mjini, wanapiga boda, kuuza umachinga, sio kwamba unawazidi akili, au ni wajinga, ni maisha tu, wengine tupo tulipo,sio kwa akili zetu, akili zilichsngia, Ila nature/Mungu Ali manipulate circumstances, tukaweza kufika hapa.
 
Bora ufe bila kutaka ila ukiwa bodaboda unalazimisha kifo mwenyewe
Kama hujui hujui tu mwisho wa siku ile ile inaweza kua talent pia kwamba sio kila mtu anaweza fanya tuelewane hapo, kwenye maisha tafuta unapofit kama wewe ulivyojipata kwenye hio niche yako apo unapiga hela😂
Ningekuona mjanja kuliko kubeza ungeanzisha thread kutoa elimu juu njia za kupata pesa ya ulaini kama ma YouTube Automation, na Gambling kwa risk takers au unahisi watazimaliza pesa uko😅
 
Kama hujui hujui tu mwisho wa siku ile ile inaweza kua talent pia kwamba sio kila mtu anaweza fanya tuelewane hapo, kwenye maisha tafuta unapofit kama wewe ulivyojipata kwenye hio niche yako apo unapiga hela😂
Ningekuona mjanja kuliko kubeza ungeanzisha thread kutoa elimu juu njia za kupata pesa ya ulaini kama ma YouTube Automation, na Gambling kwa risk takers au unahisi watazimaliza pesa uko😅
Sema wake wa bodaboda watamu sana nimeshagonga kama wa 8 mmoja anamtoto wangu mtoto kafanana na Mimi sana ila bodaboda analea anajua wake namuonea huruma sana maana anafanya shughuli ya kishamba halafu analea damu sio yake
 
Upo sahihi, sasa,
Kule kijijini kwetu watoto wawili wa familia moja, mapacha wa kiume, walipo maliza la saba, wazazi wao wakafariki! Mi naenda form one, wao ikashindikana, inabidi wasote kijijini, wauze mkaa, wapike gongo,nipo form two, wao wakaanza form one, wakapata mfadhili wakamaliza form 4,pesa ya kuendelea hakuna, wakauweka kijijini, waendelee na msisha mengine,elimu ikawa imeishia hapo, kule kijijini, kaya ni maskini Sana, hata majani ya chai ya dukani ni hanasa, mi nikaenda chuo, baada ya mwaka nikarudi kusalimia kijijini, nilivyowaona washikaji, nilisononeka Sana, wamechakaa, wameishaoa, wamekuwa wazee wa kijijini, asubuh kilimo, mchana kunywa gongo kidogo, deal ya kuingiza pesa, ama uchome mkaa, uvue samaki!
Namalizia shahada yangu, washikaji ndio kabisaa,wameishakubali matokeo, ni kufa maskini tu, wana vitoto,makalio yapo nje, wakati huo Mimi, Nina CPA yangu, salary six figure!
Sasa kijana kama huyo, akiendesha boda kutafuta fedha, usimdharau, you have know idea what people go through!
Unaowaona mjini, wanapiga boda, kuuza umachinga, sio kwamba unawazidi akili, au ni wajinga, ni maisha tu, wengine tupo tulipo,sio kwa akili zetu, akili zilichsngia, Ila nature/Mungu Ali manipulate circumstances, tukaweza kufika hapa.
Maisha hayana huruma kama wanakunywa gongo waache wanywe kwani wao hawakujua madhara yake wakifa watu wanafukia hawana habari kwani wangapi wamekufa Kwa gongo
 
KWA mfano unapita zako road unapitiwa na gari wewe mtembea kwa miguu. oya acha ujinga kila mtu anakufa halafu una chembe za ....
Sitembeagi Kwa miguu Mimi unafikiri ni fukara kama wewe mtembea Kwa miguu ukisharudisha boda Kwa bosi wako
 
Sema wake wa bodaboda watamu sana nimeshagonga kama wa 8 mmoja anamtoto wangu mtoto kafanana na Mimi sana ila bodaboda analea anajua wake namuonea huruma sana maana anafanya shughuli ya kishamba halafu analea damu sio yake
Mshamba wewe usietambua thamani ya utu wako na kojo💦 lako tafuta sana PESA bado una tabia za kimasikini😎
 
Mshamba wewe usietambua thamani ya utu wako na kojo💦 lako tafuta sana PESA bado una tabia za kimasikini😎
Wake za boda boda watamu sana mkuu asikuambie mtu maana wiki iliyopita nimegonga wawili huyo mwingine mweupee ndio huwa anamtukana kabisa mumewe nikiwa nae chumbani anamuita rofa masikini halafu hajui kupeleka moto kama Mimi ninavyompelekea mkuu wake wa bodaboda watamu sana waache waendelee kukaa vijiweni sisi wajanja wa mji tunawagongea tu
 
Wake za boda boda watamu sana mkuu asikuambie mtu maana wiki iliyopita nimegonga wawili huyo mwingine mweupee ndio huwa anamtukana kabisa mumewe nikiwa nae chumbani anamuita rofa masikini halafu hajui kupeleka moto kama Mimi ninavyompelekea mkuu wake wa bodaboda watamu sana waache waendelee kukaa vijiweni sisi wajanja wa mji tunawagongea tu
😂😂😂 Muongo uyoo unaibiwa mkuu,
Ni mtego huo wakuchomoe kibunda kinega wewe acha kula hizo cheap ho*s utapata U.T.I sugu umalize pesa zote kwenda kujitibia uko Abroad mwisho wa sikuo hio njululu ioze waikate✂️ na pisi inadunda tu bodaboda wake mpalianda Seaman😂
 
😂😂😂 Muongo uyoo unaibiwa mkuu,
Ni mtego huo wakuchomoe kibunda kinega wewe acha kula hizo cheap ho*s utapata U.T.I sugu umalize pesa zote kwenda kujitibia uko Abroad mwisho wa sikuo hio njululu ioze waikate✂️ na pisi inadunda tu bodaboda wake mpalianda Seaman😂
Kama kuibiwa Kwa huyu mtoto mweupe acha tu niibiwe ni mtamu asikuambie mtu yaani nikipiga mashine mpaka Ile sehemu yake ya mafichoni inakua nyekundu kama nyama choma aisee anajua kuukatikia aisee acha tu niibiwe potelea mbali kama pesa ninazo ila huyu mke wa bodaboda mtamu Sanaa halafu anasemaga mmewe anakibamia na hajui kupeleka moto kwahiyo akija kwangu anaenjoy sana sababu ndonga yangu yamaana yaani sio mchezo
 
wewe sie ulieandika hiki ki thread kuwa et

vipi mnaonaje Serikali ikatumia Simba na Yanga kuwapa utajiri watanzania​

akili yako imejaa umaskini wa kutaka fedha nyingi za bure kutoka kwa muhindi halafu unakuja apa jf kuwadhiaki vijana wanajitafuta ridhiki zao kwa nguvu zao jiheshimu mkuu na heshimu kazi za watu
 
wewe sie ulieandika hiki ki thread kuwa et

vipi mnaonaje Serikali ikatumia Simba na Yanga kuwapa utajiri watanzania​

akili yako imejaa umaskini wa kutaka fedha nyingi za bure kutoka kwa muhindi halafu unakuja apa jf kuwadhiaki vijana wanajitafuta ridhiki zao kwa nguvu zao jiheshimu mkuu na heshimu kazi za watu
Hamna ridhiki hapo ni uchafu tu mwanaume unagombaniaje buku
 
Yaani hiki chombo Cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda Chali Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya kijinga kama Boda Boda naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe ni uchafu yaani unakufa kisa buku si ujinga huu
Hivi unawezaje kuwa na smartphone huku ukiwa mpumbavu ?
 
Back
Top Bottom